Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,416
- 3,911
Mwanaume mmoja anashikiliwa na Polisi la Vegas Marekani baada ya kufanya kitendo cha Hatari cha kupanda bawa la ndege ya abiria iliyokuwa inakaribia kupaa.
Bawa la ndege ni moja ya sehemu ambazo Binadamu huwa haruhusiwi kukanyaga na ndege zote huwa Zinawekwa maandishi ya tahadhari ya kutofanya hivyo.
Bado haijaelezwa kama Mtu huyu ana tatizo la Akili au vipi lakini imegundulika aliingia Airport baada ya kuruka fensi, ndege hiyo iliahirishwa Safari kwa Saa 4 ili kufanyiwa ukaguzi wa bawa hilo.
Bawa la ndege ni moja ya sehemu ambazo Binadamu huwa haruhusiwi kukanyaga na ndege zote huwa Zinawekwa maandishi ya tahadhari ya kutofanya hivyo.
Bado haijaelezwa kama Mtu huyu ana tatizo la Akili au vipi lakini imegundulika aliingia Airport baada ya kuruka fensi, ndege hiyo iliahirishwa Safari kwa Saa 4 ili kufanyiwa ukaguzi wa bawa hilo.