Marekani na Uingereza wanapomlilia kuwadi wao Kabendera,wakishindwa kutoa pole ya msiba wa watu 60 Morogoro

MAREKANI NA UINGEREZA WANAPOMLILIA KUWADI WAO KABENDERA,WAKISHINDWA KUTOA POLE YA MSIBA WA WATU 60 MOROGORO.

Leo 12:15pm,11/08/2019.

Leo Taifa litawapumzisha ndugu zetu 60 katika makaburi ya Kola Hill,Morogoro. Lakini makuwadi wa Mabeberu wameshindwa kuwaambia Marekani na Uingereza kutoa pole ya msiba huo,ila waliwaambia tu waandike walaka na kutoa pole kwa mwandishi mmoja Kabendera wakati wao Marekani hadi leo bado wanaendelea kumtafuta Mwandishi Snowden aliyekimbilia Urusi baada ya kupokonywa haki yake ya kuwa raia wa Marekani, kwa madai ya kuandika makala za kuichafua Marekani nje ya nchi.

Edward Snowden alikuwa raia wa Marekani ambaye aliondokewa uraia,kunyang'anywa passport amelazimika kukimbilia Urusi kwa kuwa tu aliandika habari zilizoichukiza Taifa la Marekani.Toka Mwaka 2013 Bwana Snowden anaishi ndani ya chumba bila kutoka nje,Uhuru wake umepokwa na Taifa la Marekani,Taifa ambalo leo linataka Kabendera aachiwe lakini aliyetenda kosa sawasawa na Snowden ambao wao walimvua uraia,wakampokonya passport lakini Snowden alifanikiwa kukimbilia kujificha nchini Urusi.

Taifa linaomboleza msiba mkubwa lakini Mabeberu na Makuwadi wao wanaendelea kujifanya kama hawaoni msiba ila wanamuona kuwadi wao tu aliyeshikiliwa akisubiri kesi yake.

Niseme tu kuwadi mwandamizi mmoja wa Mabeberu hawezi kuwa na faida kwa Taifa zaidi ya Watanzania waliofariki na kujeruhiwa.Kwa hiyo Mabeberu na Makuwadi wao wameona Watanzania 60 wala fariki hawana maana kwao zaidi ya kuwadi wao mmoja,

Mabeberu na Makuwadi wao wameamua kula kimya maana hawana maslahi kwa Watanzania 60 waliokufa,Niseme tu awa Watanzania 60 waliokufa walikuwa ni nguvu kazi kwetu na pia ni msaada mkubwa kwa Watanzania,nani anayejua kuwa kati ya waliokufa labda ndiye angekuja kukusaidia kesho kuokoka na hatari fulani au kukuokoa katika changamoto tunazokumbana nazo katika maisha.

Makuwadi wa Mabeberu mlioshirikiana na vibaraka wenzenu kwenye balozi za Uingereza na Marekani kuandika tamko la aibu la haki za binadamu lililoitwa la pamoja huku kwao yakitokea mauaji mchana kweupe wakishindwa kutoa tamko hilo kwao na pia walichokiita kutetea Uhuru wa habari ikiwa wao walimpa Mwandishi Assange kesi hewa ya ubakaji baada ya kutoa siri ya Marekani kudukua mawasiliano ya Kiongozi wa Ujerumani,Kansera Angela,hadi leo Assange anaishi ndani ya Ubalozi wa Ecuador nchini Uingereza akipewa tahadhari akitoka tu anakamatwa na Uingereza na kupelekwa Marekani, na fununu tayari Uingereza wameshamkabidhi kwa Serikali ya Marekani,sasa tujiulize awa Marekani na Uingereza wanapataje uhalali wa kutuandikia Walaka mkubwa na kuusambaza duniani eti tumwachie Mwandishi Kabendera aliyeandika habari za kuichafua Tanzania!

Tujiulize je awa Mabeberu bado hawajatafsiriwa na vibaraka wao kuwa kuna Msiba mkubwa umetokea kwa Taifa!? Je Marekani na Uingereza bado hawajatafsiriwa kuwa Watanzania zaidi ya 60 wamefariki Morogoro katika ajali mbaya ya moto na makumi wamejeruhiwa!?

