Marefa kutoka Tanzania wakumbwa na kashfa ya upangaji matokeo CAF ,TFF wapokea barua kutoka CAF juu ya kashfa hio

py thon

JF-Expert Member
Sep 11, 2016
2,471
4,424
Mechi ya klabu bingwa iliyochezwa Burundi chini ya Waamuzi toka Tanzania wametuhumiwa kwa mambo ya rushwa na upangaji matokeo.Waamuzi hao ni Israel Nkongo Mujuni (Kati), Soud Lila (Assistance referee no2) pamoja na Frank Komba (Assistance referee no1). TFF walipokea barua kutoka CAF 23 February 2018, kwa tuhuma hizo ambapo inadaiwa siku moja kabla ya mpambano huo viongozi wa Rayon Sports ya Rwanda walionekana wakiwa na waamuzi hao chumbani nchini Burundi na vurugu kubwa Sana ilitoke hotelini siku moja kabla ya mechi .

Taarifa hii imetolewa leo na kaimu katibu

TFF Wilfred Kidao.

3c1460c66340acc69688741f2ec87b43.jpg
151367a46fa51986f2b3590042a35d4b.jpg
c86103d50811f1a1a0d4ed614b5bc37d.jpg



9f76953ce46210a8b329c366c3084973.jpg
 
Si tuliambiwa kuwa uongozi wa akina Malinzi ndio ulichochea mambo haya, au hiii ni mechi ilikuwa nyakati hizo!?
Tofautisha ofisi ya Tff na marefa ,rushwa haijatendeka kwenye ofisi ya Tff ni kama vile mwalimu achukue rushwa huwezi kulaumu ikulu
 
Back
Top Bottom