Mccarrick
Senior Member
- Jul 29, 2018
- 165
- 152
Duh! Binadamu wakati mwingine kama mumiani. Yaani huyo mama ana miaka 10 hajui anaeingia wala anaetoka kumbe usiku watu wanamnyatia.Hahaa wanaume sisi ..baadhi yetu ni nyoko sana "...
Chakushangaza hata huko ambapo tunaamini kuwa kuna civilization " kumbe pia bado kuna watu ambao ni hamnazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app