Marehemu Mengi alikuwa kwenye mkakati wa kuanzisha kiwanda cha smartphone na magari

TIASSA

JF-Expert Member
Jun 17, 2014
2,893
3,423
Wakuu mzee mengi kabla ya kuondoka, alikuwa kwenye mkakati wa kuanzisha kiwanda cha simu janja na kingine cha magari na tuliona alikuja na wawekezaji, Je, ndiyo mpango wake ule umeondoka naye au bado mchakato unaendelea!

 
Back
Top Bottom