Marehemu Roy alikuwa anajua sana

G - 2 ilikuwa ya kwake roy...mwanzo aliajiriwa G record ya G lover.. pale chang'ombe.. na hit song zote karibu na jina alilipatia G record.. enzi za mr blue anatoka, aby skills, alikiba, bjb, snoop lee, Enika.. wengi nilikuwa nawajua sababu nyumba yetu ilikuwa jirani na G record
Snoop Lee yuko UK bado?
 
Cinderela,Nakshi Mrembo,Siamini,Mapozi,Blu blu zilikuwa nyimbo za taifa kutoka kwenye mikono salama ya Roy.
Nlikua sijui basi kama ni hivyo jamaa namnyanyulia
Cinderela,Nakshi Mrembo,Siamini,Mapozi,Blu blu zilikuwa nyimbo za taifa kutoka kwenye mikono salama ya Roy.
Nlikua sijui basi kama ni hivyo jamaa namnyanyulia mikono
 
Hivi nini kilimtoa uhai Roy?
The man was talented na alipofariki naona mdogo wake enika naye mziki aliupa kisogo.
Yule dada anajua sana nikikumbuka ngoma yake ya baridi kama hii, nimekubamba sijakubamba, wimbo wa makamoa aliomshirikiaha enika wa baby please, nako2nako- hawatuwezi
Dah umenikumbusha mbali sana.
 
Hivi nini kilimtoa uhai Roy?
The man was talented na alipofariki naona mdogo wake enika naye mziki aliupa kisogo.
Yule dada anajua sana nikikumbuka ngoma yake ya baridi kama hii, nimekubamba sijakubamba, wimbo wa makamoa aliomshirikiaha enika wa baby please, nako2nako- hawatuwezi
Dah umenikumbusha mbali sana.
 
Hivi nini kilimtoa uhai Roy?
The man was talented na alipofariki naona mdogo wake enika naye mziki aliupa kisogo.
Yule dada anajua sana nikikumbuka ngoma yake ya baridi kama hii, nimekubamba sijakubamba, wimbo wa makamoa aliomshirikiaha enika wa baby please, nako2nako- hawatuwezi
Umesahau ya Jua kali... Niimbie
 
Yes sema baadhi ya mashairi yamenitoka maana kipindi nadhani the late Ngwair alikuwa ametoa Eastzoo na ngoma lake Ghetto langu lilikuwa mwiba kisha hewani unaskiliza Ingekuwa vipi ya Mwanafalsafa na Mo mbakiaji
Hizi ndo ratiba zetu everyday
P, snalee na ngwair twasaka pay
Tukiwa kwenye mic ubitoz usituletee
Twakomaa na mziki ili maisha yaendelee.

Gheto langu dah nilikuwa nkisikiliza mashairi ya ngwait over naliona gheto kabisa.
Umenikumbusha east zoo, chamber squad akina noorah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom