Requal
JF-Expert Member
- Jun 5, 2020
- 1,025
- 1,905
Habari za jioni wakuu
Nimeona taarifa za msiba za huyu mheshimiwa naibu Waziri wa zamani na sababu ya kifo chake imeelezwa ni ajali..
Binafsi sijawahi hata kuona picha wala hababri kuhusu hii ajali yake inayotajwa kuondoa uhai wake, hii ni ajali kweli au ni futa linatumaliza huku tukificha ukweli?
Hivi inawezekanaje Mbunge na Naibu waziri wa zamani apate ajali alazwe siku mbili tena katikati ya jiji la Dodoma halafu habari zake zisisambae wakati RAS tu wa ARUSHA zilisambaa within a second
Mwenye angalau picha ya ajali yake aweke hapa.
Haiwezekani mtu mkubwa kama yule apate ajali halafu asiwepo wa kujua
Mnakumbuka wakati ule Mh Chenge alipomgonga Mtu wa Bajaji usiku wa manane lkn muda ule ule habari ilifika humu jamvini na vyombo mbalimbali vya habari?
Nimeona taarifa za msiba za huyu mheshimiwa naibu Waziri wa zamani na sababu ya kifo chake imeelezwa ni ajali..
Binafsi sijawahi hata kuona picha wala hababri kuhusu hii ajali yake inayotajwa kuondoa uhai wake, hii ni ajali kweli au ni futa linatumaliza huku tukificha ukweli?
Hivi inawezekanaje Mbunge na Naibu waziri wa zamani apate ajali alazwe siku mbili tena katikati ya jiji la Dodoma halafu habari zake zisisambae wakati RAS tu wa ARUSHA zilisambaa within a second
Mwenye angalau picha ya ajali yake aweke hapa.
Haiwezekani mtu mkubwa kama yule apate ajali halafu asiwepo wa kujua
Mnakumbuka wakati ule Mh Chenge alipomgonga Mtu wa Bajaji usiku wa manane lkn muda ule ule habari ilifika humu jamvini na vyombo mbalimbali vya habari?