Ina maana kina Zitto,Maria na Fatma bado hamjawatafsiria Mabeberu kuwa kuna ajali imetokea Morogoro!? Au mmepima na kuona hamna maslahi katika hilo mkala kimya lakini mlikesha mkakurupuka na katamko kenu uchwara na kukapeleka ubalozi wa Marekani na Uingereza kuweka logo,Shame on you!

Nitaishia hapa,nitaendelea baadae,Niwaambieni tu ninyi Makuwadi na Mabeberu kuwa Watanzania tumeamka,Sisi sio wale wa kufundishwa tena na kupotoshwa hiki ni kizuri na kile ni kibaya,Tuna macho tunaona,tuna masikio tunasikia.

Taifa linaomboleza,Taifa limefiwa lakini Mabeberu na Makuwadi wao wamejitia pamba masikioni na boriti machoni.Huu si uungwana na muone aibu japo kidogo kwa kukimbilia Marekani na Uingereza kuichafua nchi kwa maslahi yenu binafsi lakini kushindwa kuwaambia suala la kitaifa kama msiba wa Taifa.

Nimalizie kwa kutoa Salamu za pole kwa Taifa langu la Tanzania,Msiba huu mkubwa wa ajali ya Moto iliyotokea Msamvu,Morogoro ni wetu sote,Mungu awape pumziko la amani marehemu wote,awaponye Majeruhi wote,na awape moyo wa Ustahimilivu familia zote zilizopoteza ndugu na jamaa waliokuwa wakileta mkate wa kila siku katika familia zao.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga.
Morogoro.

Kwa mujibu wa taarifa rasmi za vyombo vya ulinzi na usalama vya Tanzania Kabendera alikamatwa kwa ajili ya kuchunguza uraia wake. Alipofikishwa mahakamani alishtakiwa kwa tuhuma za kukwepa kulipa kodi na kuongoza genge la wahalifu (hakuna na hata shtaka moja linalohusiana na kuandika habari zisizopendwa na serikali hii ya jiwe).

Ndugu mzalendo; naomba unifafanulie ulinganifu uliopo kati ya kesi ya Snowden na Kabendera.
 
Kweli kabisa, wao walipewa nafasi ya kutengeneza ARV wakatengeneza fake, leo wanathubutu kuwasema mabeberu.
 
MAREKANI NA UINGEREZA WANAPOMLILIA KUWADI WAO KABENDERA,WAKISHINDWA KUTOA POLE YA MSIBA WA WATU 60 MOROGORO.

Leo 12:15pm,11/08/2019.

Leo Taifa litawapumzisha ndugu zetu 60 katika makaburi ya Kola Hill,Morogoro. Lakini makuwadi wa Mabeberu wameshindwa kuwaambia Marekani na Uingereza kutoa pole ya msiba huo,ila waliwaambia tu waandike walaka na kutoa pole kwa mwandishi mmoja Kabendera wakati wao Marekani hadi leo bado wanaendelea kumtafuta Mwandishi Snowden aliyekimbilia Urusi baada ya kupokonywa haki yake ya kuwa raia wa Marekani, kwa madai ya kuandika makala za kuichafua Marekani nje ya nchi.

Edward Snowden alikuwa raia wa Marekani ambaye aliondokewa uraia,kunyang'anywa passport amelazimika kukimbilia Urusi kwa kuwa tu aliandika habari zilizoichukiza Taifa la Marekani.Toka Mwaka 2013 Bwana Snowden anaishi ndani ya chumba bila kutoka nje,Uhuru wake umepokwa na Taifa la Marekani,Taifa ambalo leo linataka Kabendera aachiwe lakini aliyetenda kosa sawasawa na Snowden ambao wao walimvua uraia,wakampokonya passport lakini Snowden alifanikiwa kukimbilia kujificha nchini Urusi.

Taifa linaomboleza msiba mkubwa lakini Mabeberu na Makuwadi wao wanaendelea kujifanya kama hawaoni msiba ila wanamuona kuwadi wao tu aliyeshikiliwa akisubiri kesi yake.

