elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,698
Producer Roy ambaye ni mdogo wake Bukuku pamoja na Enika alikuwa producer mkali sana.
Ukasikiliza sound za maproducer wengi kama Manecky, KGT, Bob Jr na wengine wengi ni sound ya mziki alikuwa anautengeneza Roy.
Kumbuka ngoma kama mapozi ya Mr Blu ambayo KGT alikuja kusample akatengeneza ngoma ya ukiniona - Alikiba.
Jamaa amefundisha u producer wengi na aliacha vipaji vingi sema ndiyo hivyo maisha hayana guarantee kama utaiona kesho.
Blu akimkumbuka Roy uwa anatoa chozi anasema hakuishi kula jasho lake.
Rip Roy...
Bila kumsahau prod Complex na mpenziwe Tilya
Ukasikiliza sound za maproducer wengi kama Manecky, KGT, Bob Jr na wengine wengi ni sound ya mziki alikuwa anautengeneza Roy.
Kumbuka ngoma kama mapozi ya Mr Blu ambayo KGT alikuja kusample akatengeneza ngoma ya ukiniona - Alikiba.
Jamaa amefundisha u producer wengi na aliacha vipaji vingi sema ndiyo hivyo maisha hayana guarantee kama utaiona kesho.
Blu akimkumbuka Roy uwa anatoa chozi anasema hakuishi kula jasho lake.
Rip Roy...
Bila kumsahau prod Complex na mpenziwe Tilya