nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,860
- 5,801
[h=2]THURSDAY, JANUARY 2, 2014[/h][h=3][/h]
MICHUZI
Hapa ndipo nyumbani alipozaliwa na alipokuwa akiishi aliyekuwa waziri wa fedha na mbunge wa jimbo la Kalenga Dr Wiliam Mgimwa na ndipo atazikwa hapa |
Hii ndio nyumba ya waziri wa fedha Dr Wiliam Mgimwa iliyopo jimboni Kalenga ambako ndipo alipozaliwa ikiwa na bendera ikipepea nusu mlingoti |
Wanachama wa CCM wakibadilisha bendera nyumbani kwa aliyekuwa waziri wa fedha jioni ya leo .usikose kujua habari zaidi kesho juu ya maisha ya waziri Dr Mgimwa. Picha na Francis Godwin |
MICHUZI