Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
Ni hizi nyumba wanazopewa marais wastaafu…
Hivi nani huwa anaishi humo? Ni kweli kabisa huwa wanahamia humo au huendelea kuishi walikokuwa wakiishi awali kabla ya kupewa?
Mfano Rais mstaafu Mwinyi…alihamia kweli kwenye hiyo nyumba yake aliyopewa na serikali?
Kikwete naye kakabidhiwa ya kwake majuzi hapa!
Atahamia na kuanza kuishi humo au?
Na huwa zinakuwa furnished au huwa wanakabidhiwa jengo tu lakini mengineyo ni juu yao?
Na wasipohamia inakuwaje? Wanaweza kuzipangisha na kunufaika kibiashara? Wanaweza kuziuza?
Sina tatizo na huo utaratibu wa kuwajengea nyumba ila nadhani suala zima linatakiwa kuangaliwa upya na kuweka utaratibu na masharti yake wazi ili Watanzania walipa kodi wajue namna pesa zao zitumikavyo.
Hivi nani huwa anaishi humo? Ni kweli kabisa huwa wanahamia humo au huendelea kuishi walikokuwa wakiishi awali kabla ya kupewa?
Mfano Rais mstaafu Mwinyi…alihamia kweli kwenye hiyo nyumba yake aliyopewa na serikali?
Kikwete naye kakabidhiwa ya kwake majuzi hapa!
Atahamia na kuanza kuishi humo au?
Na huwa zinakuwa furnished au huwa wanakabidhiwa jengo tu lakini mengineyo ni juu yao?
Na wasipohamia inakuwaje? Wanaweza kuzipangisha na kunufaika kibiashara? Wanaweza kuziuza?
Sina tatizo na huo utaratibu wa kuwajengea nyumba ila nadhani suala zima linatakiwa kuangaliwa upya na kuweka utaratibu na masharti yake wazi ili Watanzania walipa kodi wajue namna pesa zao zitumikavyo.