#COVID19 Marekani inatarajia kutoa 'booster vaccine' kwa watu wote waliopata chanjo

Leo Jumatano, serikali ya Marekani inatarajia kutangaza kuanza kutoa chanjo ya pili kwa wale waliopata chanjo ya J&J ama ya tatu kwa waliopata chanjo zingine za kukabiliana na covid 19 kwa watu wote waliopata chanjo.

Awali, wiki iliyopita, taasisi ya afya na chakula ya Marekani, FDA ilitoa kibali kwa booster vaccine kwa wale wenye umri wa miaka 60 ama zaidi ama wale wenye magonjwa na ambao kinga yao ya mwili imeshuka, kitaalam wanaitwa immunocompromised patients.

Hii imetokana na ushahidi kutoka Marekani na Israel umeonyesha kua chanjo hupoteza uwezo wake ama ufanisi baada ya miezi 6 toka mtu amechanjwa hivyo anahitaji chanjo nyingine ili kuendelea kumpa mtu kinga zaidi.

Israel wao wameanza kutoa chanjo ya booster kwa watu wote. Hii pia ni baada ya kushuhudia kuongezeka kwa wagonjwa na vifo kwa watu waliochanjwa chanzo zote. Israel ni taifa ambalo limefanikiwa sana kwenye chanjo ya awali baada ya kuchanja zaidi ya 70% ya watu wake.


Chanjo inayopoteza ufanisi baada ya miezi 6 haifai
 
Ni kweli, ila sasa hiki kirusi kinatabia ya kubadilika badilika, kwahiyo kila baada ya miezi 6 mtu ukaachanjwe booster, this is impractical, tule matunda na tufanye mazoezi huku tukiruhusu mwili kutengeneza natural immunity. Labda kwa wale highly compromised, ila sio msema kila mtu akachanjwe, ni illogical.
Kuna kirusi kipya kinaitwa Lambda kimeshafika California, hakisikii chanjo wala dawa.
 
Ni kama computer, usipo update window ama app, virus mpya akija ni rahisi kuua computer yako.

So booster ni updation ya old software ya covid.

Hivyo ni kusema booster sio maalum kwa ambao hawaja chanjwa, inawahusu wale waliochanjwa pekee?
 
Leo Jumatano, serikali ya Marekani inatarajia kutangaza kuanza kutoa chanjo ya pili kwa wale waliopata chanjo ya J&J ama ya tatu kwa waliopata chanjo zingine za kukabiliana na covid 19 kwa watu wote waliopata chanjo.

Awali, wiki iliyopita, taasisi ya afya na chakula ya Marekani, FDA ilitoa kibali kwa booster vaccine kwa wale wenye umri wa miaka 60 ama zaidi ama wale wenye magonjwa na ambao kinga yao ya mwili imeshuka, kitaalam wanaitwa immunocompromised patients.

Hii imetokana na ushahidi kutoka Marekani na Israel umeonyesha kua chanjo hupoteza uwezo wake ama ufanisi baada ya miezi 6 toka mtu amechanjwa hivyo anahitaji chanjo nyingine ili kuendelea kumpa mtu kinga zaidi.

Israel wao wameanza kutoa chanjo ya booster kwa watu wote. Hii pia ni baada ya kushuhudia kuongezeka kwa wagonjwa na vifo kwa watu waliochanjwa chanzo zote. Israel ni taifa ambalo limefanikiwa sana kwenye chanjo ya awali baada ya kuchanja zaidi ya 70% ya watu wake.


Chanjo sio tiba ni booster ya Kinga sasa kama haikukidhi matarajio bila shaka lazima booster.

Vipi Kuhusu Ulaya maana viwanja vya mipira vinajaa Nako vifo vimeongezeka au
 
Tabu kubwa , hii habari hata kama siyo kweli inaleta hofu kwa waliochanjwa.
Tunasoma mengi mitandaoni but kitu muhimu ni kujua wataalamu wabobezi wanasemaje? Mpaka sasa wataalamu wabobezi duniani wametuhakikishia kwamba : Ukipata chanjo chance ya wewe kupata Corona ni ndogo, pili hata kama ikitokea umepata Corona chance kwamba Corona itakuwa kali na kukuuwa ni ndogo sana, hayo mengine yootee ni porojo tuu.
 
