The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 963
- 1,054
Siku kadhaa zilizopita nilia uzi hapa kichwa cha habari kikisomeka roho inauma ila sina cha kufanya"
Nilikua nalalamika kuwa mchumba wangusimuelewi ameniaga mapema ambayo sio kawaida yake na mambo mengine mengi soma uelewe zaidi kwenye uzi uliopita
Daah wadau wengi walionishauri ilikua ni kweli asilimia 100% kuwa alini cheat that day sasa tokea siku ile akawa amedadilika sana niamuambia kuna shida akasema hakuna Tatizo nikamuambia mbona unanoneka umebadilika sana sio kama mwanzoni akaniambia hapana mimi niko sawa.
Visa vikazidi akawa anapokea cm zangu akijisikia anajibu text akijisikia basi ikabdi siku nimuite nimwambie nina mazungumzo na wewe akaja ila akanambia anakaribia siku zake nikamuambia sijakuita kwa ajili ya ku sex na wewe mekuita tuzungumze akaja.
Mazungumzo yakaanza akanipa historia kuwa alikua na boyfriend wake wa tokea udogoni walikua wanapendana na alimuamini sana na pia na pete alimvalishaga.. Ila badae yule jamaa akampa mimba Rafiki yake kitendo ambacho kilimuuma sana... waka break up.
Badae akatokea jamaa mwingine akamtongoza akawa Hampendi akawa anamlazimisha mimi ndio nikatokea nikamtongoza akawa na mimi kwenye Mahusiano na Akanmbia ni kweli na siku ile nilienda kukutana nae kimwili
Kwa sababu alikua anisumbua sana.. na alikua nae kwenye mahusiano nae kabla mimi sijamtongoza na akaniambia Ni mtu wake ila Hampendi Damn...
Maneno yake yanachanganya ukisoma hii part vizu
Basi mimi nikamuambia kama ndo hivo basi mimi mekuelewa na Mapenzi hayalazimishwii.. nikamumboa show ya mwisho ya kuagana(Hapa nilimtania nimuone msimamo wake) akakubali..
Badae akaniomba sana niwe namtafuta, niwe Nampigia Simu, na kumtumia text na Siku akinihitaji Niende, nikamuambia haiwezekani kwangu itakuwa Ni ngumu sana kufanya hivo kwa hiyo unabdi uzoee hiyo hali akaniambia itaniwia ngumu kuzoea. Baadae nikamwambia Nitajitahidi kuwa Nakutafuta akashukuru sana...
Wakuu najitahidi sana Kutaka Kumpigia Cm na Kumtumia message mkono unakua Mzito saana
tokea amenambia hili jambo leo ni siku ya tatu yeye ndo ananitumia message ya kunijulia na hali na kunipigia simu ila mimi moyo umeshakubali na Nime move on sasa haya maswala ya kunaimbia niwe nampigia simu na Kutumia message siwezi kwa kweli.. wakuu Hapa nifanyeje ?
Niko njia Panda
Nilikua nalalamika kuwa mchumba wangusimuelewi ameniaga mapema ambayo sio kawaida yake na mambo mengine mengi soma uelewe zaidi kwenye uzi uliopita
Daah wadau wengi walionishauri ilikua ni kweli asilimia 100% kuwa alini cheat that day sasa tokea siku ile akawa amedadilika sana niamuambia kuna shida akasema hakuna Tatizo nikamuambia mbona unanoneka umebadilika sana sio kama mwanzoni akaniambia hapana mimi niko sawa.
Visa vikazidi akawa anapokea cm zangu akijisikia anajibu text akijisikia basi ikabdi siku nimuite nimwambie nina mazungumzo na wewe akaja ila akanambia anakaribia siku zake nikamuambia sijakuita kwa ajili ya ku sex na wewe mekuita tuzungumze akaja.
Mazungumzo yakaanza akanipa historia kuwa alikua na boyfriend wake wa tokea udogoni walikua wanapendana na alimuamini sana na pia na pete alimvalishaga.. Ila badae yule jamaa akampa mimba Rafiki yake kitendo ambacho kilimuuma sana... waka break up.
Badae akatokea jamaa mwingine akamtongoza akawa Hampendi akawa anamlazimisha mimi ndio nikatokea nikamtongoza akawa na mimi kwenye Mahusiano na Akanmbia ni kweli na siku ile nilienda kukutana nae kimwili
Kwa sababu alikua anisumbua sana.. na alikua nae kwenye mahusiano nae kabla mimi sijamtongoza na akaniambia Ni mtu wake ila Hampendi Damn...
Maneno yake yanachanganya ukisoma hii part vizu
Basi mimi nikamuambia kama ndo hivo basi mimi mekuelewa na Mapenzi hayalazimishwii.. nikamumboa show ya mwisho ya kuagana(Hapa nilimtania nimuone msimamo wake) akakubali..
Badae akaniomba sana niwe namtafuta, niwe Nampigia Simu, na kumtumia text na Siku akinihitaji Niende, nikamuambia haiwezekani kwangu itakuwa Ni ngumu sana kufanya hivo kwa hiyo unabdi uzoee hiyo hali akaniambia itaniwia ngumu kuzoea. Baadae nikamwambia Nitajitahidi kuwa Nakutafuta akashukuru sana...
Wakuu najitahidi sana Kutaka Kumpigia Cm na Kumtumia message mkono unakua Mzito saana
tokea amenambia hili jambo leo ni siku ya tatu yeye ndo ananitumia message ya kunijulia na hali na kunipigia simu ila mimi moyo umeshakubali na Nime move on sasa haya maswala ya kunaimbia niwe nampigia simu na Kutumia message siwezi kwa kweli.. wakuu Hapa nifanyeje ?
Niko njia Panda