MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,752
- 5,497
- Thread starter
- #41
Juhudi ya nini mkuu wakati wameuziana kihalali serikali na serikali.mi nataka kujuwa kama Mrusi alifanya juhudi zozote kuirudisha Alaska.je kama alifanya hivyo Marekani alichukuwa uamuzi gani
Mikataba ikasainiwa cheki inatoka na ipo hadi leo na nimeiattach pale juu.
Hata wamarekani wengi wanadhani Russia walinyang'anywa kibabe hapana mkuu it was a legal deal.
Na kiongozi wa urusi Alaska pamoja na warusi wengine wakaondoka, likapigwa gwaride urusi wakashusha bendera yao us wakapandisha yao wakapeana mikono kazi ikaisha kwa mawazo ya viongozi wachache waliotawala kifalme Czars au the alexanders.