Marando na Prof Safari nao wamcharaza Nape ile mbaya

Uanasheria wa Marandu umesaidia kujua mengi kama hayo vinginevyo tusingeyajua. Marandu anafanya kazi yake aliyoajiriwa tofauti na fikra zako. Kwa sasa tunajua kumbe Nape anaingia kwenye mtego bila kujua yupo kwenye nyumba ya vioo vitupu
 
Mpunga na wali ni kitu tofauti; Jeetu Patel akitoa pesa kwa Nape unasema amekula pesa zilizopatikana ktk UFISADI wa EPA, ila Mabere Marando akipewa malipo kwa kumtetea Jeetu Patel katika kesi ya UFISADI wa EPA unageuka na kutumia kivuli cha UTETEZI wa SHERIA kuwa si mapesa ya UFISADI.
"Katika Mapenzi, Chongo Hugeuzwa Kengeza"

Wewe Mpungufu wa Akili, Marando analipwa gharama za kazi yake ya Uwakili, je Nape analipwa kama nani! Halafu inaonekana unaelewa kabisa unachosema ila unaamua tu kujitoa akili. Unakiri kwamba Marando analipwa malipo ya kumtetea, je ulitaka amtetee bure! Kama umezoea vya bure, njoo tu kwetu sie wakarimu utavipata huku tukiwa tumekupakata. Shume we!!
 
Inasikitisha sana, aliyetoa taarifa hii ni mbabaishaji wa kutupa na inashangaza CDM wamemuamini vipi aende kujibu hoja nzito ya mshahara mnono wa Slaa! Kwamba amepewa mshahara mzuri kwa kuwa ali-sacrifice ubunge akijua wazi kuwa angeshinda akaenda kwenye Urais ambao alijua wazi kabisa angeshindwa! Na kweli akashindwa, sasa chama kinamlipa fadhila na kum-compensate malipo yanayofanana na Ubunge! Shame on him...anajipambanua na kutaka kuwashawishi watu kuwa ni mpenda haki na usawa huku aki-negotiate apewe mshahara mzuri kwa kuwa amepoteza ubunge na marupurupu yake kwa kukibeba chama - he is trying to portray a picture of a fighter with a higher up cause kumbe he does not even believe in the cause per se, and nevertheless what he is fighting for! This is very low! He is nothing but a mere hypocrite, soon Tanzanians who had started to believe in him would know him in his true colours and forget all about him!


Kijana wa kufoji majina na vyeti wape na wenzio kautaalamu hako huenda nao wakawini kama wewe ktk siasa NDANI YA CCM, Nasikia wananzengo wa Nzega wanakusubiri kwa hamu 2015
 
Wana CDM mfikirie mara mbili juu ya bwana Mabere Marando kama wakili na mwanasiasa mkongwe 1. KWA NINI ANAMTUHUMU NAPE KUWA ALIFAIDIKA NA PESA ZA UFISADI WAKATI AMBAPO MABERE MARANDO NAE ANAMTETEA JEATU PATEL pale KISUTU KATIKA KESI YA UFISADI WA EPA????
2. NAE SI ANAFAIDIKA NA MAPESA YA UFISADI?
3. KWA NINI TUSIITUHUMU CDM KUWA NAYO INAHARUFU YA UFISADI WA EPA KUPITIA MAPATO YA MARANDO TOKA KWA JEETU PATEL IKIKUMBUKWA KUWA MOJA YA CHANZO CHA PESA ZA MATUMIZI YA CDM NI MICHANGO YA WANACHAMA AKIWEMO MARANDO.

NATANGULIZA HOJA!!


Bwana JEATU PATEL alitumiwa kama 'conduit/vehicle' ya kupitisha mzigo wa ccm. Na hii ndio sababu ccm hawawezi kuwatosa RACHEL maana ushindi wa kishindo wa 2005 ulikuwa wa wana ccm wote. Wote kabisa bila kujali ni balozi wa nyumba kumi kumi au katibu mwenezi, au hata mjumbe wa NEC. WOOOOTE. Na kama ilivyo kawaida kwenye biashara mwenye gari yake ( JEATU PATEL) aliwatoza nauli wenye mzigo (CCM-WOTE) kwa huduma yake hiyo aliyotoa kwa ufanisi wa hali juu (kumbuka ccm won by 80%!). Sasa imegundulika kuwa ule mzigo 'uliibwa' toka pahala. Na katika kufuatilia au kuchunguza mwenye gari ametaja abiria waliotumia gari yake pamoja na details za uzito wa mzigo. (very normal invistigation mpaka hapa).