Niseme tu kuwadi mwandamizi mmoja wa Mabeberu hawezi kuwa na faida kwa Taifa zaidi ya Watanzania waliofariki na kujeruhiwa.Kwa hiyo Mabeberu na Makuwadi wao wameona Watanzania 60 wala fariki hawana maana kwao zaidi ya kuwadi wao mmoja,

Mabeberu na Makuwadi wao wameamua kula kimya maana hawana maslahi kwa Watanzania 60 waliokufa,Niseme tu awa Watanzania 60 waliokufa walikuwa ni nguvu kazi kwetu na pia ni msaada mkubwa kwa Watanzania,nani anayejua kuwa kati ya waliokufa labda ndiye angekuja kukusaidia kesho kuokoka na hatari fulani au kukuokoa katika changamoto tunazokumbana nazo katika maisha.

Makuwadi wa Mabeberu mlioshirikiana na vibaraka wenzenu kwenye balozi za Uingereza na Marekani kuandika tamko la aibu la haki za binadamu lililoitwa la pamoja huku kwao yakitokea mauaji mchana kweupe wakishindwa kutoa tamko hilo kwao na pia walichokiita kutetea Uhuru wa habari ikiwa wao walimpa Mwandishi Assange kesi hewa ya ubakaji baada ya kutoa siri ya Marekani kudukua mawasiliano ya Kiongozi wa Ujerumani,Kansera Angela,hadi leo Assange anaishi ndani ya Ubalozi wa Ecuador nchini Uingereza akipewa tahadhari akitoka tu anakamatwa na Uingereza na kupelekwa Marekani, na fununu tayari Uingereza wameshamkabidhi kwa Serikali ya Marekani,sasa tujiulize awa Marekani na Uingereza wanapataje uhalali wa kutuandikia Walaka mkubwa na kuusambaza duniani eti tumwachie Mwandishi Kabendera aliyeandika habari za kuichafua Tanzania!

Tujiulize je awa Mabeberu bado hawajatafsiriwa na vibaraka wao kuwa kuna Msiba mkubwa umetokea kwa Taifa!? Je Marekani na Uingereza bado hawajatafsiriwa kuwa Watanzania zaidi ya 60 wamefariki Morogoro katika ajali mbaya ya moto na makumi wamejeruhiwa!?

Ina maana kina Zitto,Maria na Fatma bado hamjawatafsiria Mabeberu kuwa kuna ajali imetokea Morogoro!? Au mmepima na kuona hamna maslahi katika hilo mkala kimya lakini mlikesha mkakurupuka na katamko kenu uchwara na kukapeleka ubalozi wa Marekani na Uingereza kuweka logo,Shame on you!

Nitaishia hapa,nitaendelea baadae,Niwaambieni tu ninyi Makuwadi na Mabeberu kuwa Watanzania tumeamka,Sisi sio wale wa kufundishwa tena na kupotoshwa hiki ni kizuri na kile ni kibaya,Tuna macho tunaona,tuna masikio tunasikia.

Taifa linaomboleza,Taifa limefiwa lakini Mabeberu na Makuwadi wao wamejitia pamba masikioni na boriti machoni.Huu si uungwana na muone aibu japo kidogo kwa kukimbilia Marekani na Uingereza kuichafua nchi kwa maslahi yenu binafsi lakini kushindwa kuwaambia suala la kitaifa kama msiba wa Taifa.

Nimalizie kwa kutoa Salamu za pole kwa Taifa langu la Tanzania,Msiba huu mkubwa wa ajali ya Moto iliyotokea Msamvu,Morogoro ni wetu sote,Mungu awape pumziko la amani marehemu wote,awaponye Majeruhi wote,na awape moyo wa Ustahimilivu familia zote zilizopoteza ndugu na jamaa waliokuwa wakileta mkate wa kila siku katika familia zao.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga.
Morogoro.

Kuna kitu unedanganya mkuu nilikua nataka nikuweke sawa:

Edward Snowden hajanyang’anywa Uraia wala Passport!

