Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,919
- 15,604
Wanajamvi, US yaendelea kupambana na corona. Hata hivyo, pamoja na juhudi zote imeshika nafasi ya kwanza kwa uwingi wa idadi ya vifo. Ikiwa na vifo zaidi ya 20,000 huku ikiipita Italy na Spain kwa vifo takribani 1000 na 3500, kwa mtiririko.
Uchambuzi wa data za visa vilivyohitimishwa (waliopona na waliokufa) waonesha kuwa watu waliopona ni takriban 30,500 wakati waliokufa ni 20,500.
Kwa maana waliokufa ni asilimia 40 ya visa vilivyofungwa.
Mwazoni mwa janga la corona waMarekani wa Kantalamba walikuwa wakitupigia makelele hapa jamvini kuwa nchi yao ina mapesa na huduma bora za kiafya. Corona kwao (US) haitokuwa tatizo. Tuliwaambia corona sio malaria, corona ina kanuni na taratibu zake za kushambulia na kuua baada ya wiki kadhaa. Tuliwaomba wasubiri wiki kadhaa zipite. Sasa, ni muda muafaka wa wao kuja na majibu hapa jamvini kuhusu hali halisi halisia ya corona nchini Marekani.
Na kama hizi takwimu ni fake watueleze hapa.
Uchambuzi wa data za visa vilivyohitimishwa (waliopona na waliokufa) waonesha kuwa watu waliopona ni takriban 30,500 wakati waliokufa ni 20,500.
Kwa maana waliokufa ni asilimia 40 ya visa vilivyofungwa.
Mwazoni mwa janga la corona waMarekani wa Kantalamba walikuwa wakitupigia makelele hapa jamvini kuwa nchi yao ina mapesa na huduma bora za kiafya. Corona kwao (US) haitokuwa tatizo. Tuliwaambia corona sio malaria, corona ina kanuni na taratibu zake za kushambulia na kuua baada ya wiki kadhaa. Tuliwaomba wasubiri wiki kadhaa zipite. Sasa, ni muda muafaka wa wao kuja na majibu hapa jamvini kuhusu hali halisi halisia ya corona nchini Marekani.
Na kama hizi takwimu ni fake watueleze hapa.