Marekani: Trump aagiza uchunguzi wa mauaji ya George Floyd

Sexer

JF-Expert Member
Oct 22, 2014
8,216
7,907
Justice will be served

Screenshot_2020-05-28-09-02-49-52.jpg
Screenshot_2020-05-28-09-03-25-79.jpg
 
Dunia nzima imeona kilicho tokea, kuna haja gani ya kupoteza muda kwenye suala ambalo ni too obvious!!

Nani ambaye hajui kwamba Trump mwenye anaungwa mkono sana na kundi hatarishi la white supremacists aka KKK, kuna tetesi kwamba Trump mwenyewe ni member wa kundi hilo kwa siri.

Kama unakumbuka vizuri wakati wa campaign ya kuwania kiti cha Uraisi, kundi hilo lilijitokeza adhalani na kumpigia campaign Trump, raia wengi huko Merikani wali laani kitendo hicho lakini Trump alikaa kimya - why? Jibu ni kwamba Trump hakulaani kitendo hicho kwa kuwa ni muumini mwenzao katika ushenzi wa ubaguzi wa rangi, mnakumbuka alivyo itukana Afrika pamoja na Waafrika wenyewe alipo ingia madarakani hiyo haikuwa bahati mbaya nae deep down ni mbaguzi wa rangi.
 
Dunia nzima imeona kilicho tokea, kuna haja gani ya kupoteza muda kwenye suala ambalo ni too obvious!!

Nani ambaye hajui kwamba Trump mwenye anaungwa mkono sana na kundi hatarishi la white supremacists aka KKK, kuna tetesi kwamba Trump mwenyewe ni member wa kundi hilo kwa siri.

Kama unakumbuka vizuri wakati wa campaign ya kuwania kiti cha Uraisi, kundi hilo lilijitokeza adhalani na kumpigia campaign Trump, raia wengi huko Merikani wali laani kitendo hicho lakini Trump alikaa kimya - why? Jibu ni kwamba Trump hakulaani kitendo hicho kwa kuwa ni muumini mwenzao katika ushenzi wa ubaguzi wa rangi, mnakumbuka alivyo itukana Afrika pamoja na Waafrika wenyewe alipo ingia madarakani hiyo haikuwa bahati mbaya nae deep down ni mbaguzi wa rangi.
Nini hoja yako? Uchunguzi usifanyike watoe tu adhabu?! Kwa taarifa hata mtu akiua mahakani mbele ya jaji, polisi na muendesha mashtaka lazima uchunguzi ufanyike. Kuna Mambo mengi sana huibuliwa na uchunguzi, Sababu ya kutenda kosa, Kuna mtu nyuma yake au ni yeye tu, nk.
 
Dunia nzima imeona kilicho tokea, kuna haja gani ya kupoteza muda kwenye suala ambalo ni too obvious!!

Nani ambaye hajui kwamba Trump mwenye anaungwa mkono sana na kundi hatarishi la white supremacists aka KKK, kuna tetesi kwamba Trump mwenyewe ni member wa kundi hilo kwa siri.

Kama unakumbuka vizuri wakati wa campaign ya kuwania kiti cha Uraisi, kundi hilo lilijitokeza adhalani na kumpigia campaign Trump, raia wengi huko Merikani wali laani kitendo hicho lakini Trump alikaa kimya - why? Jibu ni kwamba Trump hakulaani kitendo hicho kwa kuwa ni muumini mwenzao katika ushenzi wa ubaguzi wa rangi, mnakumbuka alivyo itukana Afrika pamoja na Waafrika wenyewe alipo ingia madarakani hiyo haikuwa bahati mbaya nae deep down ni mbaguzi wa rangi.
Simuungi mkono Trump na tabia yake lakini namuunga mkono kuitukana Africa na viongozi wake.
 
Dunia nzima imeona kilicho tokea, kuna haja gani ya kupoteza muda kwenye suala ambalo ni too obvious!!
This is too obvoius!
Dunia imeona, ushahidi uko wazi, uchunguzi ili kujua kwanini Polisi alimuua? Au Kumpeleka Mahakamani?
Trump ni mbaguzi sana, anajitahidi kujifichaficha ili apaye kura za weusi, lakini anaonekana kabisa kwa maneno yake na jinsi anavyomuandama Rais Obama. Ana wivu kwanini Obama ametawala vizuri kwa kupendwa halafu yeye watu wanamdis!
 
Na wananchi wa Africa aliwatukana?! Kama hakuwatuka ilibidi awajumuishe pia kwenye matusi. Ona huyu mwananchi Bukyanagandi anakosoa Uchunguzi kufanyika eti kisa tukio lilifanyika hadharani na watu wote wameona!
Ndugu siku mkifikia kuishi kwa uhuru angalau kama South Africa au Botswana ndipo mtafahamu umuhimu wa Democrasia. Leo mnajiandaa kuingia uchaguzi mkuu huku chama kimoja kikiwa na ruhusa ya kufanya kitakavyo na bado mnajiita mko huru. Kuna Watanzania wanaishi maisha ya kuhangaika sana ugenini lakini ukiwauliza kwa nini hamtaki kurudi nyumbani wanakwambia bora kuishi kwa uhuru kuliko kuishi kwa hofu.
 