Chanjo ni nzuri lakini hii ya sasa ina changamoto nyingi. Kama unaweza, subiri version mpya ya chanjo maana kwa sasa uchanhe usichanje corona ikija bado inaweza kutembea na wewe, so better wait the best version.
Uwongo mtupu, ukichanjwa na ikatokea umepata corona inakuwa mild au hutapata Corona kali inayoweza kusababisha damu kuganda na kifo...
 
Leo Jumatano, serikali ya Marekani inatarajia kutangaza kuanza kutoa chanjo ya pili kwa wale waliopata chanjo ya J&J ama ya tatu kwa waliopata chanjo zingine za kukabiliana na covid 19 kwa watu wote waliopata chanjo.

Awali, wiki iliyopita, taasisi ya afya na chakula ya Marekani, FDA ilitoa kibali kwa booster vaccine kwa wale wenye umri wa miaka 60 ama zaidi ama wale wenye magonjwa na ambao kinga yao ya mwili imeshuka, kitaalam wanaitwa immunocompromised patients.

Hii imetokana na ushahidi kutoka Marekani na Israel umeonyesha kua chanjo hupoteza uwezo wake ama ufanisi baada ya miezi 6 toka mtu amechanjwa hivyo anahitaji chanjo nyingine ili kuendelea kumpa mtu kinga zaidi.

Israel wao wameanza kutoa chanjo ya booster kwa watu wote. Hii pia ni baada ya kushuhudia kuongezeka kwa wagonjwa na vifo kwa watu waliochanjwa chanzo zote. Israel ni taifa ambalo limefanikiwa sana kwenye chanjo ya awali baada ya kuchanja zaidi ya 70% ya watu wake.


Leo Jumatano, serikali ya Marekani inatarajia kutangaza kuanza kutoa chanjo ya pili kwa wale waliopata chanjo ya J&J ama ya tatu kwa waliopata chanjo zingine za kukabiliana na covid 19 kwa watu wote waliopata chanjo.

Awali, wiki iliyopita, taasisi ya afya na chakula ya Marekani, FDA ilitoa kibali kwa booster vaccine kwa wale wenye umri wa miaka 60 ama zaidi ama wale wenye magonjwa na ambao kinga yao ya mwili imeshuka, kitaalam wanaitwa immunocompromised patients.

Hii imetokana na ushahidi kutoka Marekani na Israel umeonyesha kua chanjo hupoteza uwezo wake ama ufanisi baada ya miezi 6 toka mtu amechanjwa hivyo anahitaji chanjo nyingine ili kuendelea kumpa mtu kinga zaidi.

Israel wao wameanza kutoa chanjo ya booster kwa watu wote. Hii pia ni baada ya kushuhudia kuongezeka kwa wagonjwa na vifo kwa watu waliochanjwa chanzo zote. Israel ni taifa ambalo limefanikiwa sana kwenye chanjo ya awali baada ya kuchanja zaidi ya 70% ya watu wake.


This is inevitable at least for now as the virus keeps on mutating with resultant deadly versions.
 
Kama Gwajima alivyosema, leo kinabadilika kinakuwa hivi, kesho vile, kesho kutwa vile, na akasema mnayochanjwa ni ya kirusi cha kwanza, kikija cha pile, na cha tatu, na cha nne, na cha tano, akasema mtanjwa hadi mkome!
Wakajitoa ufahamu na kumtukana,ngoja tuone mwisho wake
 
Endeleeni kujazana ujinga!! Askofu Rasheed anadai chanjo ina madhara; je hiyo habari inaonesha kwamba chanjo ina madhara au mmeishia kusoma heading tu?
Uzuri GwaJima tunamsikiliza,hajasema INA madhara,alisema mfano ,kama ina madhara unapochanja jeshi lote na watu wa afya wote unategemea nn?in case kuna madhara km nchi tutakuwa tuna hali gani kuwa na jeshi lenye shida at the same time wauguzi,drs nao wana shida?

Akashauri hata kwa wao iwe hiari!
Mnapenda sana habari za kusikia vipandevipande
 
Back
Top Bottom