Marais wanawake Africa waliolewa wakiwa na 18 yrs, mwanamke ukitaka kufika mbali olewa mapema ukomae kiakili

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,520
Habari wadau ?

Tupeane pole kwa msiba mzito.. ila maisha lazima yaendelee

Leo tumepata Rais mpya mama yetu Samia

Katika pita pita za mtandaoni nimesoma ma Rais wanawake waliowahi kuongoza nchi za mfumo dume.. yaani za Waafrica hasa sisi weusi.

Historia ya Samia inaonesha aliolewa akiwa na miaka 18.

Rais wa Liberia pia mwanamama Ellen Sirlef aliolewa akiwa na miaka 18

Rais wa Malawi pia, Malawi imeshawai kuongozwa na mwanamke Joyce Banda ambaye aliolewa akiwa na miaka 18

Hii inaashiria ndoa za mapema zinawafanya wanawake wafike mbali sana maana wanaruka stage ya kuruka disco na kuwaza upuuzi
 
Si kweli. Hii ni foolish generalization ambayo haina msingi. Unapofika wakati wa kuoa au kuolewa ajuaye ni mhusika msituletee ndoa za maigizo. Kwani kila mmoja anataka kuwa makamu wa rais au rais?
 
kwa hiyo unataka kusema walikuwa wanalilia dudu

Nyege ni kitu nature.. mwanamke akiwa single mda mrefu anatuliza nyege zake kwa dyudyu tofauti tofauti ambayo ni hatari... ila akiwa na dyudyu yake halali mapema...inakuwa rahisi kwake kufika mbali
 
Si kweli. Hii ni foolish generalization ambayo haina msingi. Unapofika wakati wa kuoa au kuolewa ajuaye ni mhusika msituletee ndoa za maigizo. Kwani kila mmoja anataka kuwa makamu wa rais au rais?

Hoja inapingwa kwa hoja..mtaje aliyewahi kuwa rais muafrica wa kike aliyechelewa kuolewa
 
Nyege ni kitu nature.. mwanamke akiwa single mda mrefu anatuliza nyege zake kwa dyudyu tofauti tofauti ambayo ni hatari... ila akiwa na dyudyu yake halali mapema...inakuwa rahisi kwake kufika mbali
Hahahhahaahaha huu utafuti hatari sana...

Endeleni kunywa alkasus mujarab...
 
Hoja inapingwa kwa hoja..mtaje aliyewahi kuwa rais muafrica wa kike aliyechelewa kuolewa

Kwahiyo hoja yako

Samia kawa rais kwakuwa aliolewa mapema?

Nimecheka kifala sana, je angechelewa kuolewa leo asingekuwa rais?

Tafiti nyingine za kisenge sana
 
Kwahiyo hoja yako

Samia kawa rais kwakuwa aliolewa mapema?

Nimecheka kifala sana, je angechelewa kuolewa leo asingekuwa rais?

Tafiti nyingine za kisenge sana

Hoja imetaja wanawake wote waliowahi kuwa ma rais nchi za africa. Ila wewe umemuona samia tu..

Why wote wawe na early mariage cvs
 
18 yrs si early Marriage. Early marriage ni below it.

Now days tuna wanawake wengi wapo late 20s hawana ndoa.. na wengine wapo 30s.. hawa unafikiri hawana nyege na hawafanyi ngono?

Early marriage ina faida kubwa sana maana unaepuka mengi na akili inatulia unafika mbali
 
Habari wadau ?

Tupeane pole kwa msiba mzito.. ila maisha lazima yaendelee

Leo tumepata Rais mpya mama yetu samia

Katika pita pita za mtandaoni nimesoma ma Rais wanawake waliowahi kuongoza nchi za mfumo dume.. yaani za Waafrica hasa sisi weusi.

Historia ya samia inaonesha aliolewa akiwa na miaka 18.

Rais wa liberia pia mwanamama Ellen sirlef aliolewa akiwa na miaka 18

Rais wa Malawi pia, malawi imeshawai kuongozwa na mwanamke joyce banda ambaye aliolewa akiwa na miaka 18

Hii inaashiria ndoa za mapema zinawafanya wanawake wafike mbali sana maana wanaruka stage ya kuruka disco na kuwaza upuuzi
Joyce Banda aliolewa na nani kwenye huo umri wa miaka 18?
 
Endeleza research yako, hao marais mabinti zao wameruhusu waolewe wakiwa na 18 years?

Uzi haujaongelea 18 yrs lazima binti aolewe.. ila unashauri after shule binti aolewe kama akipata mume.. maana hata asipoolewa nyege zinakuja tu na ngona anafanya japo mzazi wake hakwambii kama nimetoka kugongwa
 
Back
Top Bottom