fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 2,511
- 7,035
Kama taifa tulihitaji watu wa kutuongoza kuanzisha harakati toka mioyoni kwa ajili ya taiga na si chama fulani. Inaonekana baada ya akina mkwawa,kinjekitile,mirambo,n.k.kuuwawa na wakoloni,taifa linakosa watu jasiri wa kulikwamua toka kwenye tope zito la ukoloni mambo leo.Hivi hatuwezi kumbadili twiga mnyama nembo wetu na kumtumia mwingine ambaye ni aggressive(Hata Black mamba poa tu), mimi nahisi nchi yetu ipo kigoigoi kwa ajili ya huyu twiga. Ona wenzetu Eagle vs Siberia Bear.