Sasa Nape na CCM anayoitetea anatoa wapi hiyo jeuri? hivi huyu mtoto ana mishipa ya fahamu kweli? Na kuhusu Mabere Marando kumtetea JEATU PATEL niseme ni halali kabisa. Maana JEATU PATEL hajaiba - alichofanya huyu bwana ni kutoza nauli kwa huduma ya usafiri aliyotoa kwa abiria wake - tena kwa makubaliano ya kimaandishi. Kumshitaki huyu bwana ni u-kigeugeu kama si kumchafulia jina. Don't tell me kwana JEATU PATEL ni mwizi au fisadi. HE IS NOT. Ni msafirashaji maarufu wa 'mizigo' bongo na wao ccm walijua hilo ndio maana wakamfuata kutaka huduma yake. Ningekuwa mimi JEATU PATEL ningewashitaki wote walioniharibia 'reputation' ya biashara yangu. Reputation is everything in business!
 
Kama kuna mtu anawachukulia hawa CDM seriously basi akapime akili!
Wote CDM na CCM wanacheza mchezo uleule wa kunufaisha matumbo yao!
Ndio maana baada ya kupata oppurtunity tu ya ruzuku wameanza kujichotea pesa zetu walipa kodi!
Inasikitisha vijana wanaojifanya wasomi wameuza loyalties zao kwa genge hili la wahuni wakina MBOWE na LEMA!
 
naona hapa anakuchanganya wewe peke yako, na umeshadata.:a s 103:


kwa hakili yako tu huwezi kuona matatizo ya uelewa mdogo mlionao washabiki wengi wa chadema.
Ni kweli mabere ana nenepa kwa pesa za mafisadi na na huwezi kumtenganisha mabere na mafisadi kwa kuwa asilimia 50 ya wateja wake ni mafisadi.hata anapojalibu kumnyamazisha nape kwa hoja ambayo nape hana ni dalili za kuishiwa hoja,kama mabere ni fisadi na sasa ndiyo msemaji wa chadema basi hawa chadema ni mafisadi wakubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
 
Nimefuatilia kwa kina utetezi wa Mabere Marando juu ya tuhuma za UFISADI zilizotolewa na Nape Nnauye kumhusu Freeman Mbowe na Dr. Slaa haswa "Nape naye ni mmoja walionufaika na pesa za EPA kupitia Jeatu Patel". Kwa kauli hiyo wafuasi wa CDM wengi pasipo kuchambua mkaona Mabere amepiga barabara hoja ya Nape kuhusiana na Mbowe na Slaa.

Wana CDM mfikirie mara mbili juu ya bwana Mabere Marando kama wakili na mwanasiasa mkongwe 1. KWA NINI ANAMTUHUMU NAPE KUWA ALIFAIDIKA NA PESA ZA UFISADI WAKATI AMBAPO MABERE MARANDO NAE ANAMTETEA JEATU PATEL pale KISUTU KATIKA KESI YA UFISADI WA EPA????
2. NAE SI ANAFAIDIKA NA MAPESA YA UFISADI?
3. KWA NINI TUSIITUHUMU CDM KUWA NAYO INAHARUFU YA UFISADI WA EPA KUPITIA MAPATO YA MARANDO TOKA KWA JEETU PATEL IKIKUMBUKWA KUWA MOJA YA CHANZO CHA PESA ZA MATUMIZI YA CDM NI MICHANGO YA WANACHAMA AKIWEMO MARANDO.

