Marehemu Lwajabe anatajwa katika sakata la Kabendera; Kuna nini?

Kama ndivyo salakasi zote za nini? . mara hatujamkamata, tumemkamata, sio raia, utakatishaji fedha.

Kwanini ushahidi hadi leo uwe bado wakati mambo ni wazi hivyo unavyo yasema, si kesi ianze ushahidi uwekwe mezani afungwe. Kuliko hizo sarakasi
Hakuna uhusiano wowote kati ya huyo jamaa na Kabendera, kwanza huyo jamaa alikuwa anafanya wizara ya fedha na sio EU, get your facts straight na sio hearsay za Ufipani. Kabendera ametumika na beberu kwa maslahi yake binafsi na genge lake, anachopata saivi ni stahili yake ndogo kwa madhari aliyokuwa anasababishia wengine wakati anatumika kuichafua serikali kwa kulipwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapi Kabendera ametaja marehemu Lwajabe ??? Tatizo la ufipa ni kuficha ukweli ulio dhahiri, Kabendera alikuwa analipwa na Acacia kwa kazi ya kuichafua serikali, baada ya Barrick kumalizana na serikali, wamemuuza Kabendera kwa kutoa siri ni nani waliyekuwa wanamtumia kuichafua serikali.

Hakuna nchi inayovumilia usaliti, mbele ya macho ya usalama, Kabendera anachopata ni haki yake, na ashukuru hata kuwa hai tu maana nchi nyingi wasaliti aina ya Kabendera wanachukuliwa kama “foreign agent” tu ambao vifo ni miongoni mwa adhabu zao “kihalali” kwa macho ya kiusalama.
Kawadanganye waliopungukiwa.

Kabendera alipwe na Acacia kwa kazi gani? Wazungu siyo wapumbavu kiasi hicho. Unadhani wao ni kama sisi ambao tupo tayari kutapanya pesa kuwanunua watu? Wamefika walipofika kutokana na umakini katika mambo mengi ikiwa ni pamoja na umakini wa matumizi ya pesa.

Sisi kutokana na siasa zetu hizi za kijinga kijinga na hadaa, hatuwezi kufika popote.

Hata tunaopenda kuwaiga, ni nchi kama China, nchi ambayo maendeleo yake yapo katika miundombinu, lakini wananchi wake wakiwa katika maisha ya umaskini umaskini.
 
Weka fact bas mbona comments zote unarudia ngonjera hzo hzo tu?
Kuchafua serikali kukoje? Mbona hakushtakiwa kwa kosa la kuichafua serikali? Hzo pesa unazodai kalipwa na Acacia si uweke facts tujue kweli amelipwa?
Don't kidding us dogo, hauko na watoto wenzako wa mtaani hapa
Manelezu,

Manelezu umeona makala za Economist za Kabendera? Kabendera alikuwa analipwa na Acacia kwa ile kazi, pesa ambayo alikuwa analipwa ni pesa haramu hivyo serikali ina discretion ya kuchagua imshtaki kwa lipi. Anachopata Kabendera ni haki yake pia ni fundisho kwa vibaraka wengine, ukila hela ya beberu kwa madhumuni ya kuichafua nchi, ukikamtwa wewe ni sawa na spy tu na utapata stahili yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamtaki kusikia ukweli kuwa Kabendera alikuwa analipwa na Acacia ili kuichafua serikali ? Au unafikiri hizo 176m anazotuhumiwa kutakatisha zimetoka mbinguni?
Hivi 176m, ambayo ni malipo yake ambayo amekuwa akiyapokea kwa kipindi cha zaidi ya miaka 10, kutokana na kuliandikia gazeti la Newsweek, nayo kweli ni pesa? Maana yake ni chini ya sh 20m kwa mwaka.

Tusifurahie watu kuonewa. Kama ni kosa kuliandikia articles gazeti la nje, ashtakiwe kwa hilo kosa, na siyo kumtengenezea makosa ambayo hajayafanya.
 
Hao hawajamlipa hata Mia, waliomkaanga ni The Economist
Unajuwa jinsi vyombo vya habari vya magharibi vinavyokuwa na maadili na misimamo kumlinda mtoa habari?
Haiwezekani kamwe kuuzwa na The Economist.
Huyo kauzwa na washirika wake wa bongo au wa Acacia.

Au miamala yake imemponza "follow the money", money leaves trail.
 
Moja ya kazi tukufu ya Mwananchi Ni kuikosoa serikali yake ili ijirekebishe au ikanushe iwapo inaona haina makosa. Uhuru wa Kukosoa hauna mipaka. Unaweza ukatumia vyombo vya habari vya ndani au vya nje. Katiba yetu inatoa ruksa hiyo katika Ibara ya 18.
Sasa Ukiona serikali inawakamata Wananchi wanaoikosoa na Kisha ama kuwapoteza au kuwabambikia kesi ili wasote ndani, fahamu kuwa serikali ya aina hiyo imekuwa chovu, imedumaa kiakili hivyo inatakiwa isukumwe kama mlevi ili iangukie pua. Maana jawabu la mtu mchovu wa akili ni uuaji!!!
Ukiona msomi anaogopa kukosolewa kuna shaka
 
On another note, kwa nini habari za wiki 2 zilizopita za jamaa wa LHRC, Tito Magoti na za muendelezo wa kesi ya Kabendera hazijapelekwa kwa vyombo vya habari vya kimataifa kama kawaida?

