Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,637
- 31,135
huu ndio utakua wakati muafaka sasa wakuzitumia hizo silaha maana zinakaribia kuota kutu tu ndani aaahNadhani pia changamoto kubwa sasa iliyopo ni hiyo. Sheria za kumili silaha kwa nchi kama Marekani sio ngumu, hivyo kupelekea watu/raia wengi sana kuwa na silaha mitaani, achilia zile ambazo zinamilikiwa kinyume na utaratibu.
Ni mwezi wa tatu au wanne ilionyesha ununuzi wa silaha kwa watu binafsi ulipanda kwa kiasi kikubwa sana japo nchi ilikuwa kwenye lockdown.
Nadhani ni muda muafaka sasa wa mamlaka husika kuliangalia swala la haya maandamano kwa jicho la tatu na kuona namna ya kushusha hizo hasira/maandamano.
tutaenda kuzitest soon.....