Mwl J.K Nyerere, muasisi wa taifa hili na amani tuliyonayo hadi leo hii. Japo alichemka kidogo kwenye siasa ya ujamaa na kujitegenea lakini alikuwa analitakia mema taifa hili. Hakukuwa na ufisadi enzi zake.
Ali Hassan Mwinyi, mzee ruksa. Aliruhusu vitu vingi japo sina cha kukumbuka enzi zake.
B. W. Mkapa, Mzee wa utandawazi na ubinafsishaji, enzi zake alibinafsisha karibia kila kitu hadi watu tukashtuka na alikuwa mwenyekiti wa utandawazi... Pia kauchumi kalikua kwa kiasi flani...
Ndugu Mrisho Kikwete....huyu ana mengi saana yaliyotokea katika kipindi chake na bado kuna mengi yanakuja. Kikubwa nilichokiona kwa Kikwete ni shutuma za ufisadi wa kutisha ambao hatukuwahi kuushuhudia tangu tupate uhuru.....
Kuna mengi ambayo yamefanywa na mawaziri na viongozi mbali mbali wa taifa hili. Mnadhani yana faida hasi au chanya kwenye historia ya TZ na tufanye nini ili vizazi vijavyo visidumbukie kwenye jehanamu tuliofikishwa na viongozi wa awamu hii.
Historia ni muhimu kwa vizazi vijavyo.
Nyerere is and will continue to be the Hero of the Nation.
Ali Hassan Mwinyi, mzee ruksa. Aliruhusu vitu vingi japo sina cha kukumbuka enzi zake.
B. W. Mkapa, Mzee wa utandawazi na ubinafsishaji, enzi zake alibinafsisha karibia kila kitu hadi watu tukashtuka na alikuwa mwenyekiti wa utandawazi... Pia kauchumi kalikua kwa kiasi flani...
Ndugu Mrisho Kikwete....huyu ana mengi saana yaliyotokea katika kipindi chake na bado kuna mengi yanakuja. Kikubwa nilichokiona kwa Kikwete ni shutuma za ufisadi wa kutisha ambao hatukuwahi kuushuhudia tangu tupate uhuru.....
Kuna mengi ambayo yamefanywa na mawaziri na viongozi mbali mbali wa taifa hili. Mnadhani yana faida hasi au chanya kwenye historia ya TZ na tufanye nini ili vizazi vijavyo visidumbukie kwenye jehanamu tuliofikishwa na viongozi wa awamu hii.
Historia ni muhimu kwa vizazi vijavyo.
Nyerere is and will continue to be the Hero of the Nation.