The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Taasisi ya Charities Aid Foundation ya Uingereza imeitaja Marekani kama nchi yenye roho nzuri (most generous country) Duniani, ikifuatiaa na Myanmar na New Zeeland huku nchi zenye watu wachoyo zaidi ikiwa ni China, Yemen na Ugiriki.
Kwa Afrika nchi kama Kenya, Zambia na Sierra Leoni zikishika namba moja kwa mchi zenye watu wakarimu zaidi na kwamba kwa hizo nchi ni rahisi sana mtu kumsaidia mgeni na hii inachangiwa na utamaduni wa kiafrika wa kusaidiana.
Kwenye world generous index Marekani imeshika namba moja kua ni nchi yenye roho nzuri, yenye watu wanaopenda kusaidia wengine.
The U.S. is the No. 1 most generous country in the world for the last decade The U.S. is the No. 1 most generous country in the world for the last decade
Kwa Afrika nchi kama Kenya, Zambia na Sierra Leoni zikishika namba moja kwa mchi zenye watu wakarimu zaidi na kwamba kwa hizo nchi ni rahisi sana mtu kumsaidia mgeni na hii inachangiwa na utamaduni wa kiafrika wa kusaidiana.
Kwenye world generous index Marekani imeshika namba moja kua ni nchi yenye roho nzuri, yenye watu wanaopenda kusaidia wengine.
The U.S. is the No. 1 most generous country in the world for the last decade The U.S. is the No. 1 most generous country in the world for the last decade