Hivi nyie CDM mbona mnafikir chama chenu ni untouchable wakati sisi tunajua kwamba nayo ina mapungufu mengi sana ambayo nilifikiri huu ndiyo wakati wake wa kuyafanyia kazi kama mnataka chama chenu kije kipewe dhamana ya kuongoza nchi hii hapo baadae. Kuna utoto na ushabiki wa kijinga humu ndani na fikra za kwamba wao CDM peke yao ndiyo wana hati miliki ya kuzungumzia ufisadi, na kwamba mtu aliye CDM ni malaika.
CDM you are not indispensable, kama kuna ufisadi tutausema na ni vizuri wafuasi wake wawe na maturity na kuelewa kwamba nao wanafanya makosa na inapotokea hivyo waache juvenile arguments na ku-attack personalities.
Come down dear - come down!
IIIINSHU iko hivi: Nape - huyu katibu mwenezi wenu wanted to jumb ship, yaani alitaka kuhamia CHADEMA ili agombee ubunge jimbo la Ubungo baada ya kutemwa na CCM lakini Mnyika wa too good to be left uwani. Sasa kabla ya kumshambulia jirani yako CHADEMA jiulize how loyal is that mouthpiece of yours?