NATANGULIZA HOJA!!
Nashukuru kwa uchambuzi wako, inanikumbusha 'nchi' moja jirani walipokataa kudhaminiwa katika michezo na kampuni inayotengeneza pombe kisa hawataki kutangaza pombe lakini hawataki kukataa waajiriwa wa kampuni hiyo wanapolipa kodi ya mapato kutokana na kulipwa fedha zinazotokana na mauzo ya pombe. Hawa watu wananunua bidhaa na huduma toka serikali hiyo lakini fedha zao hazikataliwi. Kuhusu ufisadi eti kwa kuwa Wakili ananpokea fedha yake halali itokanayo na kazi yake halali kwa kufanya kazi halali kutetea mtu kwa mujibu wa katiba nafikili hii inahitaji weledi wa hali ya juu. Kwamba serikali ichunguze, taasisi za dini zichunguze, mashirika yasiyo ya kiserikali yachunguze na hatimaye kuamua kupokea ama kutopokea fedha za watu wanaohusiana na matendo haramu. Hivi mtu kulipwa na mhalifu baada ya kumfanyia kazi halali inaharamisha fedha ulizolipwa? Je kama kweli huyo Nape alifaidika na fedha za EPA kupitia kwa Jeetu alifanya kazi gani? maana swala la msingi siyo kupata fedha toka kwa mtu bali unapata fedha kwa sababu ya nini kama unahongwa au unalipwa ujira wako kwa kazi halali kwa mujibu wa sheria za nchi.
 
Inasikitisha sana, aliyetoa taarifa hii ni mbabaishaji wa kutupa na inashangaza CDM wamemuamini vipi aende kujibu hoja nzito ya mshahara mnono wa Slaa! Kwamba amepewa mshahara mzuri kwa kuwa ali-sacrifice ubunge akijua wazi kuwa angeshinda akaenda kwenye Urais ambao alijua wazi kabisa angeshindwa! Na kweli akashindwa, sasa chama kinamlipa fadhila na kum-compensate malipo yanayofanana na Ubunge! Shame on him...anajipambanua na kutaka kuwashawishi watu kuwa ni mpenda haki na usawa huku aki-negotiate apewe mshahara mzuri kwa kuwa amepoteza ubunge na marupurupu yake kwa kukibeba chama - he is trying to portray a picture of a fighter with a higher up cause kumbe he does not even believe in the cause per se, and nevertheless what he is fighting for! This is very low! He is nothing but a mere hypocrite,soon Tanzanians who had started to believe in him would know him in his true colours and forget all about him!


Corrections: Tanzanians who have historically believed in them (ccm) have now realised that they've been taken for a ride. And as of now they want to forget all about them- the serial liars.
 
If you think education is expensive, try ignorance. Ignorance has a terribly high price tag-but understanding and overcoming it can really pay off.

Ujinga umetugharimu sana kwa miaka hamsini na ni bahati kubwa kwetu amejitolea mtu kwa jina Dr. Slaa anajaribu kuwatoa usingizini Watanzania kwa kuwapa elimu.

Kwa wajinga mshahara wa shilingi milioni saba utawashtua kwani hawawezi kufikiria gharama ya ujinga ambao umetusababishia hasara ya mabilioni kwa matrilioni, asante CCM !

Ni uelewa tu na jitihada za kuushinda ujinga huo ndio utatuwezesha kujikwamua katika tope la umasikini na kupata maendeleo tunayoyahitaji, asante Dr. Slaa, asante Chadema.
 
Slaa promises to reduce MPs’ bonuses

From LEVINA KATO,Kwimba, 10th September 2010 @ 12:12 , Total hits: 420
09_10_g74k0u.jpg
CHADEMA’S Union presidential candidate Wilbroad Slaa, has promised to reduce legislators’ perks to bridge the income gap between the poor and the rich, if he will be elected to power in the next month elections.
Addressing thousands of Ngudu residents at Kwideko grounds in Kwimba District on Friday, Dr Slaa said his government in the first three months shall review MPs’ packages to make them conform to the income of majority Tanzanians.

He said while an MP was paid 80,000 as mileage allowance, 160,000/ a day as sitting allowance and many other packages, a teacher took home approximately 141,000/- as monthly salary.

He equated the salary difference between MPs and the low- income workers class as a time bomb, warning that if nothing was done to check the situation more Tanzanians would become poorer.

“In the MPs’ perks, there are dubious packages, I am aware you do not know about this because the Parliament and my colleagues want it to remain a secret,” he announced at a rally citing rate of 2500/- paid to an MP for a litre of diesel.

Dr Slaa referred his reign in parliament, saying he had differences with fellow MPs because he wanted the public to get information about colossal perks made to legislators at the expense of the poor.

While wondering that nowhere in world was a litre of diesel charged at that much, he called
that an outright theft and exploitation of the poor. Dr Slaa used the same venue to announce that workers in the country had been deceived about pay increment.

“Let me tell you this secret, that what has been added to your salaries secretly will not be sustained. It is just temporary and is intended for serving election interests,” he added.

