Kwa hili LA Kabendera wako sahihiNa huwezi kutumia Marekani kama mfano wa Nchi inayoheshimu haki za binadamu
Kwa hili LA Kabendera wako sahihiNa huwezi kutumia Marekani kama mfano wa Nchi inayoheshimu haki za binadamu
Mmeshajulikana mashetani nyie...Kwa hiyo Wewe ni shetani unaekunya na kumaliza?
Kwa hili LA Kabendera wako sahihi
Mmeshajulikana mashetani nyie...
Kuhalalisha uovu ni kazi kubwa dogo, usijitoe akili kutetea upuuzi,Swali lipo pale pale , kwanini Scaba scuba yuko Mahabusu Marekani akisubiri kesi yake wakati huo huo wanakuja huku kumtetea mtuhumiwa wa Uhujumu uchumi?
Kuhalalisha uovu ni kazi kubwa dogo, usijitoe akili kutetea upuuzi,
Basi angalia utachokonolewa pepo Maimuna weweBora kuwa shetani kuliko kuwa Choko
Kwa hiyo Wewe ni shetani unaekunya na kumaliza?
Ukiitoa marekani, zipo nchi kama Norway Canada zimeishatoa nyaraka za kulaani vitendo viovu vya serikaliNa huwezi kutumia Marekani kama mfano wa Nchi inayoheshimu haki za binadamu
daah..
Are you serious.
Hiyo inaitwa butua tukose wote.Kweli,kama walivyoikomboa Libya,Irak,kwasasa wanaishi kwa amani sana nchi zao zimetulia sana
Ukiitoa marekani, zipo nchi kama Norway Canada zimeishatoa nyaraka za kulaani vitendo viovu vya serikali
Marekani ni wababe kwa nchi korofi kama alivyo Magufuli kwa wapinzani wake.Na huwezi kutumia Marekani kama mfano wa Nchi inayoheshimu haki za binadamu
Kweli,kama walivyoikomboa Libya,Irak,kwasasa wanaishi kwa amani sana nchi zao zimetulia sana
Mjadala ni Marekani kujifanya anatetea uhuru wa watu na ndio sababu tunatoa facts za kuonesha kuwa America sio mfano bora wa utetezi wa haki za binadamu na huwa wanajifanya hivyo pale tu wanapokuwa na agenda hasi nyuma ya Pazia
Wamemaliza ‘kutetea haki za binadamu ‘ Syria na Libya?
Mohamed Mursi Rais halali na wa kwanza wa ki Demokrasia wa Egypt kawekwa mahabusu kwa zaid ya miaka nane na hatimae kafia kizimbani ushawahi kusikia press release ya America juu ya hilo?
Hatujali, ili mradi hapa tunaona uonevu wa wazi ni bora waje ili tujifunze kutenda haki kuliko kufanyiana uhayawani wa wazi kwenye nchi huru.
Kuna uovu gani unafanyika hapa ambao haujawahi fanyika US?