Uchaguzi 2020 Marekani: Kamati ya Mambo ya Nje ya Seneti yataka Uchaguzi wa Tanzania uwe na uwazi, mchakato huru, wenye haki na amani

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,269
Kuelekea uchaguzi baadae mwezi huu nchini Tanzania, kumekuwa na mashambulizi dhidi ya upinzani na sauti za kiraia, kizuizi kwenye vyombo vya habari na mapungufu kwenye uhuru wa wananchi. Kunatakiwa kuwepo uwazi, mchakato huru, wenye haki na amani kuendelea mbele.
=====

Updates from The U.S. Senate Foreign Relations Committee Chairman, Sen. Jim Risch, R-Idaho about elections in Tanzania.

October 3, 2020.

In the lead up to elections later this month in #Tanzania, there have already been attacks on opposition & civic voices, restrictions on the media, & limitations on the freedoms of citizens. There must be a transparent, free, fair, & peaceful process moving forward.

US Senate.PNG
 
There must be a transparent, free, fair, & peaceful process moving forward.
 
Mwaka huu CCM watatapika, huku wananchi hawataki ujinga, kule wazungu hawataki ujinga, hapa Lissu hataki ujinga, mtakoma na hiyo tume yenu feki.
 
Nashangaa kuona vijana wa CHADEMA na ACT wakihangaika kujadili suala ambalo katika demokrasia halina mjadala.

Magufuli akiwa mgombea wa CCM amekuwa akiwapigia debe wagombea wa CCM na kuwanadi na kusema bayana kuwa mkiniletea flani hapa maendeleo yatakuja msiponiletea huyu hiiiiiiiiiiii shauri yenu!!!

Vijana wanaochipukia katika siasa wanapaniki kusikia hivyo na kuanza kuweka tafsiri kuwa Rais anabagua.

Lakini turudi kiuhalisia, kwa nini Mgombea wa CCM anasema maendeleo hayana Chama lakini chagueni CCM? Nimeeleza hapo kuwa hizo ni sababu za convenience ya kiutendaji kwani:

1. Hatuoni jinsi wapinzani wanapoingia mabaraza ya madiwani wanavyokwamisha sera na mipango ya Serikali iliyoki madarakani?;

2. Kwani hatuoni jinsi Bungeni wabunge wa upinzani kwa misimamo ya kupangiwa kutoka nje(mabeberu) au kupangiwa na vyama vyao kwa miaka mitano wamekataa kupitisha bajeti na hivyo kama usingekuwa wingi wa CCM nchi ingeingia kwenye mgogoro mkubwa kijamii??

3. Mara ngapi tunaona wapinzani wakipinga kila kinachofanywa na Serikali hata kama kizuri kwa umma? Hawa unawapigiaje debe kwa mfano? Yani unampigia debe mtu ambaye akichaguliwa anaponda ujenzi wa shule, vyuo, hospitali, barabara, madaraja atakwambia ni maendeleo ya vitu sio watu!!! Huyu wa nini?

Hapa ndipo unamuona Rais Magufuli falsafa hake ya "nileteeni diwani wa CCM na Mbunge wa CCM" nikafanye nao kazi.

Asanteni sana.
Acha umama huyo jamaa ni mbaguzi na lijizi tu
 
Hawa wanatakiwa wa intervene m kabla mambo hayajaharibika, sio wasubiri tumalizane enti ndio eanakujakusaidia. UN itengeneze team za kimataifa za kusimamishwa chaguzi kote ulinwenguni, ziwe zinakwenda kokote kwenye uchaguzi, zikimaliza nchi moja zinaenda nchi nyingine, hiyo ndio itakuwa dawa ya ving'ang'anizi. TUME YA UCHAGUZI YA UMOJA WA MAIFA.
 
Baba anayeikatili familia dawa yake ni jamii inayozunguka.

Mabeberu tusaidieni huyu dictator hajali haki za watu wake
 
Hakuna Namna Yoyote ya Kumbakisha Magufuli.
.Wazungu hawamtaki.
.Na watanzania wengi hawamtaki.

Magufuli unavuna ulicho kipanda.
KWAHERI MAGUFULI KWAHERI CCM.
 
Kuelekea uchaguzi baadae mwezi huu nchini Tanzania, kumekuwa na mashambulizi dhidi ya upinzani na sauti za kiraia, kizuizi kwenye vyombo vya habari na mapungufu kwenye uhuru wa wananchi. Kunatakiwa kuwepo uwazi, mchakato huru, wenye haki na amani kuendelea mbele.
=====

Updates from The U.S. Senate Foreign Relations Committee Chairman, Sen. Jim Risch, R-Idaho about elections in Tanzania.

October 3, 2020.

In the lead up to elections later this month in #Tanzania, there have already been attacks on opposition & civic voices, restrictions on the media, & limitations on the freedoms of citizens. There must be a transparent, free, fair, & peaceful process moving forward.

Mungu wabariki Wazungu
 
Nashangaa kuona vijana wa CHADEMA na ACT wakihangaika kujadili suala ambalo katika demokrasia halina mjadala.

Magufuli akiwa mgombea wa CCM amekuwa akiwapigia debe wagombea wa CCM na kuwanadi na kusema bayana kuwa mkiniletea flani hapa maendeleo yatakuja msiponiletea huyu hiiiiiiiiiiii shauri yenu!!!

Vijana wanaochipukia katika siasa wanapaniki kusikia hivyo na kuanza kuweka tafsiri kuwa Rais anabagua.

Lakini turudi kiuhalisia, kwa nini Mgombea wa CCM anasema maendeleo hayana Chama lakini chagueni CCM? Nimeeleza hapo kuwa hizo ni sababu za convenience ya kiutendaji kwani:

1. Hatuoni jinsi wapinzani wanapoingia mabaraza ya madiwani wanavyokwamisha sera na mipango ya Serikali iliyoki madarakani?;

2. Kwani hatuoni jinsi Bungeni wabunge wa upinzani kwa misimamo ya kupangiwa kutoka nje(mabeberu) au kupangiwa na vyama vyao kwa miaka mitano wamekataa kupitisha bajeti na hivyo kama usingekuwa wingi wa CCM nchi ingeingia kwenye mgogoro mkubwa kijamii??

3. Mara ngapi tunaona wapinzani wakipinga kila kinachofanywa na Serikali hata kama kizuri kwa umma? Hawa unawapigiaje debe kwa mfano? Yani unampigia debe mtu ambaye akichaguliwa anaponda ujenzi wa shule, vyuo, hospitali, barabara, madaraja atakwambia ni maendeleo ya vitu sio watu!!! Huyu wa nini?

Hapa ndipo unamuona Rais Magufuli falsafa hake ya "nileteeni diwani wa CCM na Mbunge wa CCM" nikafanye nao kazi.

Asanteni sana.
Hayo uliyoyaandika hapo yapo kwa mujibu wa sheria au ni porojo zako binafsi tu?
 
Mbona sisi hatuingilii ya kwao? Trump amesema hataachia madaraka kibabe?
 
Back
Top Bottom