Marehemu Mbunge wa Muhambwe(Kigoma), Atashasta Nditiye alipata ajali lini na wapi?

Mabunge yaliyopita wabunge wa upinzani hususani Chadema walikuwa mstari wa mbele kudadisi na kuujulisha umma pale sintofahamu yoyote inapotokea, anasema mzee Mgaya.

Hebu fikiria mbunge anapata ajali Dodoma tena imehusisha gari tatu na pikipiki na zote zimekokotwa hadi polisi lakini wapiga kura wake na wananchi hawapati taarifa? Anauliza Mgaya.

Hata PM mh Majaliwa amesikitika sana kwa serikali kutotaarifiwa juu ya ajali hiyo na hata wapiga kura wake ambao wangeweza kumuombea badala yake wanaarifiwa tu msiba tena baada ya wabunge wa CCM kuanza kuhoji yuko wapi mwenzetu Nditiye?

Mzee Mgaya anaomba udhaifu huu uliotokea kwenye ofisi ya Katibu wa bunge usijirudie tena.

Mgaya anamalizia kwa kusema " Tumeanza kuwakumbuka akina Mnyika "

Maendeleo hayana vyama!

Wabunge wa ccm hawana uwezo wowote wa kuhoji mambo asiyependa yesu wao, maana hawako bungeni kwa kura za wananchi, bali kwa maagizo ya yesu wa ccm. Kama hao wabunge hawawezi hata kuhoji ukweli wa mbunge mwenzao, ndio watahoji mahitaji ya wananchi? Halafu tukisema hilo ni bunge kibogoyo watu wanahamaki.
 
Mabunge yaliyopita wabunge wa upinzani hususani Chadema walikuwa mstari wa mbele kudadisi na kuujulisha umma pale sintofahamu yoyote inapotokea, anasema mzee Mgaya.

Hebu fikiria mbunge anapata ajali Dodoma tena imehusisha gari tatu na pikipiki na zote zimekokotwa hadi polisi lakini wapiga kura wake na wananchi hawapati taarifa? Anauliza Mgaya.

Hata PM mh Majaliwa amesikitika sana kwa serikali kutotaarifiwa juu ya ajali hiyo na hata wapiga kura wake ambao wangeweza kumuombea badala yake wanaarifiwa tu msiba tena baada ya wabunge wa CCM kuanza kuhoji yuko wapi mwenzetu Nditiye?

Mzee Mgaya anaomba udhaifu huu uliotokea kwenye ofisi ya Katibu wa bunge usijirudie tena.

Mgaya anamalizia kwa kusema " Tumeanza kuwakumbuka akina Mnyika "

Maendeleo hayana vyama!
Binafsi huwa sikuelewi John, wewe msimamo wako ni upi ??, ni majinuni, mtetezi wa serikali hii dharimu, au ni mwanaharakati ?, kwa sababu ishu kama hiyo inadhihirisha ubovu wa bunge la sasa na serikali yake, lakini naona umeandika soft sana, badala ya kusema ukweli kwamba bunge kwa hakika linaendeshwa hovyo, any way naamini ni swala la muda tu, tutaelewa tu wapi tunakoelekea
 
Mabunge yaliyopita wabunge wa upinzani hususani Chadema walikuwa mstari wa mbele kudadisi na kuujulisha umma pale sintofahamu yoyote inapotokea, anasema mzee Mgaya.

Hebu fikiria mbunge anapata ajali Dodoma tena imehusisha gari tatu na pikipiki na zote zimekokotwa hadi polisi lakini wapiga kura wake na wananchi hawapati taarifa? Anauliza Mgaya.

Hata PM mh Majaliwa amesikitika sana kwa serikali kutotaarifiwa juu ya ajali hiyo na hata wapiga kura wake ambao wangeweza kumuombea badala yake wanaarifiwa tu msiba tena baada ya wabunge wa CCM kuanza kuhoji yuko wapi mwenzetu Nditiye?

Mzee Mgaya anaomba udhaifu huu uliotokea kwenye ofisi ya Katibu wa bunge usijirudie tena.

Mgaya anamalizia kwa kusema " Tumeanza kuwakumbuka akina Mnyika "

Maendeleo hayana vyama!

Bwashee tuliomba picha za ajali haututupa mpaka leo.

 
Hivi inawezekanaje Mbunge na Naibu waziri wa zamani apate ajali alazwe siku mbili tena katikati ya jiji la Dodoma halafu habari zake zisisambae wakati RAS tu wa ARUSHA zilisambaa within a second

Mwenye angalau picha ya ajali yake aweke hapa.
Siyo rahisi kukufikishia habari nyumbeni kwako, last week zimewekwa picha hapa za ajali ya gari lenye namba za usajili NW UM na wengi walisifia sana kazi ya airbags kuwa zilimfanya awe salama lakini baadaye akafariki
 
Back
Top Bottom