johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,745
- 139,517
Rais wa Zambia mh Edgar Lungu na Rais wa Angola wameshawasili na kupokelewa pale terminal 3 ya uwanja wa JNIA.
Kwa sasa anasubiriwa Rais wa DRC atakayefuatiwa na Rais wa Zimbabwe.
Karibu mubashara channel ten!
Kwa sasa anasubiriwa Rais wa DRC atakayefuatiwa na Rais wa Zimbabwe.
Karibu mubashara channel ten!