mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Wadau karibuni tujaribu kuchambua uzuri na udhaifu wa marefa wa VPL na wale wa EPL. Kwa vile hapa nchini kumekuwa na malalamiko kuwa kuna watu wanabebwa. Pia huko EPL kumekuwa na malalamiko juu ya marefa licha ya uwepo wa VAR.
Tuanze na
1. Yupi refa bora Tanzania na England pia
2. Yupi anaongoza kuboronga Vpl na EPL
3. Tukio lipi kubwa unalikumbuka la refa kuboronga
4. Unadhani nini tatizo la marefa kwenye hizi nchi mbili.
5.Nchi ipi kati ya hizi ina marefa hovyo zaidi?
Tuanze na
1. Yupi refa bora Tanzania na England pia
2. Yupi anaongoza kuboronga Vpl na EPL
3. Tukio lipi kubwa unalikumbuka la refa kuboronga
4. Unadhani nini tatizo la marefa kwenye hizi nchi mbili.
5.Nchi ipi kati ya hizi ina marefa hovyo zaidi?