Marekani imetengeneza Ebola kupunguza idadi ya Waafrika
Anaandika Professa Francis Boyle, mtaalamu wa baiolojia kutoka Chuo Kikuu cha Illinois Marekani...✍✍✍
Nimekua nikifahamika duniani kwa kuwa mtafiti mkubwa wa masuala yanayohusu vita vya kibaiolojia na sheria za kimataifa.
Ugonjwa wa Ebola ulinishtua sana pindi ulipoua maelfu ya Waafrika kwenye taifa la Sierra Leone mnamo 1976.
Kama mtaalamu nilianza kufanya utafiti wa kina ili niweze kubaini chanzo cha ugonjwa huo.
Nilitumia usiri wa hali ya juu ili kunusuru maisha yangu kwani huenda wangeniua endapo wangebaini dhamira ya utafiti wangu.
Nilifanya utafiti kwa miaka 12 kuanzia 1976 mpaka 1988.
Utafiti huo ulihusisha vituo vya Marekani vya kupambana na kuzuia maradhi (CDC) vilivyo kwenye mataifa mbalimbali barani Afrika.
Ukiangalia katika ramani, utaona maeneo ambayo vituo hivyo vinapatikana.
Laa hasha! Ni maeneo ambayo yamekuwa yakigubikwa na miripuko ya ugonjwa wa ebola mara kwa mara.
Mnamo 1988, niliweza kukamilisha ripoti yangu ambayo ilikuja kuizindua dunia.
Ripoti hiyo ilionesha mpango wa muda mrefu wa kupunguza idadi ya watu kwenye bara la Afrika.
Mpango huo wa siri ulipangwa na idara ya kijasusi ya Marekani.
Kwahakika, nimepitia changamoto nyingi ambazo siwezi kuzielezea tangu nilipoitoa ripoti hiyo.
Mnamo 2014, ile maabara iliyopo Afrika Magharibi ilifanya shambulizi kubwa la kibaiolojia.
Ni pale ilipoeneza virusi vya ugonjwa kwenye mashamba ya matunda huko nchini Mali.
Waafrika wengi sana walifariki dunia.
Majasusi wa Marekani wenye elimu ya udaktari wakamiminwa katika taifa la Mali kama watoa misaada.
Wakafanikiwa kuanzisha makundi ya kigaidi na kiuasi kwenye taifa hilo la Afrika Magharibi.
Umafia huo wa hali ya juu pia umefanyika kwenye taifa tajiri la Kongo ambapo uasi hauishi, Ebola haiishi.
Madini yao yanaporwa kupitia makundi ya majasusi wanaojifanya walinda amani.
Hivi karibuni nadharia yangu iitwayo "Ebola Conspiracy Theory" imepata nguvu sana ns imeanza kujulikana ulimwenguni kote.
Hii ni baada ya aliyekua katibu msaidizi wa Hazina na Sera za Kiuchumi za Marekani, Dr. Paul Craig Robert kutoa siri nzito.
Mtaalamu huyo aliyefanya kazi kwa miaka mingi kwenye idara nyeti
ya Marekani amesema: "Kueleza ukweli ni jambo muhimu. Marekani ni taifa linaloongoza kwa uhalifu duniani"
Alieleza haya pindi alipoulizwa kuhusu uwepo wa "Ebola conspiracy theory"
Anaandika Professa Francis Boyle, mtaalamu wa baiolojia kutoka Chuo Kikuu cha Illinois Marekani...✍✍✍
Nimekua nikifahamika duniani kwa kuwa mtafiti mkubwa wa masuala yanayohusu vita vya kibaiolojia na sheria za kimataifa.
Ugonjwa wa Ebola ulinishtua sana pindi ulipoua maelfu ya Waafrika kwenye taifa la Sierra Leone mnamo 1976.
Kama mtaalamu nilianza kufanya utafiti wa kina ili niweze kubaini chanzo cha ugonjwa huo.
Nilitumia usiri wa hali ya juu ili kunusuru maisha yangu kwani huenda wangeniua endapo wangebaini dhamira ya utafiti wangu.
Nilifanya utafiti kwa miaka 12 kuanzia 1976 mpaka 1988.
Utafiti huo ulihusisha vituo vya Marekani vya kupambana na kuzuia maradhi (CDC) vilivyo kwenye mataifa mbalimbali barani Afrika.
Ukiangalia katika ramani, utaona maeneo ambayo vituo hivyo vinapatikana.
Laa hasha! Ni maeneo ambayo yamekuwa yakigubikwa na miripuko ya ugonjwa wa ebola mara kwa mara.
Mnamo 1988, niliweza kukamilisha ripoti yangu ambayo ilikuja kuizindua dunia.
Ripoti hiyo ilionesha mpango wa muda mrefu wa kupunguza idadi ya watu kwenye bara la Afrika.
Mpango huo wa siri ulipangwa na idara ya kijasusi ya Marekani.
Kwahakika, nimepitia changamoto nyingi ambazo siwezi kuzielezea tangu nilipoitoa ripoti hiyo.
Mnamo 2014, ile maabara iliyopo Afrika Magharibi ilifanya shambulizi kubwa la kibaiolojia.
Ni pale ilipoeneza virusi vya ugonjwa kwenye mashamba ya matunda huko nchini Mali.
Waafrika wengi sana walifariki dunia.
Majasusi wa Marekani wenye elimu ya udaktari wakamiminwa katika taifa la Mali kama watoa misaada.
Wakafanikiwa kuanzisha makundi ya kigaidi na kiuasi kwenye taifa hilo la Afrika Magharibi.
Umafia huo wa hali ya juu pia umefanyika kwenye taifa tajiri la Kongo ambapo uasi hauishi, Ebola haiishi.
Madini yao yanaporwa kupitia makundi ya majasusi wanaojifanya walinda amani.
Hivi karibuni nadharia yangu iitwayo "Ebola Conspiracy Theory" imepata nguvu sana ns imeanza kujulikana ulimwenguni kote.
Hii ni baada ya aliyekua katibu msaidizi wa Hazina na Sera za Kiuchumi za Marekani, Dr. Paul Craig Robert kutoa siri nzito.
Mtaalamu huyo aliyefanya kazi kwa miaka mingi kwenye idara nyeti
ya Marekani amesema: "Kueleza ukweli ni jambo muhimu. Marekani ni taifa linaloongoza kwa uhalifu duniani"
Alieleza haya pindi alipoulizwa kuhusu uwepo wa "Ebola conspiracy theory"