Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,351
nmeangalia muvi nyingi sana za. marehem kanumba na kwa ufupi tu huyu jamaa nmemkubali nadhan angekua moto wa kuotea mbal lait angekua hai ila mbali na hapo kuna jamaa anaitwa jb muvi zake nlikua nmeziona chache ila wiki hii nmeangalia kazi zake kibao na nmemkubali kupita maelezo. kwa upande wangu wote nawakubali toa comments zako kuhusu nani unaemkubali