The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,448
- 17,147
Utawala wa Bwana Donald Trump unafikiria kuizuia China kutumia mfumo wa Dollar kwenye manunuzi ya aina yoyote au wanaita dollar decoupling.
Dollar ya kimarekani ndio sarafu maarufu inayotumika kufanya malipo Duniani, zaidi ya 60% ya malipo Duniani yanafanyika kwa njia ya Dollar.
Dollar ndio safaru inayotumiwa na nchi nyingi Duniani kuthaminisha sarafu zao.
Trump anasema hii inaitwa financial nuclear option ya kuimaliza China.
US-China decoupling already under way, John Bolton says
Dollar ya kimarekani ndio sarafu maarufu inayotumika kufanya malipo Duniani, zaidi ya 60% ya malipo Duniani yanafanyika kwa njia ya Dollar.
Dollar ndio safaru inayotumiwa na nchi nyingi Duniani kuthaminisha sarafu zao.
Trump anasema hii inaitwa financial nuclear option ya kuimaliza China.
US-China decoupling already under way, John Bolton says