The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Huko Marekani padri mmoja wa kanisa katoliki jimbo la New Mexico amehukumiwa miaka 30 kwa kusa la kulawiti na kuwadhulumu watoto kingono.
Padri huyo baada ya kusikia anatafta akamatwe akakimbilia Morocco na kujificha kabla hajasakwa na kudakwa kisha kurejeshwa Marekani na kutupwa selo.
Padri huyo baada ya kusikia anatafta akamatwe akakimbilia Morocco na kujificha kabla hajasakwa na kudakwa kisha kurejeshwa Marekani na kutupwa selo.
Former New Mexico priest gets 30 years for child sexual abuse
A former Roman Catholic priest who fled to Morocco before he was returned to the United States and convicted of sexually abusing an altar boy in New Mexico in the 1990s was sentenced on Friday to 30 years in prison, prosecutors said.
mobile.reuters.com