Dr Slaa referred the information in the Registrar of Political Parties verdict on Chadema objection to CCM Presidential candidate.

“For your information, you have been kidded. In Mr Tendwa’s (The Registrar of Political Parties’) judgment he made it clear that no minimum pay increment had been approved by the government other than the previous rate of 135,000/-,” he said, faulting the 235,000 deposited in workers’ accounts secretly.

Dr Slaa introduced Chadema’s Parliamentary aspirant for Kwimba Ms Leticia Madaraka Nyerere, whom he introduced as the in-law of the first President of Tanzania Mwalimu Julius Nyerere. Mrs Madaraka Nyerere pleaded to the voters in Kwimba to elect her for she had experience to lead, and had the capacity to make the difference.

 
Nape hafai kabisa kutembeza bendera ya CCM. Anasahau kwamba naye anaishi katika nyumba ya kiyoo.

Isitoshe -- ni mtu wa visasi. Hivi JK hana mtu mwingine credible? Haoni kama hii vita ni ya kufa na kupona.


Huwezi kumapata mtu credible wataki yeye mwenyewe sio credible.... ni sawa na kuwa na qualification za juu halafu unakopeleka CV yako kuna mwenye hiyo nafasi ambaye anatakiwa kuwa boss wako ana qualifications za chini automatically hawezi kukupa kazi atahofia kufukuzwa kibarua so JK kumpata m2 credible ni forget...
 
Nape atakwisha. Kapewa cheo CCM kama mtego vile, kapewa na maneno ya kuongea, kanaswa, anayaropoka ili amalizwe kisiasa na mapacha watatu + mmoja.

Ukutofautiana na Edo au Ross ujue huna lako hata kwa JK...
 
Nape haache unafiki chadema anaikubali ikiwa ana kiamin chama chake ccm baada ya kubwagwa na hawa alienda chadema kufanya nn? Hana lolote ni mroho wa madaraka awez kuitetea ccm
 
Kweli CCM wameishiwa na yeye huyu Nape hana kipya zaidi ya majungu na hivyo kuna haja ya kuwakataa kabisa kuwasikiliza vijana ambao wanakurupuka kama hawa
 
ccm ni chama cha kifisadi wananchi wameshajua hilo, ila nape hajui kama wananchi wanajua, wamesema wanasubiri 2015 waiondoe ccm madarakani mazima
 
aangalie contempt of court

marando na safari wanazua uongo lakini hoja za nape ni za msingi ndivyo walivyo chadema.kwa mfano hivi sasa data nyingi wanazotumia chadema ni zile wanazopewa na mafisadi walioko ndani ya ccm ambao wanaona siku zao zimeisha ndani ya chama.na data hizo zimekuwa forged.
i
 
Nape hafai kabisa kutembeza bendera ya CCM. Anasahau kwamba naye anaishi katika nyumba ya kiyoo.

Isitoshe -- ni mtu wa visasi. Hivi JK hana mtu mwingine credible? Haoni kama hii vita ni ya kufa na kupona.

Shida ya Nape ni mwenye muonekano wa kujipendekeza ili atimize ndoto yake ya kimaisha,hana siku nyng atapotea kwenye game.
 
Inasikitisha sana, aliyetoa taarifa hii ni mbabaishaji wa kutupa na inashangaza CDM wamemuamini vipi aende kujibu hoja nzito ya mshahara mnono wa Slaa! Kwamba amepewa mshahara mzuri kwa kuwa ali-sacrifice ubunge akijua wazi kuwa angeshinda akaenda kwenye Urais ambao alijua wazi kabisa angeshindwa! Na kweli akashindwa, sasa chama kinamlipa fadhila na kum-compensate malipo yanayofanana na Ubunge! Shame on him...anajipambanua na kutaka kuwashawishi watu kuwa ni mpenda haki na usawa huku aki-negotiate apewe mshahara mzuri kwa kuwa amepoteza ubunge na marupurupu yake kwa kukibeba chama - he is trying to portray a picture of a fighter with a higher up cause kumbe he does not even believe in the cause per se, and nevertheless what he is fighting for! This is very low! He is nothing but a mere hypocrite, soon Tanzanians who had started to believe in him would know him in his true colours and forget all about him!

