Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Nimejaribu kufuatilia ishu ya Kabendera naona Kuna mtu anatajwa Anaitwa Lwajabe ambae alikufa kwenye mazingira ya ajabu na kutatanisha na alikuwa anafanya kazi wizara ya fedha au foreign.
Sasa swali langu ni je kwani kulikuwa na nini katika watu Hawa wawili? Je kifo cha Lwajabe ni mwendelezo wa misukosuko anayopewa Kabendera?
Naamini ndani ya JamiIforums hili PANDORA BOX litafunguliwa bila kuumiza mtu.
Nasimama na Kabendera mpaka mtuambie ana nini na Lwajabe.
Usiku mwema na majibu twasubiri!
Paskali
Sasa swali langu ni je kwani kulikuwa na nini katika watu Hawa wawili? Je kifo cha Lwajabe ni mwendelezo wa misukosuko anayopewa Kabendera?
Naamini ndani ya JamiIforums hili PANDORA BOX litafunguliwa bila kuumiza mtu.
Nasimama na Kabendera mpaka mtuambie ana nini na Lwajabe.
Usiku mwema na majibu twasubiri!
Paskali