Kakimbia nchi tu!

Mmarekani yeyote wa kuzaliwa hakuna mahakama au utawala wowote wa popote unaweza mnyang’anya uraia wake!

Na pia kwa Marekani passport ni haki ya msingi ya raia ili kutimiza freedom of movement.

Hakuna punguani yeyote anaeweza mnyanganya passport raia mzaliwa wa Mmarekani!

Ni hilo nilitaka kukuweka wazi!

Naomba uwe mkweli!
 
Bado vyandarua ARV's na baadhi ya chanjo mnapewa bure. ...

Halafu bila hata haya unakuja kuwa kashifu mabeberu ....yaani una shindwa kuheshimu mchango wanaokupa kwaajili ya buku 7 Tu unayolipwa huko lumumba
Huoni aibu? Yaani vyandarua ndio viuze utu wako? Rais anaposema Tanzania ifikie wakati ijitegemee kiuchumi huelewi maana yake? Shame on you!
 
FB_IMG_1565455217697.jpg
 
Hahaha watatoa pole, subiri waipate taarifa kamili za ajali, pia wapate taarifa za majeruhi na wafu.
 
Bado vyandarua ARV's na baadhi ya chanjo mnapewa bure. ...

Halafu bila hata haya unakuja kuwa kashifu mabeberu ....yaani una shindwa kuheshimu mchango wanaokupa kwaajili ya buku 7 Tu unayolipwa huko lumumba
Sasa Paymaster wao ni Polepole ambaye hana uwezo wa kuligundua hilo unadhani hawa vuvuzela wataelewa?
 
Jf imeanza kupoteza ma great thinker, sijaelewa hata uhusiano kati ya Issue ya Kabendera na Ajali ya Morogoro, kwa maono yangu ni vitu viwili tofauti. Alaf naona Kama Kuna haja ya serikali kuthibiti hawa watoa matamko na wanaojifanya watetezi wa serikali,maana nionanvyo wengi wanakurupuka tu na kwa namna flani wanazungumzia vitu vyepesi na havina maan, kwa kweli naomba Kama Kuna wanaoweza kumfikia mkuu humu naomba jamani wamwambie akemee hawa watoa matamko ya kukurupuka kuisemea serikali pengine bila hata kufuata utaratibu, hii itatuchonganisha na mataifa mengine bila sababu, Waziri wa Mambo ya nje yupo,Sasa inakuwaje Kila mtu anajifanya anaweza kuwajibu wamarekani na waingereza,Tufikie wakati TCRA iwatafte hawa wanaotafta ugali kwa kujifanya wasemaji wa serikali , Serikali haiwezi kusaidiwa kujibiwa hoja zake na mtu yeyote ambaye hajapewa jukumu hilo, Kuna watu kibao wameajiriwa kwa ajili ya usemaji ndani ya Idara za Serikali.Tusipende kuchochea Mambo kwa kujifanya tunakaa upande wa serikali,huku hatujui madhara yake kimahusiano ya kimataifa
 
UK na USA kumpigania Kabendera ni hawampiganii Kabendera, wanaipigania Economist isikimbiwe na ripota wengine.

Wanajipigania wao wazidi kuaminika kwamba watatoa ulinzi, ikibidi amani ya nchi itikiswe, kwa watu watakaofanya nao kazi.

Usiangalie vitu juu juu chief.
Mkuu una hoja....tena hoja yenye nguvu. Nina mfano ambao kiasi ni nje ya mada. Mfano halisi ni huu.

