Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Miaka mingi iliyopita, Marekani iliuziwa jimbo la Alaska na nchi ya Urusi. Sehemu kubwa ya ardhi ya Alaska haikuwa ikikaliwa na watu.
Kama kweli Marekani ilikuwa na upendo wa dhati na wa Israeli, ingewapatia ardhi hiyo ya Alaska ili waifanye kama 'expansion joint' yao kwa shughuli za kilimo uzalishaji maisha mengine...
Otherwise mgogoro uliopo juu ya ardhi ya Israeli utakuwa ni mgumu kwa kuwa kule ardhi ni ndogo sana na kila squre inch moja ya ardhi ni lulu!
Kama kweli Marekani ilikuwa na upendo wa dhati na wa Israeli, ingewapatia ardhi hiyo ya Alaska ili waifanye kama 'expansion joint' yao kwa shughuli za kilimo uzalishaji maisha mengine...
Otherwise mgogoro uliopo juu ya ardhi ya Israeli utakuwa ni mgumu kwa kuwa kule ardhi ni ndogo sana na kila squre inch moja ya ardhi ni lulu!