Al assad
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 1,399
- 1,501
Marekani imesema imepata frequency za mfumo wa makombola ya Russia S-400.
Imesema imesema nimepata frequency hizo baada ya kupitisha Ndege yao ya upelelezi karibu na mambo ya kijeshi ya Urusi nchini Syria iitwayo Kheimim Air base.
Katika siku za Marekani imekuwa ikijaeibu kupitisha ndege zake za kivita karibu na kambi hiyo..
Inasemekana kwamba kupatikana kwa frequency hizi kunaweza kufanya Rada ya za makombola hayo kujazwa tageti bandia katika mapambano ya kijeshi..
Kwa habari zaidi link hii chini..
Sent using Jamii Forums mobile app
Imesema imesema nimepata frequency hizo baada ya kupitisha Ndege yao ya upelelezi karibu na mambo ya kijeshi ya Urusi nchini Syria iitwayo Kheimim Air base.
Katika siku za Marekani imekuwa ikijaeibu kupitisha ndege zake za kivita karibu na kambi hiyo..
Inasemekana kwamba kupatikana kwa frequency hizi kunaweza kufanya Rada ya za makombola hayo kujazwa tageti bandia katika mapambano ya kijeshi..
Kwa habari zaidi link hii chini..
Turkish military withdraws from key Idlib post amid reports of Syrian Army offensive: video
BEIRUT, LEBANON (9:20 P.M.) - The Turkish Armed Forces unexpectedly withdrew from one of their key observation pots in the Idlib Governorate today amid
www.almasdarnews.com
Sent using Jamii Forums mobile app