Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,854
- 31,874
Miaka 17Ulikuwa na umri gani enzi hizo?
Miaka 17Ulikuwa na umri gani enzi hizo?
Akha.SINA DEMU ulikuwa bado Primary? Niamkie.
Kumbe bado una lipa kabisa mkuuMiaka 17
DahSiko na hakika ila nahisi atakuwa mj.
Sina demu kama unavyoniona mpenzi
Ndiyo maana nimekuchagua wewe ukidhi yangu mahitaji
Na siyo kwamba sitaki demu
Ila sijaona mwenye sifa zaidi yako wewe mailka wangu
Sana mkuuKumbe bado una lipa kabisa mkuu
ebwana eeeeeh glory robinson mtoto wa mama sabuni...yuko wapi huyu?....Radio free, showtime ilikuwa baba lao kwa afternoon showsKidbway na glory robinson
Mgulani primary school?G - 2 ilikuwa ya kwake roy...mwanzo aliajiriwa G record ya G lover.. pale chang'ombe.. na hit song zote karibu na jina alilipatia G record.. enzi za mr blue anatoka, aby skills, alikiba, bjb, snoop lee, Enika.. wengi nilikuwa nawajua sababu nyumba yetu ilikuwa jirani na G record
Nadhani sasa tunadili na kizazi kipya mno si kile kilichofanya mziki kipindi kile,nimeusoma huu uzi kwa muda lakini kote naona masifio tu ya third parties/yaani sio wale washriki kwenye game,Nitakayoyasema naomba tusameheane kma nimewakwaza mashabiki wake lkn naongea kma mshiriki kwenye game na ninao uonge ni ukweli kadri niujuavyo mimi.Kifupi jamaa alikuwa ni wa kawaida mno ila kwa kibongo bongo alionekana anajua biti zake loko mno produktion ya kubahatisha ni ile frutloop tu ndo aliyotumia enzi hizo,mi nilishindwa kufanya kazi kwake sabab hakuwana uwezo kipindi hicho ukakaa nae akakusikiliza unavyo floo kisha akakutengenezea biti papo kwapapo alikuwa hawezi hata ana mwanae mmoja ndo alikuwa ana mwachia studio alikuwa hamna kitu,kifupi nilipokwenda nikamsikilizisha masongi yangu na nkataka namna nyimbo yangu biti yake iende kimfumo gani jamaa akachomoa akasema sisi hapa unalipa hela halafu tunakupa biti ambazo tumekwisha zitengeneza unaenda kufanya mazoezi aliponisikilizisha hizo biti ndo nlichoka midundo ile ya loko loko kama biti za majani infact walikuwa wanaigana biti wakati mimi nataka biti classic hata kama si internatn basi zinzofanana ndo tuliposhindwana hapo halafu alikuwa harsh sana,sorry nmeongea nachokijua huu ndo ukweli wangu kama nimewaumiza mashabiki wake si lengo langu bali ni kui balance mizani tuDaah!Roy alikua anajua sana
hivi John mahundi na ludigo ni mtu mmoja?Usiwasahau akina mikamwamba na akina prof ludigo aliyetengeneza hii leo, tutakukumbuka, na ngoma kibao toka mj records na bongo records
ulikuwa una miaka mingapi?Nilizaa.
Nina jembe langu la ujanani, nikifatana nalo utajua mdogo wangu
YeahHahaha safi sana kama monalisa na mama yake enzi za ujana wao
Mkuu enzi hizo ftuity loops ndiyo ilikuwa software available kwa hapa tz na pia vifaa vilikuwa havija advance computer zenyewe pentium ram 1gb, tofauti na sasa.MJ mwenyewe kwenda digital aliwezeshwa na marehemu Rodney motie Mengi.Nadhani sasa tunadili na kizazi kipya mno si kile kilichofanya mziki kipindi kile,nimeusoma huu uzi kwa muda lakini kote naona masifio tu ya third parties/yaani sio wale washriki kwenye game,Nitakayoyasema naomba tusameheane kma nimewakwaza mashabiki wake lkn naongea kma mshiriki kwenye game na ninao uonge ni ukweli kadri niujuavyo mimi.Kifupi jamaa alikuwa ni wa kawaida mno ila kwa kibongo bongo alionekana anajua biti zake loko mno produktion ya kubahatisha ni ile frutloop tu ndo aliyotumia enzi hizo,mi nilishindwa kufanya kazi kwake sabab hakuwana uwezo kipindi hicho ukakaa nae akakusikiliza unavyo floo kisha akakutengenezea biti papo kwapapo alikuwa hawezi hata ana mwanae mmoja ndo alikuwa ana mwachia studio alikuwa hamna kitu,kifupi nilipokwenda nikamsikilizisha masongi yangu na nkataka namna nyimbo yangu biti yake iende kimfumo gani jamaa akachomoa akasema sisi hapa unalipa hela halafu tunakupa biti ambazo tumekwisha zitengeneza unaenda kufanya mazoezi aliponisikilizisha hizo biti ndo nlichoka midundo ile ya loko loko kama biti za majani infact walikuwa wanaigana biti wakati mimi nataka biti classic hata kama si internatn basi zinzofanana ndo tuliposhindwana hapo halafu alikuwa harsh sana,sorry nmeongea nachokijua huu ndo ukweli wangu kama nimewaumiza mashabiki wake si lengo langu bali ni kui balance mizani tu
Nyingine hapo ni KGT siyo Roy mfano Cinderela na NakshiCinderela,Nakshi Mrembo,Siamini,Mapozi,Blu blu zilikuwa nyimbo za taifa kutoka kwenye mikono salama ya Roy.
mzee bado unafanya mziki?Nadhani sasa tunadili na kizazi kipya mno si kile kilichofanya mziki kipindi kile,nimeusoma huu uzi kwa muda lakini kote naona masifio tu ya third parties/yaani sio wale washriki kwenye game,Nitakayoyasema naomba tusameheane kma nimewakwaza mashabiki wake lkn naongea kma mshiriki kwenye game na ninao uonge ni ukweli kadri niujuavyo mimi.Kifupi jamaa alikuwa ni wa kawaida mno ila kwa kibongo bongo alionekana anajua biti zake loko mno produktion ya kubahatisha ni ile frutloop tu ndo aliyotumia enzi hizo,mi nilishindwa kufanya kazi kwake sabab hakuwana uwezo kipindi hicho ukakaa nae akakusikiliza unavyo floo kisha akakutengenezea biti papo kwapapo alikuwa hawezi hata ana mwanae mmoja ndo alikuwa ana mwachia studio alikuwa hamna kitu,kifupi nilipokwenda nikamsikilizisha masongi yangu na nkataka namna nyimbo yangu biti yake iende kimfumo gani jamaa akachomoa akasema sisi hapa unalipa hela halafu tunakupa biti ambazo tumekwisha zitengeneza unaenda kufanya mazoezi aliponisikilizisha hizo biti ndo nlichoka midundo ile ya loko loko kama biti za majani infact walikuwa wanaigana biti wakati mimi nataka biti classic hata kama si internatn basi zinzofanana ndo tuliposhindwana hapo halafu alikuwa harsh sana,sorry nmeongea nachokijua huu ndo ukweli wangu kama nimewaumiza mashabiki wake si lengo langu bali ni kui balance mizani tu
Sio mtu mmoja.hivi John mahundi na ludigo ni mtu mmoja?