Marais wa Afrika angalieni njaa zenu zisiwatoe akili

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
8,947
14,391
Ushiriki wa Marais wa nchi za Afrika uliofanyika jiijini ST. Petersburg nchini Urusi si sahihi kuupa sura kuwa Marais hao wamemsusia raisi Putin kama wapinzani wa nje wa Urusi wanavyojaribu kuteka akili za watu.

Jumla ya Marais 17 wameshiriki na wawakilishi wa nchi 47 wameripoti kwenye mkutano huo. Nchi zilizokuwa hazikwenda nyingi zimepeleka wawakilishi wao wa ngazi za juu.

Kunaweza kuwepo na sababu nyengine za Marais wengine kutokwenda wenyewe kama vile za kiusalama wakati nchi hiyo iko kwenye vita. Sababu nyengine pia inawezekana ikawa ni kutojiamini baadhi yao kwenda kinyume na ushawishi wa Marekani na NATO.

Kwa vyovyote itakavyokuwa Marais waliokwenda nao ni Marais na baadhi yao wanaongoza mataifa yenye hadhi ya Kiafrika kuliko hao waliojizuilia kwa sababu zao kwenda kwenye mkutano huo.
Muhimu ni kuwa hata hao walioshiriki wamekwenda na mawazo ya njaa njaa zaidi kuliko ubinadamu.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika (AU) Moussa Faki Mahamat alisema “The disruptions of energy and grain supplies must end immediately. The grain deal must be extended for the benefit of all the peoples of the world, Africans in particular.”

Raisi wa jamhuri ya Congo Denis Sassou Nguesso naye akasema the African initiative deserves the closest attention “Urgently” for peace.

Kwa upande wake Rais Putin amekubali kuwa Bara la Afrika kwa sasa ni kitovu cha masoko ya bidhaa na linapitia kipindi muhimu cha mageuzi ya kiuchumi na kiutamaduni na kwamba matatizo mengi wanayopata nchi hizo ni zao la vikwazo vya kiuchumi vinavyofanywa na mataifa ya NATO kwa nchi kadhaa duniani.

Baada ya hapo akaahidi kuzifutia madeni nchi hizo na kwamba hazitokosa chakula kama ngano kwani wataendelea kuwasafirishia kupitia njia zao za baharini.

Kinachoshangaza kwa Marais wa Afrika ni hilo ombi lao kuitaka Urusi iendelee na mkataba wa kusafirisha ngano za Ukraine japo kufanya hivyo Urusi imeona hakuna faida kwani kunampa nguvu adui yake kuendeleza vita.

Sasa wao wanataka mwenzao aendeleze mkataba unaoidhuru ili wao tu wapate ngano kutoka Ukraine!

1690608677190.png


Al-Jazeera
 
mindset za viongozi wetu zimekuwa ombaomba, Putin anapigana vita unaenda mwaka wa pili sasa na bado anatoa ahadi ya kuisaidia Afrika! Waafrika tumezidi kuwa wategemezi!

Inaumiza na kusikitisha sana, yaani sawa na jirani yako ana msiba. Halafu wewe badala ya kwenda kumfariji kwa kipindi kigumu anachopitia. Wewe unaenda kumuomba kilago. Hili ndilo linalofanyika.
Halafu mfiwa anasema, nitakuletea virago kumi mpaka kwako bure. Halafu wewe unafurahia.
 
Wewe umejiusisha kwy kilimo kwa asilimia ngapi? Au umekaaa kwy kijiwe unasema aridhi kubwa ya kulima. Bila akili za binadamu itajilima yenyewe
Mimi ni mkulima mzuri sana na hapa nyumbani mboga mboaga nyingi sinunui sokoni.
Naishangaa serikali kuhimiza kilimo cha ngoro kumbe ardhi tambarare yenye rutuba imejaa inayolimika bila gharama kubwa.
 
Ushiriki wa Marais wa nchi za Afrika uliofanyika jiijini ST. Petersburg nchini Urusi si sahihi kuupa sura kuwa Marais hao wamemsusia raisi Putin kama wapinzani wa nje wa Urusi wanavyojaribu kuteka akili za watu.

Jumla ya Marais 17 wameshiriki na wawakilishi wa nchi 47 wameripoti kwenye mkutano huo. Nchi zilizokuwa hazikwenda nyingi zimepeleka wawakilishi wao wa ngazi za juu.

Kunaweza kuwepo na sababu nyengine za Marais wengine kutokwenda wenyewe kama vile za kiusalama wakati nchi hiyo iko kwenye vita. Sababu nyengine pia inawezekana ikawa ni kutojiamini baadhi yao kwenda kinyume na ushawishi wa Marekani na NATO.

Kwa vyovyote itakavyokuwa Marais waliokwenda nao ni Marais na baadhi yao wanaongoza mataifa yenye hadhi ya Kiafrika kuliko hao waliojizuilia kwa sababu zao kwenda kwenye mkutano huo.
Muhimu ni kuwa hata hao walioshiriki wamekwenda na mawazo ya njaa njaa zaidi kuliko ubinadamu.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika (AU) Moussa Faki Mahamat alisema “The disruptions of energy and grain supplies must end immediately. The grain deal must be extended for the benefit of all the peoples of the world, Africans in particular.”
Raisi wa jamhuri ya Congo Denis Sassou Nguesso naye akasema the African initiative deserves the closest attention “Urgently” for peace.

Kwa upande wake Rais Putin amekubali kuwa Bara la Afrika kwa sasa ni kitovu cha masoko ya bidhaa na linapitia kipindi muhimu cha mageuzi ya kiuchumi na kiutamaduni na kwamba matatizo mengi wanayopata nchi hizo ni zao la vikwazo vya kiuchumi vinavyofanywa na mataifa ya NATO kwa nchi kadhaa duniani.