Ni kwamba mhusika aliyekuwa anasukuma hizi habari yupo likizo au beberu amehakikishwa maslahi yake yatalindwa ameamua awatose nyumbu aliokuwa anawatumia?
Yote yanaweza kua majibu sahihi kabisa,nakutumia kwa muda matumizi yakiisha utajijua mwenyewe,si wanasema hawanaga rafiki wa kudumu huwa jamaa. Siku urafiki wao ukihamia kwa serikali wanakutosa vizuri tu.

macson
 
Unajuwa jinsi vyombo vya habari vya magharibi vinavyokuwa na maadili na misimamo kumlinda mtoa habari?
Haiwezekani kamwe kuuzwa na The Economist.
Huyo kauzwa na washirika wake wa bongo au wa Acacia.

Au miamala yake imemponza "follow the money", money leaves trail.
The Economist mwishoni waliandika kuwa habari walizoandika walizipata kutoka kwa correspondent wao Kabendera, ni kama itv wanavyomtaja mabere makubi, kamoni ikala kwake fasta, hata ningekuwa mie ningemalizana nae fasta
 
Umewaza kama mimi lwabaje alikuwa anaiba taarifa ambazo ni top secret za serkali tena zinazohusu fedha na uchumi anamtumia Kabendela kisha Kabendela anaziuza ulaya

Kabendela kuwepo hai mungu tu maaana kama Mimi ndio ningekuwa na mamlaka ningesha mfumua ubongo kitambo sana


Hii mijitu haichelewi kuuza nchi

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabendela ndo nani punguani wewe..uko lumumba ndo mnafundishwa ujinga huu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hata akipokea chochote,makala zilikua na uongo?

Zilikua na facts tupu na hakuna makala yake hata moja kazungumzia madini yenu

Makala zilikua kwenye kuvunja haki za binadamu

Na hata kama kuna za madini,nani kasema haruhusiwi kuandika makala inayohusu chochote?

Eti msaliti,kamsaliti nani? Serikali mbivu hii?

Ningekua mimi ningeandika makali kali kabisa

Eti katusaliti ,nyie akina nani?

Kaitumikia nchi yake kwa usahihi kwa kutoa makala zenye kufunua uozo wenu!

Kafieni huko,hakuna mtoto mdogo hapa!
Kama uliona alikuwa sahihi nenda Kamsaidie sasa
Mbona mnaishia kubwabwaja humu na Id Fake
 
Na hata akipokea chochote,makala zilikua na uongo?

Zilikua na facts tupu na hakuna makala yake hata moja kazungumzia madini yenu

Makala zilikua kwenye kuvunja haki za binadamu

Na hata kama kuna za madini,nani kasema haruhusiwi kuandika makala inayohusu chochote?

Eti msaliti,kamsaliti nani? Serikali mbivu hii?

Ningekua mimi ningeandika makali kali kabisa

Eti katusaliti ,nyie akina nani?

Kaitumikia nchi yake kwa usahihi kwa kutoa makala zenye kufunua uozo wenu!

Kafieni huko,hakuna mtoto mdogo hapa!
Mkuu bado haujachelewa,we andika tu unayoyajua uweke na namba yako ya simu ili ujumbe uwafikie vizuri hawa serikali. Hakuna sababu ya kusema ungekua wewe wakati upo vizuri tu uraiani.

macson
 
Kuandikia magazeti ya nje ni kosa? Kama ni kosa mbona hashtakiwi kwa hilo kosa bali anabambikiwa makosa mengine tena yasiyo na dhamana?
Kikwete aliwafundisha, wakisema serikali haifanyi hili na lile nyie badala ya kutumia polisi waonyesheni lililofanyika na fanyeni kama bado.
Haya matendo maovu mfanyayo kwa mwamvuli wa jina serikali upo wakati mtabeba adhabu kwa majina yenu kisha mtasema serikali iliyo ingia INA visasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe Kibendera kaa kimya huna jipya lolote
Kikwete kawa Bora kwenu leo hii
Lazima Mtambue nchi hii Inalindwa kwa nguvu zote
Hatoruhusiwa Mpuuzi mmoja kuivuruga aachwe
 
Mkuu bado haujachelewa,we andika tu unayoyajua uweke na namba yako ya simu ili ujumbe uwafikie vizuri hawa serikali. Hakuna sababu ya kusema ungekua wewe wakati upo vizuri tu uraiani.

macson
Huyo ndio Miongoni mwa Vibendera wengu humu
Kujificha na Id fake
Na kuropoka humu
 
Back
Top Bottom