Mhe Kigwangalla,
Ninashindwa kuelewa hoja ya mshahara mnono wa Dr Slaa kama ulivyoianisha.
Milioni 7.5 ni pesa nyingi kama utalinganisha na kima cha chini, lakini ni mshahara mdogo sana kama utalinganisha na mishahara mingine iliyosiri. Nadhani utakubaliana nami kuwa aliyekuwa mkurugenzi wa TANROAD moja ya tuhuma ambazo hazikuwahi kukanushwa ni kulipwa mshahara milioni 20. Tukiangalia mishahara ya viongozi wa mashirika ya umma kama NSSF,PPF n.k utaona kiwango cha katibu wa chama kikuu cha upinzani nchini ni cha kawaida sana.

Bunge limepiga marufuku wabunge wake kuweka mishahara na mafao yao hadharani,leo hii hatujui ni mamilioni kiasi gani wewe na wenzako mnalipwa mkiwa Dodoma ndani au mkipiga soga nje na kutojua mnapigia kura hoja gani ( rejea kauli za spika)

Mshahara wenu umewekwa kidogo ili kuepuka kodi, lakini ukweli ni kuwa mafao mnayopata kwa mwezi ni mamilioni ya kutisha.
Wewe per diem yako ni kiasi gani na kwanini ulipwe tukijua kuwa Dodoma ni kituo chako cha kazi? Unajua PD yako moja na nusu ni mshahara wa mwalimu na kama utakaa dodoma siku 10 ni sawa na mshahara wa Daktari/Engineer kwa mwezi n.k Ukweli ni kuwa per diem zako zinatosha kumlipa Dr Slaa mshahara japo wa miezi miwili kwa mwaka, sasa fikiria kwa wabunge 320!!

Mheshimiwa, Kama alivyo katibu mkuu wako, Dr Slaa ana majukumu sawa sawa, na pengine yake yana mashiko zaidi kwasababu utanzania kwake kwanza kabla ya uchama. Kiwango cha 900,000 cha mafuta kwa Dr(gazeti mwananchi) ni kidogo sana ukilinganisha hela za mafuta za katibu mkuu wa CCM zinatoka bungeni ( makamba mbunge wa kuteuliwa). Jiulize katibu mkuu wa CCM anapokuwa mbunge wa kuteuliwa anamwakilisha nani kama si ujanja wa kuvuna pesa kwa matumizi ya CCM.

Mwenyekiti wa CCM anaposafiri kwa shughuli za chama gharama zote ni za serikali tena hata mkewe akiwa ziarani gharama hizo ni kodi zetu na si za CCM. Hivi ukiweka gharama zote hizi ndani ya CCM, mwenyekiti na katibu wake mishahara yao inaweza kufikia kiasi gani kwa mwezi ukilinganisha na milioni 7.5 za Dr Slaa!

Tuhuma za Katibu wako mwenezi Nape(gazeti mwananchi) kuwa 7.5M ni matumizi mabaya ya fedha za wananchi kama ruzuku hayana msingi na ni ya kupuuza. Kama mshahara ni matumizi mabaya mbona hajaongelea Kagoda/EPA zilizochotwa kusaidia CCM si kwa mishahara bali hongo zenye jina tamu la Takrima. Je yale mabango ya kampeni yaliyochapishwa Canada(millions) kwa ruzuku toka serikalini ni matumizi mazuri ya ruzuku?

Suala la mishahara liachwe kwa chama na wanachama wa CDM, ili mradi hesabu zinakagulika na kukubalika. Ruzuku maana yake ni kuimarisha vyama si kwa kuchapisha mabango ya kampeni bali kuwa mipango endelevu ikiwa ni pamoja na kuwa na waajiriwa wa vyama.

Kama unadhani mshahara wa Dr ni mkubwa, basi ninakuomba uweke mshahara wa mbunge hapa ikiwa ni pamoja na kodi anayokatwa, marupu rupu yote,pamoja na mamilioni ya mfuko wa jimbo yasiokagulika ili tuweze kulinganisha na milioni 7.5.
Kama hutatuwekea hapa basi huna maadili ya kiroho 'moral authority' ya kumnyooshea kidole Dr Slaa, na ikiwa hivyo unyamaze kimya uwe na amani kwa miaka 5, nikiamini kuwa unamwoga Mwenyezi mungu na unafiki ni dhambi ambayo usingependa kunasibishwa nayo.

Ahsante
Nguruvi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom