rambirambi sio pesa ni salaamu. kama kuna pesa inayoambatanishwa ni kuonyesha tu kumjali marehemu lakini sio gharama ya marehemurambirambi wametoa bei gani?
rambirambi wametoa bei gani?
rambirambi wametoa bei gani?
Tena wa Kibweg.eHuu ni ushabiki kabisa
We Bweg.e ninirambirambi wametoa bei gani?
kwani kuulizia rambirambi kuna ubaya gani maana tukijua ni kiasi gani tutajua chadema wamewajibikaje kwanza kwanini viongozi wa kitaifa hawakuhudhulia
Mnasubiri misiba Kama ya kanumba mjilimikishe ccm bwana!!! Msiba wa baba yake shigongo mlikuwa namba one kuhudhuriadr slaa sio mtu mzuri mtu amekufa kutokana na kiherehere chake cha maandamano lakini hajaenda kumzika.kweli marehemu ametumika kisiasa
rambirambi wametoa bei gani?
dr slaa sio mtu mzuri mtu amekufa kutokana na kiherehere chake cha maandamano lakini hajaenda kumzika.kweli marehemu ametumika kisiasa
rambirambi wametoa bei gani?
Ni Kweli unavtosema mzuri ni Mh Jakaya Kikwete Amiri Jeshi Mkuu na IGP Mwema eeh nilisahau Nchimbi aliyeunda copy ya tumedr slaa sio mtu mzuri mtu amekufa kutokana na kiherehere chake cha maandamano lakini hajaenda kumzika.kweli marehemu ametumika kisiasa