Ndugu siku mkifikia kuishi kwa uhuru angalau kama South Africa au Botswana ndipo mtafahamu umuhimu wa Democrasia. Leo mnajiandaa kuingia uchaguzi mkuu huku chama kimoja kikiwa na ruhusa ya kufanya kitakavyo na bado mnajiita mko huru. Kuna Watanzania wanaishi maisha ya kuhangaika sana ugenini lakini ukiwauliza kwa nini hamtaki kurudi nyumbani wanakwambia bora kuishi kwa uhuru kuliko kuishi kwa hofu
Ili tuendelee tunahitaji Ardhi, watu na siasa Safi hapo kwenye bold ndo tatizo letu kuu.
 
Nini hoja yako? Uchunguzi usifanyike watoe tu adhabu?! Kwa taarifa hata mtu akiua mahakani mbele ya jaji, polisi na muendesha mashtaka lazima uchunguzi ufanyike. Kuna Mambo mengi sana huibuliwa na uchunguzi, Sababu ya kutenda kosa, Kuna mtu nyuma yake au ni yeye tu, nk.

Uchunguzi gani wakati aliyefanya mauaji ameonekana duniani kote.
 
Anatafuta kura za watu weusi?
Hatafuti kura black ni minority na wengi walikuwa Hillary side.
Please differentiate America politics na za Africa.
.
Trump kura zake ziko kwa vijana (mabishoo), wacha Mungu (Makanisa yote kateka) alafu cha zaidi governors wa Dems are so nuts wanampa slope sana Trump mfano ni wa L.A na NYC.
 
Tusubiri tuone kama kweli haki itatendeka au baada ya hao polisi wapuuzi wauaji kufukuzwa kazi, watarudishwa kazini baada ya muda na kuhamishiwa miji mingine kuendelea na kazi yao. Angekuwa polisi mweusi angenyongwa hadharani bila shaka.... ngoja tuone/tuskie.
 
Great! Waione Bwana Utam na STRUGGLE MAN. Tupeni mrejesho wa kesi dhidi ya mauwaji ya Jamal Khashogi na nyie yaliyofanywa ndani ya ofisi rasmi ya serikali na walitumwa na nani. Hiyo ndiyo Marekani justice will prevail.
 
This is too obvoius!
Dunia imeona, ushahidi uko wazi, uchunguzi ili kujua kwanini Polisi alimuua? Au Kumpeleka Mahakamani?
Trump ni mbaguzi sana, anajitahidi kujifichaficha ili apaye kura za weusi, lakini anaonekana kabisa kwa maneno yake na jinsi anavyomuandama Rais Obama. Ana wivu kwanini Obama ametawala vizuri kwa kupendwa halafu yeye watu wanamdis!
Trump ni loved man hamjui tu endeleeni kujidanganya!

Wewe leo hii hata ukim-shoot mtu mbele ya mapolisi wakakukamata lazima wafanye uchunguzi.
Kuna vitu vitazingatiwa

Minneapolis muajiri wa maaskari ni Meya na kila Askari wa America ana body cam na dash cam zote zitaangaliwa kisha na phone cam iliyochukua tukio!
 
Dunia nzima imeona kilicho tokea, kuna haja gani ya kupoteza muda kwenye suala ambalo ni too obvious!!

Nani ambaye hajui kwamba Trump mwenye anaungwa mkono sana na kundi hatarishi la white supremacists aka KKK, kuna tetesi kwamba Trump mwenyewe ni member wa kundi hilo kwa siri.

Kama unakumbuka vizuri wakati wa campaign ya kuwania kiti cha Uraisi, kundi hilo lilijitokeza adhalani na kumpigia campaign Trump, raia wengi huko Merikani wali laani kitendo hicho lakini Trump alikaa kimya - why? Jibu ni kwamba Trump hakulaani kitendo hicho kwa kuwa ni muumini mwenzao katika ushenzi wa ubaguzi wa rangi, mnakumbuka alivyo itukana Afrika pamoja na Waafrika wenyewe alipo ingia madarakani hiyo haikuwa bahati mbaya nae deep down ni mbaguzi wa rangi.
Katika kazi zetu sisi hufanya kitu kinaitwa "incident Investigation" lengo ni kufukua madhaifu ili tujifunze isitokee wakati mwingine. Watu wengine watajijufunzaje au watapataje ukweli wa kilichotokea bila investigation. Acheni akili za kutaka kuficha kila kitu kama huku Tz.
 
Back
Top Bottom