Uchaguzi 2020 Marekani: Kuanzia leo, tunaweka vizuizi kwa waliohusika na kuvuruga Uchaguzi nchini Tanzania

This time wakituwekea vikwazo, nasi tumuwekee vikwazo asikanyage kwetu. Unyaunyau tu, palua nikupalue.
 
Kutumia vyombo vya dola na vya maamuzi kukandamiza ushindi na nia ya wao kudai rights zao siyo ushujaa ni uoga.

Bora hao wapinzani wanaodai haki zao kwa amani , kuliko wale waliojawa uoga na kuiba kura bila akili , na kufikia kuliaibisha taifa kufikia kunyishewa vidole. Zamani Sisi Tz ,ndiyo tulikuwa tukiwanyooshea vidole wabaguzi wa rangi na na dictator pote ulimwenguni. Leo ni kinyume chake tunanyoshewa vidole. Kama taifa tumekosea sana njia

Odhis *
Shida zote hizi ni jamaa mmoja kichaa aliyepewa rungu!

Mpaka atakapoondoka madarakani Tanzania inaweza kuwa sawa na South Africa ya enzi za Ubaguzi wa rangi.....!!!!
 
Baada ya kusikia kwamba china wamemuwekea video vikwazo kutoingia china nae ameamua kutangaza hivyo
Uliisikia wap uchaguz wetu umevurugika?
 
This time wakituwekea vikwazo, nasi tumuwekee vikwazo asikanyage kwetu. Unyaunyau tu, palua nikupalue.
Wewe utakuwa unaota ndoto za Alnacha...!!!
Hivi una ubavu wa kuiwekea Marekani vikwazo na viongozi wake???
Hivi mtu anayekuletea chakula nyumbani kwako unaweza kumzuia asiingie jumbani yako??? Lauda kama wataka kufa njaa!!!
 
Huyo unaemwita jiwe tokea alipoingia madarakan hakuwahi na hatowahi kutetemekea kwenda US au Ulaya. Wanaopigania kwenda Ulaya ni Lisu, Lema na magenge yao
Hata kama Jiwe hatokwenda US hadi kufa kwake , the consequences are their to stay. Kibano kitawahusu wasaidizi wake, ndugu zake na familia yake. Just wait n' see!!! Mbona ni swala la muda tu!!!
 
Hivi hawa wanaenda Marekani mara ngapi kwa Mwaka? Makonda naona ndio imempiga ya kichwa maana likizo alikuwa anaenda huko
 
I still say it is a hoax. Unafahamu wasaliti wetu wana standing contract ya kuandika habari mbaya za Tanzania? Huku analalamika, kesho unaikuta Washington Post. Sawa na waraka wa Pasaka wa Maaskofu wa KKKT mwaja ule ulisomwa kwanza na Mbowe siku ya Ijumaa Kuu.

Wasaliti wetu wana Senators wao paid contract, kila akipata neno kwa Pompeio anapata kitu kidogo. As far as I can imagine Rais Trump hahusiki na hili wala hajui hata spelling za Tanzania. False news.
 
Kwenu huko Vladmir Putina ndiyo huwa mnashindwa kutofautisha kati ya nchi na viongozi . Mfano aliposemwa kiongozi wetu, mlidai nchi inachafuliwa !!.

Ukinisoma hapo ndiyo maana nikasema tuombe Mungu wasizidishe vikwazo toka kwa viongozi kwenda kwa nchi .

Odhis *
wewe ndiyo hujaelewa ulichokiandika.

Mimi nilitoa hoja kwamba kwani kuwewekea vya kusafiri baadhi ya viongozi wetu kutakuwa na hasara gani kiuchumi kwa nchi ? Na nikatolea mfano kuwa makonda alipowekewa vikwazo vya kutoingia marekani je nchi ilipata hasara yeyote ? Then nikamalizia kwa kusema kuwa mimi naona hivyo vikwazo vya visa ya kuingia marekani havina athari kwa taifa zima.

Wewe ukani quote kwamba nikitaka kujua madhara ya vikwazo vya Amerika niwaulize NORTH KOREA,IRAN NA ZIMBAMBWE,mimi nikakujibu kwamba hizo nchi ulizotaja hapo ni nchi ambazo zimewekewa vikwazo kamili vya kiuchumi (economic sanctions) na siyo kulenga kiongozi mmoja mmoja kama walivyofanya kwa tanzania ndiyo maana unaona hizo nchi zinaathirika moja kwa moja.

Sasa unakuja kunambia sijaelewa wapi au wewe ndiyo umetolea mfano nchi ambazo aina yake ya vikwazo haviendani kamwe na ilichofanyiwa tanzania ndiyo maana nikawa nakuelewesha.
 
Njemba linajipendekeza likifikiri litapata Tena uteuzi wa nafasi hiyo kumbe muapishwa ana lilia timing TU!
 
wewe ndiyo hujaelewa ulichokiandika.

Mimi nilitoa hoja kwamba kwani kuwewekea vya kusafiri baadhi ya viongozi wetu kutakuwa na hasara gani kiuchumi kwa nchi ? Na nikatolea mfano kuwa makonda alipowekewa vikwazo vya kutoingia marekani je nchi ilipata hasara yeyote ? Then nikamalizia kwa kusema kuwa mimi naona hivyo vikwazo vya visa ya kuingia marekani havina athari kwa taifa zima.

Wewe ukani quote kwamba nikitaka kujua madhara ya vikwazo vya Amerika niwaulize NORTH KOREA,IRAN NA ZIMBAMBWE,mimi nikakujibu kwamba hizo nchi ulizotaja hapo ni nchi ambazo zimewekewa vikwazo kamili vya kiuchumi (economic sanctions) na siyo kulenga kiongozi mmoja mmoja kama walivyofanya kwa tanzania ndiyo maana unaona hizo nchi zinaathirika moja kwa moja.

Sasa unakuja kunambia sijaelewa wapi au wewe ndiyo umetolea mfano nchi ambazo aina yake ya vikwazo haviendani kamwe na ilichofanyiwa tanzania ndiyo maana nikawa nakuelewesha.
Kwani kwa hizo nchi unazokubali zimeathirika ki uchumi sababu ya vikwazo. Tatizo lilianzia nini , kama si viongozi wasiowajali wananchi bali utukufu wao mamlakani ?!.

Uzalendo uchwara ni tatizo

Odhis *
 
..serikali ikikaa kimya, na isipochukua hatua, maana yake ni kukubali kuwa uchaguzi wetu ulikuwa mchafu.
Hayo majungu mnaeneza nyinyi CHADEMA kwa sababu ruzuku yenu imeyeyuka kama uyoga na ni ukweli usiopingika msingeweza kushindana na JPM ambaye anatekeleza ahadi kwa vitendo sio maneno matupu ambayo hayavunji mfupa.
 
Hayo majungu mnaeneza nyinyi CHADEMA kwa sababu ruzuku yenu imeyeyuka kama uyoga na ni ukweli usiopingika msingeweza kushindana na JPM ambaye anatekeleza ahadi kwa vitendo sio maneno matupu ambayo hayavunji mfupa.

..serikali imtimue balozi wa marekani nchini.
 
Hawana ubavu huo

..ubavu huo tunao. sisi ni nchi huru.

..mbona Nyerere aliwahi kuvunja mahusiano ya kibalozi na Ujerumani Magharibi na Uingereza?

..kuna mabalozi walimsindikiza TL awanja wa ndege wakati anatakiwa kuwa mahakamani.

..Nashangaa kwanini mabalozi hao bado wako nchini.
 
Back
Top Bottom