Escaper
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 1,780
- 3,232
Ball Dinda Akri Potea.Ila wanaume akili zetu tunazijua wenyewe!
Vichwa viwili havifanyi kazi kwa mda mmoja hapo ndio tatizo wahindi wanasema "BALL DINDA AKRI POTEA".
wanaume ni watu hatari kuliko simba...Mwanamke aliyepooza kwa miaka isiyopungua 14, amejifungua mtoto na kusababisha mamlaka kufanya uchunguzi wa nani aliyempa mimba katika kituo cha kulelea wagonjwa wasiojiweza kilichopo Phoenix, Arizona nchini Marekani.
Mwanamke huyo alikuwa anatunzwa katika kituo kiitwacho Hacienda Healthcare. Lakini kitendo cha mwanamke huyo kubeba mimba ni ishara ya kufanyiwa unyanyasaji wa kingono katika kituo hiko, na kinachoshangaza zaidi ni ripoti kwamba waliokuwa wanamtunza hawakugundua kama ana mimba mpaka pale aliposhikwa na uchungu. Kwa msaada wa wauguzi, mwanamke huyo alijifungua mtoto wa kiume tarehe 29 December, 2018 na mtoto inaripotiwa anaendelea vizuri kabisa.
Unyanyasaji wa kingono kwa mtu asiyejiweza ni kosa la jinai katika jimbo la Arizona, na msemaji wa polisi katika mji wa Phoenix aliliambia gazeti la Washington Post kwamba mamlaka zinafanya uchunguzi wa tukio hilo.
Baada ya tukio hilo kutokea kituo cha Hacienda sasa kimeanzisha utaratibu wa wafanyakazi wa kiume kuingia na angalau mfanyakazi mmoja wa kike pindi wanapoingia katika vyumba vya wagonjwa wa kike.
Mpaka sasa hamna mtuhumiwa yoyote aliyekamatwa. Kwa sasa inasemekana polisi wameanza kuchukua sampo za DNA kwa wafanyakazi wanaume wote wa kituo hiko na kwa wale waliogoma kutoa sampo kwa hiyari polisi wamechukua hati ya mahakama ili kusaidia.
Source: CNN
https://edition.cnn.com/2019/01/09/us/arizona-woman-vegetative-state-gives-birth/index.html
Genye hazina civilizationHahaa wanaume sisi ..baadhi yetu ni nyoko sana "...
Chakushangaza hata huko ambapo tunaamini kuwa kuna civilization " kumbe pia bado kuna watu ambao ni hamnazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Genye za kisasa ni kibokoHaha mbona wengi tu wame shafanya hivyo aisee ... achana na genye aisee "
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtundu sana wewe,..🙄
Yana ukweli mchache sana hayo,..kikubwa ni kujua namna ya kujicontro tu.Haujui kitu ..bi- dada uwanaume ni shida " ndio maana unaona mpka makasisi wamekutwa na tuhuma za ubakaji huko ulaya /amerca
Hili swala sio la kulichukulia poa ujue " imagine watu wamesoma na kuelimika kisha wakaamua kumtumikia bwana " lakini wameshindwa kuishi kwenye misingi ya ustaarabu " misingi ambayo huwa ndio wanaihubiri " kwaajili ya genye tu " ...haha
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁😁D
Kuzini na watoto mimba ndio zinabumbuluaga. Unakuta mwana wa 5 toka mzee alianzishe ndo dogo anaomba udongo wa Pemba
Genye ni kitu simple !!! Acha basiii watu wasingekuwa wana chinjanaYana ukweli mchache sana hayo,..kikubwa ni kujua namna ya kujicontro tu.
Genye ni kitu simple sana.
Haya basi,..umeshinda🤗Genye ni kitu simple !!! Acha basiii watu wasingekuwa wana chinjana