mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Hivi jamani naomba kuuliza'hivi hawa marais wetu wa Africa wanapokewa vipi waendapo kikazi Ulaya na America?
Au waendapo kwenye hizi nchi tajiri duniani mfano Marekani, uk, Canada, France, Japani, Germany, Denmark, Spain, na hata China.
Je,wanapokelewaje pale airport za nchi hizo?
Na je,ulinzi unakuwa wa hali ya juu?
Maana tumezoea kuona marais au mawaziri wakuu wa hizo nchi nilizozitaja hapo juu kama wanakuja Bongo na nchi zingine za Afrika kama Tanzania basi utakuta au utaona Marais wetu wanaenda kuwapokea pale airport kwa mizinga na magwaride na ulinzi unakuwa wa hali ya juu kiasi kwamba sometimes mitandao ya simu huwa wanaiblock kuzunguka eneo lote la airport na maeneo yaliyojirani na eneo hilo.
Baada ya hapo basi msafara wa mapikipiki na magari huanza kuelekea ikulu njia ikiwa nyeupeeeee hata sisimizi hakuna achilia mbali magari! na ole wako ukatishe na kigari chako' chamoto utakiona.
Na wakishafika huko Ikulu ya magogoni basi vyakula vyao hupimwa na madaktari wao kabla ya kuvila,na wakisema walale hapa Bongo kwa siku kadhaa, basi ulinzi atakaopewa huyo mgeni ni wakufa mtu kwenye hiyo hotel atakayofikia.
Ndiyo maana leo nawauliza magreat thinkers wenzangu wa JF.
Je hivi maraisi wetu wa Afrika akiwemo Rais Kikwete anapokwenda kikazi Uk au Marekani' je huwa anapokelewa kuanzia pale airport?
1. Huwa anapokewa na Rais au PM wa nchi hiyo husika?
2.Anakagua gwaride na kupigiwa mizinga mfano wa Bongo?
3.Escort za mapikipiki na magari yaendayo kwa kasi huwepo?
4.Huwa ali chakula hadi daktari wake athibitishe ubora na usalama wa chakula?
5.Hapo airport simu huwa hazifanyikazi mfano wa Bongo?
6.Analala nyumbani kwa balozi au five stars hotel? Na ulinzi wa usiku unakuwaje? Nakaribisha mgongano wa kimawazo na wa kimtazamo.
Ahsanteni!
Au waendapo kwenye hizi nchi tajiri duniani mfano Marekani, uk, Canada, France, Japani, Germany, Denmark, Spain, na hata China.
Je,wanapokelewaje pale airport za nchi hizo?
Na je,ulinzi unakuwa wa hali ya juu?
Maana tumezoea kuona marais au mawaziri wakuu wa hizo nchi nilizozitaja hapo juu kama wanakuja Bongo na nchi zingine za Afrika kama Tanzania basi utakuta au utaona Marais wetu wanaenda kuwapokea pale airport kwa mizinga na magwaride na ulinzi unakuwa wa hali ya juu kiasi kwamba sometimes mitandao ya simu huwa wanaiblock kuzunguka eneo lote la airport na maeneo yaliyojirani na eneo hilo.
Baada ya hapo basi msafara wa mapikipiki na magari huanza kuelekea ikulu njia ikiwa nyeupeeeee hata sisimizi hakuna achilia mbali magari! na ole wako ukatishe na kigari chako' chamoto utakiona.
Na wakishafika huko Ikulu ya magogoni basi vyakula vyao hupimwa na madaktari wao kabla ya kuvila,na wakisema walale hapa Bongo kwa siku kadhaa, basi ulinzi atakaopewa huyo mgeni ni wakufa mtu kwenye hiyo hotel atakayofikia.
Ndiyo maana leo nawauliza magreat thinkers wenzangu wa JF.
Je hivi maraisi wetu wa Afrika akiwemo Rais Kikwete anapokwenda kikazi Uk au Marekani' je huwa anapokelewa kuanzia pale airport?
1. Huwa anapokewa na Rais au PM wa nchi hiyo husika?
2.Anakagua gwaride na kupigiwa mizinga mfano wa Bongo?
3.Escort za mapikipiki na magari yaendayo kwa kasi huwepo?
4.Huwa ali chakula hadi daktari wake athibitishe ubora na usalama wa chakula?
5.Hapo airport simu huwa hazifanyikazi mfano wa Bongo?
6.Analala nyumbani kwa balozi au five stars hotel? Na ulinzi wa usiku unakuwaje? Nakaribisha mgongano wa kimawazo na wa kimtazamo.
Ahsanteni!