Marekani haina mshipa wa aibu, yamfanya Saudi Arabia kama "ATM" yake

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,036
Ujinga kitu kibaya sana! Marekani alimuuzia Saudi Arabia mfumo wa ulinzi wa anga was Patriots kwa mabilioni ya dola ambao kuna kila dalili kuwa umepitwa na wakati!!
Mfumo huo haujaweza kumsaidia maana kiini cha uchumi wake umeshambuliwa wakati mlinzi wake patriots hakuwa anajua kinachoendelea! Bila kushtuka Saudi Arabia analipia mabilioni mengine ili eti aongezewe ulinzi wa anga na Marekani tena! Ujinga mbaya sana!
 
Ujinga kitu kibaya sana! Marekani alimuuzia Saudi Arabia mfumo wa ulinzi wa anga was Patriots kwa mabilioni ya dola ambao kuna kila dalili kuwa umepitwa na wakati!!
Mfumo huo haujaweza kumsaidia maana kiini cha uchumi wake umeshambuliwa wakati mlinzi wake patriots hakuwa anajua kinachoendelea! Bila kushtuka Saudi Arabia analipia mabilioni mengine ili eti aongezewe ulinzi wa anga na Marekani tena! Ujinga mbaya sana!
Trump alishamchana live Mfalme na mwanamfalme wa Saudia kua siku America akiondoa tu ulinzi wake ndani ya Saudia basi hayatazidi masaa 6 ya utawala wa Al Saudi kuendelea kushika madaraka.
Marekani anaichukulia Saudi Arabia kama vile ng'ombe wake, anajikamulia tu maziwa vile anavyotaka, na siku maziwa yakiisha atampiga kisu ale nyama.
 
Ujinga kitu kibaya sana! Marekani alimuuzia Saudi Arabia mfumo wa ulinzi wa anga was Patriots kwa mabilioni ya dola ambao kuna kila dalili kuwa umepitwa na wakati!!
Mfumo huo haujaweza kumsaidia maana kiini cha uchumi wake umeshambuliwa wakati mlinzi wake patriots hakuwa anajua kinachoendelea! Bila kushtuka Saudi Arabia analipia mabilioni mengine ili eti aongezewe ulinzi wa anga na Marekani tena! Ujinga mbaya sana!
Toka lini Broiler akafanana na Wakienyeji Wasaudi ni Mabroiler ndio maana wanaswaga za kitoto sana wakiminywa pumbu wanaanza kutafuta support Sudan mara Egypt afu wanajidanganya na zana nyingi za kununua na siku kikinuka silaha zote zitabebwa na kupelekwa Iran
 
Ujinga kitu kibaya sana! Marekani alimuuzia Saudi Arabia mfumo wa ulinzi wa anga was Patriots kwa mabilioni ya dola ambao kuna kila dalili kuwa umepitwa na wakati!!
Mfumo huo haujaweza kumsaidia maana kiini cha uchumi wake umeshambuliwa wakati mlinzi wake patriots hakuwa anajua kinachoendelea! Bila kushtuka Saudi Arabia analipia mabilioni mengine ili eti aongezewe ulinzi wa anga na Marekani tena! Ujinga mbaya sana!

Umeongea as if una knowledge ya Air defence system, kumbe zero kabisa..

At the time of UAV attacks in Saudi Oil Fields, zile patriotic air defence systems zilikuwa zimeelekezwa Yemen, ili kuzuia rockets from Yemen, meaning Yemen iko upande wa Kusini Magharibi ya Saudi Arabia na Drones that attacked came from North East of Saudi Arabia yaani North ya Iran.. Sijui kama una elewa. So Saudia lazima iongeze more air defence system for more protection
 
Mh kwani kitendo cha kugeuza mfumo wa makombora kinachukua muda gan ?

Pia inaonekana hizo rada za patriots huwa zinaona upande mmoja tu
Umeongea as if una knowledge ya Air defence system, kumbe zero kabisa..

