Marekani imefanya jaribio la kombora lake la masafa ya kati

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Jan 27, 2018
746
3,058
Marekani imefanya jaribio hilo wiki kadhaa baada ya kujiondoa katika makubaliano muhimu na Urusi yaliyopiga marufuku silaha zenye uwezo kama huo za kinyuklia.

Marekani ilijiondoa katika makubaliano hayo mnamo tarehe 2 Agosti mwaka huu baada ya kuituhumu Urusi kwa kukiuka azimio hilo madai ambayo Moscow imeyakanusha

Pentagon imesema kuwa ilifanikiwa kurusha kombora hilo katika pwani ya California siku ya Jumapili, ambapo wachambuzi wanahofu kuwa kuanguka kwa makubaliano hayo kutazua ushindani wa utengenezaji wa silaha mpya za Nyuklia.

Aidha, makubaliano hayo yaliyo afikiwa katika kipindi cha vita baridi yalipiga marufuku silaha zenye uwezo wa kurushwa kati ya kilomita 500 hadi 5,500.

Pentagon imesema kuwa kombora hilo lililofyatuliwa kutoka kisiwa kinachodhibitiwa na wanamaji wa Marekani cha San Nicolas katika pwani ya Los Angeles, lilikuwa halina kichwa cha kinyuklia.

Hata hivyo, Silaha hiyo iliyofanyiwa majaribio haijafikia lengo lake la zaidi ya kilomita 500, kulingana na idara ya ulinzi nchini Marekani.
 
we
Wewe ni mpumbavu tena wa kiwango cha juu uliye jaa funza kichwani badala ya akili ,we we unapo Sema sijui kichaa hivi unaweza kuniambia ni taifa gani ambalo limesha tumia silaa hizo za maangamizi kuua watoto na wanawake tofauti na marekani ?.
Well said
Unajua Kuna watu wana chuki kiasi yuko radhi adhurike ili amchukiaye asifanikiwe
 
Mbona unajiita Wise boy halafu umeshindwa kuendana na jina lako!!?. Marekani alitumia neuclia kupiga Nagasaki na Hiroshima akaua watoto na vikongwe. Sasa niambie mataifa mengine yanayomiliki silaha za aina hiyo kuanzia ulaya na Asia ni nani alishafanya unyama wa wazi wazi kama huo ukiachilia mbali propaganda za kuchafuana zaidi ya USA.

Acha ushabiki, fikiri kwa kina.
Ni kundi linalowaza kuolewa wala usishangae
 
Mbona unajiita Wise boy halafu umeshindwa kuendana na jina lako!!?. Marekani alitumia neuclia kupiga Nagasaki na Hiroshima akaua watoto na vikongwe. Sasa niambie mataifa mengine yanayomiliki silaha za aina hiyo kuanzia ulaya na Asia ni nani alishafanya unyama wa wazi wazi kama huo ukiachilia mbali propaganda za kuchafuana zaidi ya USA.

Acha ushabiki, fikiri kwa kina.
Nuclear Bomb haijawahi kutumika popote.
Atomic bomb ndio lilitumika Hiroshima na Nagasaki.
Naruhusu urekebu.
 
Nuclear Bomb haijawahi kutumika popote.
Atomic bomb ndio lilitumika Hiroshima na Nagasaki.
Naruhusu urekebu.
The United States detonated two nuclear weapons over the Japanese cities of Hiroshima and Nagasaki on August 6 and 9, 1945, respectively, with the consent of the United Kingdom, as required by the Quebec Agreement.Wikipedia
 
You're misreading..

Nuclear bombs are of two types
1. Atomic bombs
Ones formed by fission reaction/ nuclei-splitting to form energy, the way nuclear power plants works as thermal power plants

Nagasaki na Hiroshima ilitumia Atomic bomb roughly tens of kilo tonnes of Nuclear bombs

2. Hydrogen bombs(H-bombs) or thermonuclear bombs
The bombs formed by Nuclear fusion/atomic nuclei fusing to form a heavier nucleus ambayo ina explode Ku form energy, the way Jua na nyota zinafanya kazi.

Hydrogen bomb halijawahi kutengenezwa, ongoing research

Kwa Atomic bomb iliyotumika Nagasaki na hiloshima, hydrogen bomb kiasi kilekile inanguvu mara 1000 zaidi roughly one warhead of hydrogen bomb ina evaporate everything covering some kilometres.
Braza akikujibu tafadhali naomba nitag mkuu


Yaan wanataka ku2mia mpaka njia zapanya kuuhalalisha unyama na uuaji wa wamarekani asee
 
You're misreading..

Nuclear bombs are of two types
1. Atomic bombs
Ones formed by fission reaction/ nuclei-splitting to form energy, the way nuclear power plants works as thermal power plants

Nagasaki na Hiroshima ilitumia Atomic bomb roughly tens of kilo tonnes of Nuclear bombs

2. Hydrogen bombs(H-bombs) or thermonuclear bombs
The bombs formed by Nuclear fusion/atomic nuclei fusing to form a heavier nucleus ambayo ina explode Ku form energy, the way Jua na nyota zinafanya kazi.

Hydrogen bomb halijawahi kutengenezwa, ongoing research

Kwa Atomic bomb iliyotumika Nagasaki na hiloshima, hydrogen bomb kiasi kilekile inanguvu mara 1000 zaidi roughly one warhead of hydrogen bomb ina evaporate everything covering some kilometres.

Ahsante kwa ufafanuzi, ubarikiwe!
 
