Sio serikali, ni wananchiKenya hii iliyokataa kusaidia ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika ?
Usije ukaenda Japan ukampa mtu Tip ni very big social mistake kumpa mtu Tip. Jamii yao haipendi kabisa mambo hayo.Wamarekani kweli ni wakarimu sana wengi wao
Kuna jamaa yangu ni chauffeur anasema katika watu wanaoongoza kutoa tip ni USA na Japan
Marekani kwa tips hao ndo wenyewe lkn kwa Wajapan hapo i beg to differ.Wamarekani kweli ni wakarimu sana wengi wao
Kuna jamaa yangu ni chauffeur anasema katika watu wanaoongoza kutoa tip ni USA na Japan
Wamarekani kweli ni wakarimu sana wengi wao
Kuna jamaa yangu ni chauffeur anasema katika watu wanaoongoza kutoa tip ni USA na Japan
Mkuu tofautusha AMANI na UJINGA,Sisi watanzania hatuna amani bali ni wajinga kupindukia."Kisiwa cha amani" tupo namba ngapi?
Marekani kwa tips hao ndo wenyewe lkn kwa Wajapan hapo i beg to differ.
Usije ukaenda Japan ukampa mtu Tip ni very big social mistake kumpa mtu Tip. Jamii yao haipendi kabisa mambo hayo.
Marekani na Zambia wamepita bila kupingwaKenya na Marekani zimepita bila kupingwa
Lusaka wanachukia Wabongo ni balaa hasa WanyakyusaZambia ni kwa nje ya lusaka kuna ukarimu wa hali ya juu ila kwa lusaka town yote hakuna ukarimu kwa wageni hata kidogo na wakishakujua mgen unabaguliwa
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kisiwa chenye utulivu na sio aman"Kisiwa cha amani" tupo namba ngapi?