====
Kuna mahali hawa West nilikuwa nashirikiana nao kuandaa andiko, mimi nikiwa mwandaadji mkuu. Nilikamilisha draft ya kwanza ya andiko hilo huku nikiwa nimetumia maneno ya Tanzania is the economic growing country. Aisee wao hao waandaji wenzangu kutoka West wakawa wanataka niandike kuwa Tanzania ni least developed country ama third world country...binafsi haya majina ya least na third nikawa naona ya ukakasi mbaya sana...nikawaambia mbona maandiko mengi yametumia phrase niliyotumia...nikwapa na mifano. Aisee wakagoma kabisa. Aisee, ni kweli andiko lile walifadhili wao, kwa kuwa mimi ndiye nilikuwa muandaaji mkuu wa andiko lile niligoma kukubaliana nao. Nikatumia njia ya kistaarabu nikawambia nimeshindwa kuendelea na andiko lile watafute mwingine aendeleze.
====
Nikirudi kwenye mada, kwa maelezo uliyotoa na haya ya kwangu hapo juu, kunauwezekano Kabendera alikumbana na hali kama ya kwangu, sasa kwakuwa alikuwa anataka kuwaridhisha hao wahariri...akawa nafuata kila kitu walichokuwa wanamuelekeza.
 
Hivi Mkuu kutoa Salama za pole au kujiimarisha na vikosi vya uokoaji kipi kizurim.hatuna vikosi vzr imara na vifaa vya majanga nyie mnaangalia talalila tu..pale pahala kama tungekua na kikosi imara kingezuia eneo mapema sana.
 
MAREKANI NA UINGEREZA WANAPOMLILIA KUWADI WAO KABENDERA,WAKISHINDWA KUTOA POLE YA MSIBA WA WATU 60 MOROGORO.

Leo 12:15pm,11/08/2019.

Leo Taifa litawapumzisha ndugu zetu 60 katika makaburi ya Kola Hill,Morogoro. Lakini makuwadi wa Mabeberu wameshindwa kuwaambia Marekani na Uingereza kutoa pole ya msiba huo,ila waliwaambia tu waandike walaka na kutoa pole kwa mwandishi mmoja Kabendera wakati wao Marekani hadi leo bado wanaendelea kumtafuta Mwandishi Snowden aliyekimbilia Urusi baada ya kupokonywa haki yake ya kuwa raia wa Marekani, kwa madai ya kuandika makala za kuichafua Marekani nje ya nchi.

Edward Snowden alikuwa raia wa Marekani ambaye aliondokewa uraia,kunyang'anywa passport amelazimika kukimbilia Urusi kwa kuwa tu aliandika habari zilizoichukiza Taifa la Marekani.Toka Mwaka 2013 Bwana Snowden anaishi ndani ya chumba bila kutoka nje,Uhuru wake umepokwa na Taifa la Marekani,Taifa ambalo leo linataka Kabendera aachiwe lakini aliyetenda kosa sawasawa na Snowden ambao wao walimvua uraia,wakampokonya passport lakini Snowden alifanikiwa kukimbilia kujificha nchini Urusi.

Taifa linaomboleza msiba mkubwa lakini Mabeberu na Makuwadi wao wanaendelea kujifanya kama hawaoni msiba ila wanamuona kuwadi wao tu aliyeshikiliwa akisubiri kesi yake.

Niseme tu kuwadi mwandamizi mmoja wa Mabeberu hawezi kuwa na faida kwa Taifa zaidi ya Watanzania waliofariki na kujeruhiwa.Kwa hiyo Mabeberu na Makuwadi wao wameona Watanzania 60 wala fariki hawana maana kwao zaidi ya kuwadi wao mmoja,

Mabeberu na Makuwadi wao wameamua kula kimya maana hawana maslahi kwa Watanzania 60 waliokufa,Niseme tu awa Watanzania 60 waliokufa walikuwa ni nguvu kazi kwetu na pia ni msaada mkubwa kwa Watanzania,nani anayejua kuwa kati ya waliokufa labda ndiye angekuja kukusaidia kesho kuokoka na hatari fulani au kukuokoa katika changamoto tunazokumbana nazo katika maisha.

