Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Kale kamama kajinga sana, kana miaka 40 lakini bado kama kanabalehe hivi, yani ugaidi wa 9/11 kanaita "something" kiutani utani, ni Mara ya tatu hii kanafanya ujinga huu, ni swala la muda tu Huyu poyoyo atajutia actions zake