Marekani: Mwanamke aliyepooza kwa zaidi ya Miaka 10 ajifungua, Baba wa Mtoto asakwa

Teh,mnajiendekeza.
Kwani sisi hatuna ashki?mbona hatutumii nguvu kuzipunguza
Haujui kitu ..bi- dada uwanaume ni shida " ndio maana unaona mpka makasisi wamekutwa na tuhuma za ubakaji huko ulaya /amerca

Hili swala sio la kulichukulia poa ujue " imagine watu wamesoma na kuelimika kisha wakaamua kumtumikia bwana " lakini wameshindwa kuishi kwenye misingi ya ustaarabu " misingi ambayo huwa ndio wanaihubiri " kwaajili ya genye tu " ...haha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! Binadamu wakati mwingine kama mumiani. Yaani huyo mama ana miaka 10 hajui anaeingia wala anaetoka kumbe usiku watu wanamnyatia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtihani sana mkuu ..shida kubwa kwetu ni pale tunapo anza kuupa udhaifu wetu nafasi ya kutangulia mbele katika maamuzi yetu ...badala ya busara tulizonazo " hapa ndio anguko la watu wengi huwa linapopatikana "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je Kama Mgonnjwa Alitaka Mwenyewe Apewe Vituz Kuna Ubaya Gani? Mgonjwa Naye Ana Haki Ya Kujamiana Akijisikia Hamu, Maana Viungo Vyake Vya Uzazi Ni Vizima
 
Kumbe hata wakonta ataweza kuzaa,afu nasikiaga anampenzi,kuna hisia huwa wanapata au wanafanya tu bila kuhis chochote
 
Tuliambiwa yupo kwenye coma sasa hivi unatuambia amepooza... tushike lipi na tuache lipi?
 
SWALI LA KUJIULIZA. ilikuwaje Mgonjwa huyo hapo kituoni amekaa Miezi 9 na ujauzito Hakuna aliyenotice? Nani aliyekuwa amuhudumia kama kumwogesha etc.. maana Kwa hali yake ya it's means akili yake haifanyi kazi. Na Yupo yupo hujitambui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani jamaniii nyege gani hizi,..wanaume baadhi wange rest in peace tuu,.loh!!!
Hii kitu huanzia mbali sana mpendwa toka kwe udogo hasa wa miaka 7-12 nakumbuka umri km huo ndo kipindi tulikuwa tunavizia kuchungulia wale wanawake hasa wanaokojoa nyuma ya nyumba zetu,akimaliza kukojoa unaangalia pale katikati mkojo ulipochimba kitundu,unajitombea ardhi mpk kamkia kanakuwa kekundu ukichoka /ukiridhika kwa maumivu huyo unaweka tiki kuwa huyo umeishamla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kitu huanzia mbali sana mpendwa toka kwe udogo hasa wa miaka 7-12 nakumbuka umri km huo ndo kipindi tulikuwa tunavizia kuchungulia wale wanawake hasa wanaokojoa nyuma ya nyumba zetu,akimaliza kukojoa unaangalia pale katikati mkojo ulipochimba kitundu,unajitombea ardhi mpk kamkia kanakuwa kekundu ukichoka /ukiridhika kwa maumivu huyo unaweka tiki kuwa huyo umeishamla

Sent using Jamii Forums mobile app
makubwa kama mzazi nimepata cha kujifunza
 
Sio tatizo ila ndio tulivyoumbwa hivi. Kichwa cha chini kikipata moto cha juu hakiwezi kuuzima.
Noma!!!

Wakati fulani mwaka siukumbuki exactly ila ilikuwa kama sikosei 2002/2003 pale Jangwani kwenye daraja kipindi hiko mto Msimbazi haujawa tambalale kama ulivyo sasa ilikuwa mapema kama 06:00 am nipo kwenye ki-Hiace basi kuna jamaa alikuwa amemshikisha kingo za mto maza mmoja hivi alikuwaga chizi.

Jamaa alikuwa anapeleka moto hatari chakushangaza hata yule maza tuliyekuwa tunamuona chizi naye alikuwa anatembea na beat mbaya kabisa so haka kamchezo kakishawadia wote mwanaume smart na mwanamke asiyejitambua akili zao zinafanana.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Mtihani sana mkuu ..shida kubwa kwetu ni pale tunapo anza kuupa udhaifu wetu nafasi ya kutangulia mbele katika maamuzi yetu ...badala ya busara tulizonazo " hapa ndio anguko la watu wengi huwa linapopatikana "

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe. Halafu songombingo lingine ni kuhusu doctor wa huyo mama...... Yaani mpaka mimba imefikisha miezi 9 na mtoto kuzaliwa ndio anashtuka kwamba mgonjwa alikuwa mjamzito. Sielewi ni tests gani alikuwa anamfanyia huyo mgonjwa ambazo zilishindwa kudetect hiyo pregnancy. Nadhani kibarua kimeishaota nyasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kitu huanzia mbali sana mpendwa toka kwe udogo hasa wa miaka 7-12 nakumbuka umri km huo ndo kipindi tulikuwa tunavizia kuchungulia wale wanawake hasa wanaokojoa nyuma ya nyumba zetu,akimaliza kukojoa unaangalia pale katikati mkojo ulipochimba kitundu,unajitombea ardhi mpk kamkia kanakuwa kekundu ukichoka /ukiridhika kwa maumivu huyo unaweka tiki kuwa huyo umeishamla

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa ...kwenda shule na kioo je !!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakubaliana na wewe. Halafu songombingo lingine ni kuhusu doctor wa huyo mama...... Yaani mpaka mimba imefikisha miezi 9 na mtoto kuzaliwa ndio anashtuka kwamba mgonjwa alikuwa mjamzito. Sielewi ni tests gani alikuwa anamfanyia huyo mgonjwa ambazo zilishindwa kudetect hiyo pregnancy. Nadhani kibarua kimeishaota nyasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Trust me uchunguzi ukiisha hapo " hautomuacha huyo doctor salama " ...haiwesekani kabisaaa eti kwamba walishindwa kujua kuwa mgonjwa ni mjamzito ....huwenda ikawa doctor mwenyewe alimla mzigo "au mtu wa karibu na doctor so wakaamua kufanyiana siri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom