Marehemu Mbunge wa Muhambwe(Kigoma), Atashasta Nditiye alipata ajali lini na wapi?

Mabunge yaliyopita wabunge wa upinzani hususani Chadema walikuwa mstari wa mbele kudadisi na kuujulisha umma pale sintofahamu yoyote inapotokea, anasema mzee Mgaya...
Deportvo la corona ipo daraja la ngapi nchini Hispania?
 
Alipigwa mtu risasi Kama Tembo na Kisha akafukuzwa ubunge kwa utoro wa kutohudhuria bunge we unashangaa hiyo tu
Ndugaye mbele ya Mungu sijui atajibu kwa lugha gani ili asihukumiwe adhabu mbaya
 
Hii inaitwa organized crime, siyo kweli kwamba walikuwa hawajui, Huu ni mkakati uliopangwa na ma ccm yenyewe.
Ma ccm ni mazuri kwenye kutengeneza tatizo, halafu wanaanza kulalamika, anatoka kichaaa mmoja tu analimaliza tatizo na wanamshangilia kuwa ni jembe
 
Mabunge yaliyopita wabunge wa upinzani hususani Chadema walikuwa mstari wa mbele kudadisi na kuujulisha umma pale sintofahamu yoyote inapotokea, anasema mzee Mgaya.

Hebu fikiria mbunge anapata ajali Dodoma tena imehusisha gari tatu na pikipiki na zote zimekokotwa hadi polisi lakini wapiga kura wake na wananchi hawapati taarifa? Anauliza Mgaya.

Hata PM mh Majaliwa amesikitika sana kwa serikali kutotaarifiwa juu ya ajali hiyo na hata wapiga kura wake ambao wangeweza kumuombea badala yake wanaarifiwa tu msiba tena baada ya wabunge wa CCM kuanza kuhoji yuko wapi mwenzetu Nditiye?

Mzee Mgaya anaomba udhaifu huu uliotokea kwenye ofisi ya Katibu wa bunge usijirudie tena.

Mgaya anamalizia kwa kusema " Tumeanza kuwakumbuka akina Mnyika "

Maendeleo hayana vyama!
Bunge la kijani ni bunge la manyani🦍🦍
 
Mabunge yaliyopita wabunge wa upinzani hususani Chadema walikuwa mstari wa mbele kudadisi na kuujulisha umma pale sintofahamu yoyote inapotokea, anasema mzee Mgaya.

Hebu fikiria mbunge anapata ajali Dodoma tena imehusisha gari tatu na pikipiki na zote zimekokotwa hadi polisi lakini wapiga kura wake na wananchi hawapati taarifa? Anauliza Mgaya.

Hata PM mh Majaliwa amesikitika sana kwa serikali kutotaarifiwa juu ya ajali hiyo na hata wapiga kura wake ambao wangeweza kumuombea badala yake wanaarifiwa tu msiba tena baada ya wabunge wa CCM kuanza kuhoji yuko wapi mwenzetu Nditiye?

Mzee Mgaya anaomba udhaifu huu uliotokea kwenye ofisi ya Katibu wa bunge usijirudie tena.

Mgaya anamalizia kwa kusema " Tumeanza kuwakumbuka akina Mnyika "

Maendeleo hayana vyama!
Mzee Mgaya ataisoma namba katika zama hizi za uchumi wa kati.
 
Mabunge yaliyopita wabunge wa upinzani hususani Chadema walikuwa mstari wa mbele kudadisi na kuujulisha umma pale sintofahamu yoyote inapotokea, anasema mzee Mgaya.

Hebu fikiria mbunge anapata ajali Dodoma tena imehusisha gari tatu na pikipiki na zote zimekokotwa hadi polisi lakini wapiga kura wake na wananchi hawapati taarifa? Anauliza Mgaya.

Hata PM mh Majaliwa amesikitika sana kwa serikali kutotaarifiwa juu ya ajali hiyo na hata wapiga kura wake ambao wangeweza kumuombea badala yake wanaarifiwa tu msiba tena baada ya wabunge wa CCM kuanza kuhoji yuko wapi mwenzetu Nditiye?

Mzee Mgaya anaomba udhaifu huu uliotokea kwenye ofisi ya Katibu wa bunge usijirudie tena.

Mgaya anamalizia kwa kusema " Tumeanza kuwakumbuka akina Mnyika "

Maendeleo hayana vyama!
Hata wale COVID -19 Walikuwa Hawajui?
 
Mabunge yaliyopita wabunge wa upinzani hususani Chadema walikuwa mstari wa mbele kudadisi na kuujulisha umma pale sintofahamu yoyote inapotokea, anasema mzee Mgaya.

Hebu fikiria mbunge anapata ajali Dodoma tena imehusisha gari tatu na pikipiki na zote zimekokotwa hadi polisi lakini wapiga kura wake na wananchi hawapati taarifa? Anauliza Mgaya.

Hata PM mh Majaliwa amesikitika sana kwa serikali kutotaarifiwa juu ya ajali hiyo na hata wapiga kura wake ambao wangeweza kumuombea badala yake wanaarifiwa tu msiba tena baada ya wabunge wa CCM kuanza kuhoji yuko wapi mwenzetu Nditiye?

Mzee Mgaya anaomba udhaifu huu uliotokea kwenye ofisi ya Katibu wa bunge usijirudie tena.

Mgaya anamalizia kwa kusema " Tumeanza kuwakumbuka akina Mnyika "

Maendeleo hayana vyama!
Utawala katili afadhali ya shetani
 
Mabunge yaliyopita wabunge wa upinzani hususani Chadema walikuwa mstari wa mbele kudadisi na kuujulisha umma pale sintofahamu yoyote inapotokea, anasema mzee Mgaya.

Hebu fikiria mbunge anapata ajali Dodoma tena imehusisha gari tatu na pikipiki na zote zimekokotwa hadi polisi lakini wapiga kura wake na wananchi hawapati taarifa? Anauliza Mgaya.

Hata PM mh Majaliwa amesikitika sana kwa serikali kutotaarifiwa juu ya ajali hiyo na hata wapiga kura wake ambao wangeweza kumuombea badala yake wanaarifiwa tu msiba tena baada ya wabunge wa CCM kuanza kuhoji yuko wapi mwenzetu Nditiye?

Mzee Mgaya anaomba udhaifu huu uliotokea kwenye ofisi ya Katibu wa bunge usijirudie tena.

Mgaya anamalizia kwa kusema " Tumeanza kuwakumbuka akina Mnyika "

Maendeleo hayana vyama!
Bunge la chama kimoja halioni haja ya wananchi kupata taarifa juu wawakirishi wao batili. Kila kitu vuruvuluruuu hakuna utaratibu😂
 
Back
Top Bottom