Makuwadi wa Mabeberu mlioshirikiana na vibaraka wenzenu kwenye balozi za Uingereza na Marekani kuandika tamko la aibu la haki za binadamu lililoitwa la pamoja huku kwao yakitokea mauaji mchana kweupe wakishindwa kutoa tamko hilo kwao na pia walichokiita kutetea Uhuru wa habari ikiwa wao walimpa Mwandishi Assange kesi hewa ya ubakaji baada ya kutoa siri ya Marekani kudukua mawasiliano ya Kiongozi wa Ujerumani,Kansera Angela,hadi leo Assange anaishi ndani ya Ubalozi wa Ecuador nchini Uingereza akipewa tahadhari akitoka tu anakamatwa na Uingereza na kupelekwa Marekani, na fununu tayari Uingereza wameshamkabidhi kwa Serikali ya Marekani,sasa tujiulize awa Marekani na Uingereza wanapataje uhalali wa kutuandikia Walaka mkubwa na kuusambaza duniani eti tumwachie Mwandishi Kabendera aliyeandika habari za kuichafua Tanzania!

Tujiulize je awa Mabeberu bado hawajatafsiriwa na vibaraka wao kuwa kuna Msiba mkubwa umetokea kwa Taifa!? Je Marekani na Uingereza bado hawajatafsiriwa kuwa Watanzania zaidi ya 60 wamefariki Morogoro katika ajali mbaya ya moto na makumi wamejeruhiwa!?

Ina maana kina Zitto,Maria na Fatma bado hamjawatafsiria Mabeberu kuwa kuna ajali imetokea Morogoro!? Au mmepima na kuona hamna maslahi katika hilo mkala kimya lakini mlikesha mkakurupuka na katamko kenu uchwara na kukapeleka ubalozi wa Marekani na Uingereza kuweka logo,Shame on you!

Nitaishia hapa,nitaendelea baadae,Niwaambieni tu ninyi Makuwadi na Mabeberu kuwa Watanzania tumeamka,Sisi sio wale wa kufundishwa tena na kupotoshwa hiki ni kizuri na kile ni kibaya,Tuna macho tunaona,tuna masikio tunasikia.

Taifa linaomboleza,Taifa limefiwa lakini Mabeberu na Makuwadi wao wamejitia pamba masikioni na boriti machoni.Huu si uungwana na muone aibu japo kidogo kwa kukimbilia Marekani na Uingereza kuichafua nchi kwa maslahi yenu binafsi lakini kushindwa kuwaambia suala la kitaifa kama msiba wa Taifa.

Nimalizie kwa kutoa Salamu za pole kwa Taifa langu la Tanzania,Msiba huu mkubwa wa ajali ya Moto iliyotokea Msamvu,Morogoro ni wetu sote,Mungu awape pumziko la amani marehemu wote,awaponye Majeruhi wote,na awape moyo wa Ustahimilivu familia zote zilizopoteza ndugu na jamaa waliokuwa wakileta mkate wa kila siku katika familia zao.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga.
Morogoro.

Wewe mgonjwa wa akili
 
Mkuu una hoja....tena hoja yenye nguvu. Nina mfano ambao kiasi ni nje ya mada. Mfano halisi ni huu.

====
Kuna mahali hawa West nilikuwa nashirikiana nao kuandaa andiko, mimi nikiwa mwandaadji mkuu. Nilikamilisha draft ya kwanza ya andiko hilo huku nikiwa nimeatua maneno ya Tanzania is the economic growing country. Aisee wao hao waandaji wenzangu kutoka West wakawa wanataka niandike kuwa Tanzania ni least developed country ama third world country...binafsi haya majina ya least na third nikawa naona ya ukakasi mbaya sana...nikawaambia mbona maandiko mengi yametumia phrase niliyotumia...nikwapa na mifano. Aisee wakagoma kabisa. Aisee, ni kweli andiko lile walifadhili wao, kwa kuwa mimi ndiye nilikuwa muandaaji mkuu wa andiko lile niligoma kukubaliana nao. Nikatumia njia ya kistaarabu nikawambia nimeshindwa kuendelea na andiko lile watafute mwingine aendeleze.
====
Nikirudi kwenye mada, kwa maelezo uliyotoa na haya ya kwangu hapo juu, kunauwezekano Kabendera alikumbana na hali kama ya kwangu, sasa kwakuwa alikuwa anataka kuwaridhisha hao wahariri...akawa nafuata kila kitu walichokuwa wanamuelekeza.

Kuna uhusiano wowote na uminywaji demokrasia?

Mgonjwa wa akili wewe
 
Back
Top Bottom