At the time of UAV attacks in Saudi Oil Fields, zile patriotic air defence systems zilikuwa zimeelekezwa Yemen, ili kuzuia rockets from Yemen, meaning Yemen iko upande wa Kusini Magharibi ya Saudi Arabia na Drones that attacked came from North East of Saudi Arabia yaani North ya Iran.. Sijui kama una elewa. So Saudia lazima iongeze more air defence system for more protection
 
Umeongea as if una knowledge ya Air defence system, kumbe zero kabisa..

At the time of UAV attacks in Saudi Oil Fields, zile patriotic air defence systems zilikuwa zimeelekezwa Yemen, ili kuzuia rockets from Yemen, meaning Yemen iko upande wa Kusini Magharibi ya Saudi Arabia na Drones that attacked came from North East of Saudi Arabia yaani North ya Iran.. Sijui kama una elewa. So Saudia lazima iongeze more air defence system for more protection
Haha ila houth drone zikipita Sanaa wanazishusha ila msaudia kashindwa kwani lengo la ulinzi wa anga ni Nini Kama sio kuzuia mashambulizi na siku zote adui yako anatafuta weakness yako akupige hapo hapo.
 
Umeongea as if una knowledge ya Air defence system, kumbe zero kabisa..

At the time of UAV attacks in Saudi Oil Fields, zile patriotic air defence systems zilikuwa zimeelekezwa Yemen, ili kuzuia rockets from Yemen, meaning Yemen iko upande wa Kusini Magharibi ya Saudi Arabia na Drones that attacked came from North East of Saudi Arabia yaani North ya Iran.. Sijui kama una elewa. So Saudia lazima iongeze more air defence system for more protection
Mbona hata huko zilikoelekezwa bado Houthi wanarushwa drones zinazopiga airports na sehemu nyingine za Saudia kadri wapendavyo bila kuwa intercepted? Hivyo patriot zina shida ila USA hatakubali.

Na pia kama hizo patriot haziwezi kudetect drones na missiles kisa zinaangalia upande wa Yemen nalo ni tatizo zaidi. Ina maana ziko confined kwa 180 degree au?
 
Umeongea as if una knowledge ya Air defence system, kumbe zero kabisa..

At the time of UAV attacks in Saudi Oil Fields, zile patriotic air defence systems zilikuwa zimeelekezwa Yemen, ili kuzuia rockets from Yemen, meaning Yemen iko upande wa Kusini Magharibi ya Saudi Arabia na Drones that attacked came from North East of Saudi Arabia yaani North ya Iran.. Sijui kama una elewa. So Saudia lazima iongeze more air defence system for more protection
Hata uongee kivipi tiyari tumesha tambua ya kwamba mifumo ya kimarekani ni makopo.
 
Umeongea as if una knowledge ya Air defence system, kumbe zero kabisa..

At the time of UAV attacks in Saudi Oil Fields, zile patriotic air defence systems zilikuwa zimeelekezwa Yemen, ili kuzuia rockets from Yemen, meaning Yemen iko upande wa Kusini Magharibi ya Saudi Arabia na Drones that attacked came from North East of Saudi Arabia yaani North ya Iran.. Sijui kama una elewa. So Saudia lazima iongeze more air defence system for more protection
Nawewe unamjibu wa nini ye anamaslahi anayoyataka,jamani skuizi mambo rahisi unagoogle tu unajua ,kwa taarifa yake moja ya sababu ya USA kuwa na mashiko na Mfalme sio ishu ya utawala ,ushaona rais wa marekani anaikataa israel hizo ni ajenda za kitaifa wanamamikataba yao
 
Umeongea as if una knowledge ya Air defence system, kumbe zero kabisa..

At the time of UAV attacks in Saudi Oil Fields, zile patriotic air defence systems zilikuwa zimeelekezwa Yemen, ili kuzuia rockets from Yemen, meaning Yemen iko upande wa Kusini Magharibi ya Saudi Arabia na Drones that attacked came from North East of Saudi Arabia yaani North ya Iran.. Sijui kama una elewa. So Saudia lazima iongeze more air defence system for more protection
Wajinga Ndio Waliwao


US Anaenda Kupiga Tena Pesa SAUDI ARABIA Maana hana AIR difence Yamaana Yakuyazuia Makombora Ya IRAN Hata Ya HOUTH
 
