Wakuu mzee mengi kabla ya kuondoka, alikuwa kwenye mkakati wa kuanzisha kiwanda cha simu janja na kingine cha magari na tuliona alikuja na wawekezaji, Je, ndiyo mpango wake ule umeondoka naye au bado mchakato unaendelea!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.