Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,920
- 7,469
Hiyo ndio deal kati ya Israel na Russia, ama sivyo Russia wameambiwa hayo madude yao yatafutiliwa mbali na damascus.it is illogical but that is what transpired.Yani ukanunue gari utaloshindwa kuliendesha?hakuna mjinga wa hvyo, ukinunua new weapon muuzaji anatoa experts na huwa wanakwenda kujifunza huko huko zinapotoka