Wajinga Ndio Waliwao


US Anaenda Kupiga Tena Pesa SAUDI ARABIA Maana hana AIR difence Yamaana Yakuyazuia Makombora Ya IRAN Hata Ya HOUTH

Syria kila siku inapigwa na Israel vibaya sana, tena Damascus katika kambi muhimu za jeshi, na wamenunua S-300 from Russia, sijui wamenunua vinyago. Haa😂😂
 
Royal family inapambana sana ili kuondoa viashiria vyovyote vya kuondolewa madarakani,
Lkn iwe isiwe ni lazima utawala wa kifalme wa saudia utoke madarakani kwa mipango maalum ya Us na Israel
 
Umeongea as if una knowledge ya Air defence system, kumbe zero kabisa..

At the time of UAV attacks in Saudi Oil Fields, zile patriotic air defence systems zilikuwa zimeelekezwa Yemen, ili kuzuia rockets from Yemen, meaning Yemen iko upande wa Kusini Magharibi ya Saudi Arabia na Drones that attacked came from North East of Saudi Arabia yaani North ya Iran.. Sijui kama una elewa. So Saudia lazima iongeze more air defence system for more protection
Huu utetezi ni dhaifu mno. Yaani Wizara ya Ulinzi ya nchi(Saudia), inaweza kujitetea hivyo?
 
Umeongea as if una knowledge ya Air defence system, kumbe zero kabisa..

At the time of UAV attacks in Saudi Oil Fields, zile patriotic air defence systems zilikuwa zimeelekezwa Yemen, ili kuzuia rockets from Yemen, meaning Yemen iko upande wa Kusini Magharibi ya Saudi Arabia na Drones that attacked came from North East of Saudi Arabia yaani North ya Iran.. Sijui kama una elewa. So Saudia lazima iongeze more air defence system for more protection
Huu ndio tunaita ujinga. Siyo upumbavu. Saudi Arabia ni wajinga. Iran pamoja na kuwekewa vikwazo vya miaka 50, mbona hakuna popo anayedhubutu kukosea njia akaingia anga la Iran? Kubali tu mkuu. Hawa Saudi Arabia ni wajinga na huenda US kawazunguka ili avune pesa.
 
US anavuta mpunga kisha anapeleka makopo. Wamepigwa anaanza kukimbilia UN na kuweka vikwazo. Nchi ikishakuwa na teknolojia vikwazo havifanyi tena kazi. Vikwazo vinafanya kazi kwa anayetegemea kununua kila kitu. Kuiwekea vikwazo Iran kunaichochea ijiimarishe zaidi na makombora mazito mazito. Soon naye akibanwa zaidi tutamsikia naye anaanza majaribio ya nyuklia.
 
US anavuta mpunga kisha anapeleka makopo. Wamepigwa anaanza kukimbilia UN na kuweka vikwazo. Nchi ikishakuwa na teknolojia vikwazo havifanyi tena kazi. Vikwazo vinafanya kazi kwa anayetegemea kununua kila kitu. Kuiwekea vikwazo Iran kunaichochea ijiimarishe zaidi na makombora mazito mazito. Soon naye akibanwa zaidi tutamsikia naye anaanza majaribio ya nyuklia.
 
Umeongea as if una knowledge ya Air defence system, kumbe zero kabisa..

At the time of UAV attacks in Saudi Oil Fields, zile patriotic air defence systems zilikuwa zimeelekezwa Yemen, ili kuzuia rockets from Yemen, meaning Yemen iko upande wa Kusini Magharibi ya Saudi Arabia na Drones that attacked came from North East of Saudi Arabia yaani North ya Iran.. Sijui kama una elewa. So Saudia lazima iongeze more air defence system for more protection
Wacha kujifanya mjuaji sana. Nawewe hujui kitu. Ukubali ukatae kama mifumo hiyo haiwezi kujimaneuver kulingana na ulelekeo wa adui aliko huo ni udhaifu tu. Tatizo umekopi jinsi wamarekani wanavyojitetea huko yahoo ukaweka hapa bila hata kufanya analysis. Ugreat thinker wako uko wapi hapa?
 
Back
Top Bottom