Baada ya hapo akaahidi kuzifutia madeni nchi hizo na kwamba hazitokosa chakula kama ngano kwani wataendelea kuwasafirishia kupitia njia zao za baharini.

Kinachoshangaza kwa Marais wa Afrika ni hilo ombi lao kuitaka Urusi iendelee na mkataba wa kusafirisha ngano za Ukraine japo kufanya hivyo Urusi imeona hakuna faida kwani kunampa nguvu adui yake kuendeleza vita.

Sasa wao wanataka mwenzao aendeleze mkataba unaoidhuru ili wao tu wapate ngano kutoka Ukraine!

View attachment 2701870

Al-Jazeera
da ama kwer waafilika hatun akili
 
Wewe umejiusisha kwy kilimo kwa asilimia ngapi? Au umekaaa kwy kijiwe unasema aridhi kubwa ya kulima. Bila akili za binadamu itajilima yenyewe
Wewe kweli chizi unaisi wenzetu wanalima kma sisi bila kushirikisha matajiri wakubwa na kupanua wigo wa kilimo cha umwagiliaji tutakuwa tunajisumbua tu hakuna tutakkachozalisha kikatutosha hii nchi imebarikiwa maziwa mito mikubwa lakin tuko kama wendawazimu mchle bdo tunaagiz nje, ngano, mafuta ya kula hadi sabuni aisee
 
Wewe kweli chizi unaisi wenzetu wanalima kma sisi bila kushirikisha matajiri wakubwa na kupanua wigo wa kilimo cha umwagiliaji tutakuwa tunajisumbua tu hakuna tutakkachozalisha kikatutosha hii nchi imebarikiwa maziwa mito mikubwa lakin tuko kama wendawazimu mchle bdo tunaagiz nje, ngano, mafuta ya kula hadi sabuni aisee
Nchi ya vilaza kuanzia top manyota hadi kwenye grassroot.
 
Ushiriki wa Marais wa nchi za Afrika uliofanyika jiijini ST. Petersburg nchini Urusi si sahihi kuupa sura kuwa Marais hao wamemsusia raisi Putin kama wapinzani wa nje wa Urusi wanavyojaribu kuteka akili za watu.

Jumla ya Marais 17 wameshiriki na wawakilishi wa nchi 47 wameripoti kwenye mkutano huo. Nchi zilizokuwa hazikwenda nyingi zimepeleka wawakilishi wao wa ngazi za juu.

Kunaweza kuwepo na sababu nyengine za Marais wengine kutokwenda wenyewe kama vile za kiusalama wakati nchi hiyo iko kwenye vita. Sababu nyengine pia inawezekana ikawa ni kutojiamini baadhi yao kwenda kinyume na ushawishi wa Marekani na NATO.

Kwa vyovyote itakavyokuwa Marais waliokwenda nao ni Marais na baadhi yao wanaongoza mataifa yenye hadhi ya Kiafrika kuliko hao waliojizuilia kwa sababu zao kwenda kwenye mkutano huo.
Muhimu ni kuwa hata hao walioshiriki wamekwenda na mawazo ya njaa njaa zaidi kuliko ubinadamu.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika (AU) Moussa Faki Mahamat alisema “The disruptions of energy and grain supplies must end immediately. The grain deal must be extended for the benefit of all the peoples of the world, Africans in particular.”

Raisi wa jamhuri ya Congo Denis Sassou Nguesso naye akasema the African initiative deserves the closest attention “Urgently” for peace.

Kwa upande wake Rais Putin amekubali kuwa Bara la Afrika kwa sasa ni kitovu cha masoko ya bidhaa na linapitia kipindi muhimu cha mageuzi ya kiuchumi na kiutamaduni na kwamba matatizo mengi wanayopata nchi hizo ni zao la vikwazo vya kiuchumi vinavyofanywa na mataifa ya NATO kwa nchi kadhaa duniani.

Baada ya hapo akaahidi kuzifutia madeni nchi hizo na kwamba hazitokosa chakula kama ngano kwani wataendelea kuwasafirishia kupitia njia zao za baharini.

Kinachoshangaza kwa Marais wa Afrika ni hilo ombi lao kuitaka Urusi iendelee na mkataba wa kusafirisha ngano za Ukraine japo kufanya hivyo Urusi imeona hakuna faida kwani kunampa nguvu adui yake kuendeleza vita.

Sasa wao wanataka mwenzao aendeleze mkataba unaoidhuru ili wao tu wapate ngano kutoka Ukraine!

View attachment 2701870

Al-Jazeera
Unadhani kwa uwezo wako wa kufikiri Russia itaweza kushindana na NATO?
yaani muungano wenye nguvu kubwa wa mataifa zaidi ya 30, yenye kubwa kubwa za kijeshi na kiuchumi.
Hao viongozi wa Afrika ni wapumbavu tu ambao wana elements za udikteta,na Russia na China husapoti Sana madikteta,kwa sababu nao ni madikteta.
Dunia itaendelea kutawaliwa kwa Dola ya Marekani whether you want or not,hizo Rubo na Yuan utaendelea kusikia vichochoroni tu
 
Wakiitwa na Russia haoooooo na safari. Wakiitwa Marekani haoooooo. Kwenye kura muhimu za maamuzi UN hayana upande (hypocrisy) njaa mbaya sana.
 
Waafrika Tubadilike hata Wahenga wetu wanatushangaa sisi wakwenda kuomba chakula na aridhi tunayo mazingira yanaruhusu hivi kwanini Afrika tunashindwa kujitoa Utumwani?!?
 
Back
Top Bottom