Mbona unajiita Wise boy halafu umeshindwa kuendana na jina lako!!?. Marekani alitumia neuclia kupiga Nagasaki na Hiroshima akaua watoto na vikongwe. Sasa niambie mataifa mengine yanayomiliki silaha za aina hiyo kuanzia ulaya na Asia ni nani alishafanya unyama wa wazi wazi kama huo ukiachilia mbali propaganda za kuchafuana zaidi ya USA.

Acha ushabiki, fikiri kwa kina.
Uongo.

Marekani hajawahi kutumia Nucleur bombs katika attacking yoyote na kuua watu.

Hiroshima na Nagasaki iliangamizwa kwa Atomic bombs.

Thibitisha vita ambayo Marekani ametumia nuclear bombs kuuwa watu.

Karibu Mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Inaonekana hujui maana ya "chuki"
Yaan wewe jamaa hujui unachopigania , wakati we we kila siku umekuwa ukilalamika kuhusu uonevu wa jiwe dhidi ya wapinzani kwa kutumia nguvu anazo pata kutoka kwenye Dora.
Lakini wakati huo umekuwa ukishinda umu kuitetea marekani ambayo inatumia nguvu alizonazo kuziharibu nchi ndogo ambazo zinapinga matakwa yake.
Sasa ninashindwa kutambua unataka lipi na unakataa lipi,maana unacho kipinga kwa jiwe ndio unacho tetea kwa marekani yaani unapinga uonevu unao fanywa na jiwe dhidi ya wanyonge alafu wakati huo unaunga mkono uonevu unaofanywa na marekani dhidi ya mataifa mengine.
 
Uongo.

Marekani hajawahi kutumia Nucleur bombs katika attacking yoyote na kuua watu.

Hiroshima na Nagasaki iliangamizwa kwa Atomic bombs.

Thibitisha vita ambayo Marekani ametumia nuclear bombs kuuwa watu.

Karibu Mkuu.
Kwa hiyo alikuwa sahihi kwa alicho kifanya?
 
You're misreading..

Nuclear bombs are of two types
1. Atomic bombs
Ones formed by fission reaction/ nuclei-splitting to form energy, the way nuclear power plants works as thermal power plants

Nagasaki na Hiroshima ilitumia Atomic bomb roughly tens of kilo tonnes of Nuclear bombs

2. Hydrogen bombs(H-bombs) or thermonuclear bombs
The bombs formed by Nuclear fusion/atomic nuclei fusing to form a heavier nucleus ambayo ina explode Ku form energy, the way Jua na nyota zinafanya kazi.

Hydrogen bomb halijawahi kutengenezwa, ongoing research

Kwa Atomic bomb iliyotumika Nagasaki na hiloshima, hydrogen bomb kiasi kilekile inanguvu mara 1000 zaidi roughly one warhead of hydrogen bomb ina evaporate everything covering some kilometres.
Hydrogen bombs zimeshatengenezwa na kujaribiwa mara nyingi, US alitest H bomb 1952,Soviet walitest H bomb 1961 na nchi nyinginezo zikafata. Ata zile nuclear alizotest Korea ni H bomb

Nuclear bomb yenye nguvu zaidi iliowah kutengenezwa duniani ni Tsar bomba, na ndio iliojaribiwa mwaka 1961
 
Kiufupi wakati vita vya pili vinaelekea mwisho,wajapan walikuwa wanaelekea kufanya mazungumzo na marekani ya kusurrender kwani tayari ujerumani ilikuwa imasarenda baada ya hitler kufa,lakini marekani mda huo walikuwa na project ya manhatan,kuunda bomu la atomic,
kwahiyo marekani wakaona hiyo ndo nafasi ya kujaribisha bomu lao,na hibyo bila sababu ya msingi walidondosha mabomu hiroshima na nagasaki wakati vita tayari ilikuwa inaelekea mwisho,
wakati drone zikianza marekani waliipa israel kwanza na hizo drone zikawa zinatumika kwa majaribio Gaza,kabla marekani hawajaanza kuzitumia kupiga mabomu mikusanyiko ya harusi huko afaghnistan,
maelfu kwa maelfu ya raia walikufa katika hizo program
 
Uongo.

Marekani hajawahi kutumia Nucleur bombs katika attacking yoyote na kuua watu.

Hiroshima na Nagasaki iliangamizwa kwa Atomic bombs.

Thibitisha vita ambayo Marekani ametumia nuclear bombs kuuwa watu.

Karibu Mkuu.
Mkuu unajua tofauti ya Nuclear bomb, Atomic bomb na Hdrogen/Thermonuclear bomb..?

Kitu ambacho mimi binafsi hua siwezi ni kumuita mtu muongo au hajui kwa kitu ambacho ata mimi sikijui au sina uhakika nao, wewe hujui na umekua jasiri wa kumuita mwenzio muongo
 
Uongo.

Marekani hajawahi kutumia Nucleur bombs katika attacking yoyote na kuua watu.

Hiroshima na Nagasaki iliangamizwa kwa Atomic bombs.

Thibitisha vita ambayo Marekani ametumia nuclear bombs kuuwa watu.

Karibu Mkuu.

Atomic bombs na Nuclea bomb zote ni silaha za maangamizi. Naweza kushindwa kutofautisha kati ya Atomic na Nuclea lakini nilichotaka kueleweka ni kuwa si sahihi kuwa eti wao (USA) wawe na haki ya kumiliki silaha za maangamizi halafu wengine wakimiliki ionekane hawastahili.

Binafsi naamini kuwa kunapokuwa na mafahali wawili wanaopingana na kushindana kunatufanya sisi wa dunia ya tatu angalau kuwa na amani (balance of power) kulikoni kama kungekuwa na fahari mmoja anayeamua hatima ya dunia yetu bila kupingwa.
 
Back
Top Bottom