bamade123
New Member
- Aug 10, 2019
- 3
- 1
Hahaha etii tecno boom!!!
Unaziongelea Marekani na Waingereza kama unaongelea Mikumi na chamwino, kama kitu hujui kaa kimya, ww unajua mkuu wa inchi amepokea simu ngapi jana kutoka serikali ya Marekani? Unajua Marekani wametoa msaada gani kwa wagonjwa walioshuka leo pale Jangwani? Kama hujui mambo kaa kimya sio unaandika kwa vile una tecko boom yako