Mh! Kuna Jambo juu ya huyu kabendera linawagusa moja kwa moja! Ben kimya,Gwanda kimya, lisu kimya , MKIRU Kimya Leo kbdra mayowe! Heko tz intelligence,
Nashauri mwachieni kabendera then mtengenezeeni mazingira akimbie nchi, mtakua mmewakata maini mabeberu. Mwalimu alikua very intelligent kwa mtego wa Kambona by then. (Though Kambona was right lakini amani ya nchi ilikua muhim zaidi)
Nashauri mwachieni kabendera then mtengenezeeni mazingira akimbie nchi, mtakua mmewakata maini mabeberu. Mwalimu alikua very intelligent kwa mtego wa Kambona by then. (Though Kambona was right lakini amani ya nchi ilikua muhim zaidi)